Nanukuu mashairi ya wimbo "Nje ya box" wa kundi la Weusi
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa...
Wakuu
Huwa nawashangaa sana watu eti ana mchumba yupo mwanza kikazi na yeye yupo Dodoma kikazi ...halafu wanadai eti wanaaminiana ..!
Kiuhalisia wote wawili ni wachepukaji wazuri sanaa ila...
Hii ni kauli ya aliyekuwa Rais wa Tz Mzee wa Ruksa a.k.a. baba Hussein. Alipokuwa akitoa neno la faraja msibani Chato.
Ushauri: Oeni wanawake wenye umri mdogo (mnaowazidi miaka) ili mpate wa...
Habari Zenu wana JF Poleni na Msiba wa Rais,
Tuendelee Sasa kipindi wakati nimemaliza Form four nikiwa Nyumbani tu Mama yangu Mzazi Aliniambia hataki nikae tu hivi hivi ni heli Anitafutie kazi ya...
*
Nimefundisha semina nyingi za wajane 99.9% wanaohudhuria ni wanawake. Mchango huu hapa chini una ukweli usiofichika.
👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
SABABU INAYOFANYA WABABA KUFA MAPEMA!!
Baba anapokuwa bado...
Fursa zipo kila mahali , kinachotakiwa ni jicho tu la kuziona na kuzifanyia kazi..baada ya hapo unatulia na kula hela...
Date my family Tanzania ipo nchi zingine pia kwa majina ya hizo nchi.. Ni...
Jaman habari za wakati, Kwanza wote polen na kuondokewa na kiongozi wa Kitaifa.
Mimi Nina mchumba kabisa kabisa. Ila wandugu yamenikuta leo. Nimevusha kadogodogo furani na nikafanikiwa kukimbiza...
Wale tuliowahi kuambiwa taarifa hizi za kusitkitisha na kuvunja moyo njooni tupeane moyo na nguvu za kuendelea na maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanaume waliooa tupe kero au usumbufu ulioupata hadi kufanikiwa kumpata huyo mkeo.
Kuna wengine hadi walikaribia kufirisika wengine ushindani ulikuwa mkali nk.
Tupe uzoefu wako
Hii imezoeleka na sasa hivi imeshakuwa kama kawaida yetu wanaume wote kuambiwa tunapenda kutest mitambo hata kabla ya chochote kile,sawa tumekubali hii kwetu (hasa mimi) kukaa na wewe kama kaka na...
Salaam,
Naomba tuzungumzie hili suala mana inawezekana wengi wanateseka lakini hawajui. Kwa watu wenye uelewa juu ya hili ni vizuri kutueleza.
Karibuni.
Leo ndio nimeamini mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatokua na shida na fedha zako.
Mwanamke mmoja mkali sana ameniletea zawadi Leo, nimefurahi sana hata usingizi hauji yaani. Tena...
Imenitokea jana nimekutana na dada ambaye tumesoma naye nikaenda naye kwenye bar ya karibu,matokeo yake kaanza kuagiza vinywaji hata majina ana babaika,kiungwana wanaume tulio wengi uwezo wetu ni...
Ushauri wakuu
Kuna binti (mpenzi) kanigeuza Erick Omondi maana siku hizi akiwa bored ndio ananitxt ili tuchat acheke ila tukipanga aje maskani anadai kwa sasa yuko busy hawezi pata muda wa kuja...
Omekua kawaida sasa kuona kila anayekutongoza anajaribu kuonesha how much he has. labda hii inachangiwa na namna tunavyoonekana kuwa ni viumbe tunaopenda kuhongwa. Utakuta msg inbox, "umekula?"...
Hivi Tanzania hii kuna wanawake wameumbika vizuri na wana maumbile mazuri kuliko wanawake wa kanda ya ziwa?
Kanda ya Ziwa tumebarikiwa kila kitu, kuanzia utajiri wa rasilimali hadi kwa wanawake...
Dereva Roger Bouvier
Ramani ya Tunnel lilipopita
Celine Figard
Baba wa Celine Bernard Figard
Nimelazimika kuweka huu mkasa leo hii siku ya Alhamisi kwa sababu kesho Ijumaa nasafiri kwenda...
Habari wana JF
Niende kwenye maada hawa wake za watu na wamam watu wazima wanaonga kiwango cha SGR
Nina experience kwenye hili Kwahiyo nawasihii vijana mnaopigwa vizinga deile hamieni upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.