Nilisomea udereva, katika hustle zangu nilifanikiwa kuajiriwa kwenye makampuni ya asafirishaji wa mafuta kwenda nchi jirani kama congo, zambia Et el.
Kwa namna yoyote ile nilipambana zaidi...
Huyu Mama alikuwa Afisa Muuguzi Mkunga, mwenye elimu ya stashahada toka KCMC COLLEGE na shahada Muhimbili university.
Alifariki akiwa na miaka 58 (miaka 2 kabla ya umri wa kustaafu), kwa shinikizo...
Kwenye maisha ya ndoa unatakiwa uwe na akili sana na kufanya maamuzi sometimes magumu ili maisha yaendelee. Kuna wanaoamua kufuata mfumo dume kutokana na aina ya wake zao, wengine mfumo...
Jamaa mmoja huko SA amebadilisha kabisa maisha ya mwanamke mmoja kijana---yaani kile ambacho wazungu wanaita u-turn. Alikutana na mwanamke huyo mtaani akiwa mchafumchafu akamuomba rand 50 kwani...
Ndugu zangu kijana wenu najipanga kati ya mwezi wa 12 Au wa kwanza najipanga kuoa hivyo napenda kufahamu mambo gani muhimu natakiwa niwe nimeyatimiza kabla sijaingia katika ndoa
Naombeni ushauri...
Mungu awabariki sana na kuwajalia maisha marefu kwa wanawake wote ambao pale wapenzi/waume zenu pindi tunapochelewa rudi home hamlali mnakaa sebleni mkitusubiri mpaka turudi.
Sometimes unakuta...
Wadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana...
Ili uweze kumpata kirahisi mwanamke unayemtaka unatakiwa kujifunza mbinu mpya za kutongoza. Wengi wanashindwa kuwapata watoto wanaowapenda kwa sababu ya kutumia maneno ya kawaida au ambayo...
Asante Mungu!!!
Ni miezi 18 tangu Mahakama kutengua ndoa iliyofungwa miaka 8 iliyopita.
Na huu ukawa mwanzo wa maisha mpya, maisha ya utulivu wa akili, amani moyoni na huru wa maamuzi.Na ukawa...
Naandika haya kwa uchungu mwingi sana, imekuwepo tabia ambayo inatia maudhi kama si hasira ya kwamba mnapotofautiana wewe na mwenza wako halafu katika majibizano yenu wewe mwanaume ukaamua...
Sina maneno meengi sana ila naomba niwakumbushe wanaume wenzangu kwamba toka enzi na enzi formula tuliyokuwa tunatumia ni moja tuu, kwamba "MKE NI MALI YAKO NA CHOCHOTE ATAKACHOVUNA NI HALALI...
Dada aliyedhalilishwa kwa kupigwa ikisadikika kwa kufumaniwa na mme wa mtu amesema wakati wa shamlashamla aliibiwa shilingi laki tisa
Mimi sham natuma salamu Kwanza pole kwako kwa kudhalilishwa...
Salaam great thinkers
Talaka zimekuwa gumzo/talk of town.
Kwa mtazamo wako, unahisi nini kinapelekea, watu waliopendana, wakaoana kwa hiari/utashi wao bila shuruti, wakaishi na kupata watoto...
Habari wakuu
Nimekuwa nikiota sana ndoto nyevu usiku ,Mara ya kwanza nilijua ni hali ya kawaida kwan utotoni ilikuwa inatokea ila sasa ni too much, halipiti week hayo mambo hayajanitokea ...
Nikiangalia shule nyingi za sekondari, walimu wa kiume mna kazi sana hasa kwa hawa mabinti kiukweli kibinadamu wanatamanisha na walimu wenyewe vijana ndio wengi siku hizi.
Sijui mnaepuka vipi...
Habari zenu wakuu
Ule usemi wa kwamba mwanamke haelewi kitu anachokitaka hasa kwa mwanaume unazidi kuzaa facts zaidi.
Ebwana eh huyu dem yani ni anapewa kila kitu na jamaa ake. Unajua kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.