Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hi wana JF, naomba niende kwa mada moja kwa moja, Binafsi Nimekuwa na marafiki wengi washkaji nk .ambao kiukweli tumekuwa wote tangu utotoni Hivyo tabia zao kwa kiasi kikubwa ninazijua vzr sana...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Hebu njoo hapa ujibu kama baby....
2 Reactions
48 Replies
4K Views
Wazazi wamezeeka nyumba ni kubwa na wako peke yao na wajukuu wadogo tu. Na kwa kuwa eneo la nyumba ni kubwa kuna vyumba vya nje (double self) nilivijenga kwa ajili ya kufikia kila nnapoenda...
6 Reactions
95 Replies
10K Views
Nilimkuta akiwa ana stress za maisha baada ya kumaliza masomo yake katika chuo fulani. Nilimshika mkono, nikamfuta machozi kisha nikampenda na nikamfundisha kunipenda, nikaishi nae kwa zaidi ya...
24 Reactions
149 Replies
12K Views
Ni story ipi au jambo gani huwezi lisahau lililo kukuta kwenye mahusiano yako mi nakumbuka siku ya kunza kuaprochi nilitetemeka sana hadi binti niliyekuwa namtongoza mbona unatetemeka vp unaumwa...
13 Reactions
41 Replies
4K Views
Kwanza kabisa poleni na majukumu wakuu lakini pia HAPPY EASTER. Kama tittle inavyosema hapo juu kwamba ni sahihi kama mtu wako humuelewi tena au umechoshwa na matendo yake [boyfriend&girlfriend]...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Maisha ya mapenzi ni kichaka kikubwa mno Zamani nilikuwa najua ukiwa na pesa utapata furaha kwenye mapenzi lakini kumbe sivyo kabisa! Mapenzi ni kichaka, mapenzi ni giza, mapenzi ni zaidi ya...
8 Reactions
55 Replies
6K Views
Wananwake wengi wa kibongo wanaamini sana ndumba ili kuimalisha mapenzi yao. Na wanapopata ndumba kali huwafanya mabwana zao kuwa mabwege na hapo huanza kuchepuka nje, kuwa dharau na kujiona wao...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninahitaji mchumba miaka 25-27 awe mwenye hofu ya Mungu awe mwenyewe kujitambua kuwa ye2 ni nani? na anataka kufika lengo gan? asiwe amezaa anitafute nipo serious namba ya simu 0672585133
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanajamvi nimekuja na simanzi kubwa sana moyoni. Sijawahi kuumia kiasi hiki, maelezo ni marefu lakini ngoja nifupishe ili nisiwachoshe. In short nina mke wangu nmeishi nae kwa mwaka 1 kama mke na...
64 Reactions
590 Replies
78K Views
Habari wanaJF, kwa wale waliopitia post yangu iliyopita baada ya kupata mvunjiko wa moyo nimekaa chini na kugundua baadhi ya makosa niliyoyapuuzia, haya yanawezwa kufanywa na yoyote liwe kama...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za Leo wanaJamiiForums wote na poleni kwa majukumu ya kilasiku ya kutafuta kipato. Niende kwenye mada moja kwa moja kiufupi mimi ni mpita njia nimetokea maeneo ya kilifi Kenya kuja...
2 Reactions
76 Replies
11K Views
When I was a shortie, I couldn’t wait to grow up and experience the bachelorhood. The visions I saw on the telly about bachelor’s life gave me thrills, man. I figured I’d be at the best peak of...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
Hii kitu inatokea mara nyingi kwa michepuko au wasichana wanaonimendea. Mke wangu huwa haniiti wala hajawahi kuniita baby. Nikimkuna sana ataishia kuniita mpenzi,huby, dear nk. Kwa kweli...
13 Reactions
49 Replies
4K Views
Naomba mnisadie hili jambo. Nimedumu na mpenzi wangu kipenzi kwa muda wa miaka mitatu mpaka sasa. Tuna ndoto kubwa ya kuja kuwa wanandoa muda si mrefu, lakini katika miaka mitatu mimi "male"...
4 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu kwemaaa kabisa! Nkamwambia usiniombe msamaha, hayo ndio matokoe ya ushamba na ujuaji, nilikuambia usiooe mwanamke asiye na bikra, hukunisikia licha ya kukushauri kwa nguvu zote. Tena mpaka...
17 Reactions
64 Replies
5K Views
Nimefurahi sana vifurushi kupanda ndoa zetu zipumue weeeee, Maana mimi na shemeji yenu hapa maelewano yalikua ni zero. Alikua haambiliki mara facebook, mara Instagram, mara Twitter. Watu...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wandugu, Kuna swali nimekaa nalo sana kichwani, mwingine anaweza kuona ni la kijinga ila ni swali ambalo ninahitaji kufahamu. Hili jukwaa la mapenzi na mahusiano ndio sehemu haswa ya...
17 Reactions
222 Replies
35K Views
Habari ya hapa!!!!!! Naomba ufahamu kuwa sipendi tabia ya ushoga / usagaji. habari ya kutaka kunitumia kadi ya benki na mirathi uliyoachiwa na wazazi wako ili nikutunzie mpaka utoke huko nnchi za...
9 Reactions
135 Replies
25K Views
Back
Top Bottom