Wadau
Habari za asubuhi hivi kuna haka katabia sisi mabachelor wenye vyumba viwili na kitanda kimoja tukipata wageni mara nyingi wageni wanakuja na mashuka yao huwa hatujui kama wasafi au Lah mara...
Single mother umekua wimbo saizi, kesi zetu ni nyingi tunachekwa na kudiscussiwa sana but ndo ishatokea Maisha hayana rewind button.
Haya wajameni ushauli wenu ni muhim kwa single mother mim...
Tuanze kama ifuatavyo
JIFUNZE KUSAMEHE NA KUSAHAU:
Hakuna jambo ambalo hutuliza fikra na hisia za mapenzi kama kukubali kumsamehe yule aliyekuudhi kabla hata hajakuomba msamaha na kuamua kusahau...
Mojawapo ya mambo muhimu katika mafanikio ya aina yoyote maishani ni kupata msaada wa aina Fulani kutoka kwa watu wengine. Mtu hawezi kufanikiwa bila msaada wa watu,kwa maana hakuna mtu anayejua...
Habari za leo wakuu,
Katika swala la kuoa wakuu, tusilete mchezo tuoe wanawake wenye hela, kazi nzuri, na wanaotokea familia za kitajiri ili hata siku usipokuwepo watoto wako wasipate shida...
Nisaidieni bure.
Nimejengeka na mentality kua hela ya mke ni yamke na ya mume niyafamilia.
Jambo linalonifanya nione bora kuoa golikipa tu kuliko kuoa mke alonakazi iso na msaada ndan ya nyumba...
Habarini wakuu,
Ipo hivi, huwa najiuliza sana kwamba ni bora kuelezea hisia zako mapema baada ya mazoea ya muda mfupi au kusubiri subiri kwa muda .
Kwa sababu naona unaweza ukawahi ukaonekana...
Habari wadau.
Je, hii ni kweli maana kwa nayoyasikia kwa rafiki, ndugu na jamaa huwa hazidumu drama nyingi ndoa za maskini ambao hawapajui chuo kikuu zinadumu na zina amani kuliko za waliosoma...
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wanaume wenzangu wote popote duniani kwa kazi kubwa ambayo tumeifanya tangu kuumbwa kwa ulimwengu mpaka sasa!
Kwakweli tumefanya kazi sana, tumeteseka sana...
Salaam sana wanabodi!
NANI AJUAYE KESHO?
Mwaka 2005 Diamond alisafiri kwenda Tanga kuomba kuperform kwenye show ya Q-Chilla. Mabaunsa wakamtimua. Alipojaribu kuwaelewesha wakambeba juu juu na...
Habari za leo wakuu,
Leo ngoja niweke wazi moja ya tatizo langu linalonikumba.
Kiukweli niseme tu ukweli nina bahati ya kujenga urafiki na mwanamke yeyote anayebahatika kukutana namimi nakukaa...
Hivi Umewahi kuumizwa na mtu ambaye ulimuamini sana? How did u handle it guys? [emoji50][emoji50][emoji50]
Zamani sana Ilikuwa Darasa La 7 B Bunge Primary, kuna msichana niliwahi kumuamini hadi...
KAMA KWELI UNAMPENDA MVUMILIE
🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
Wahenga walisema mvumilivu hula mbivu.Ndoa nyingi za mababu na mabibi zetu zilidumu sana mpaka kufikia hatua ya kufa na kuzikana .
Lakini ndoa nyingi...
Kuna Wanawake Wana Kazi Zao na Wana Hela, Kuna Wanawake Kwao Wako Vizuri, Yani Pesa Zipo. Kuna Wanawake Wanajua Kutafuta Pesa, Hata kama Hawana Kazi.
Pia Kuna Wanawake Hawajitumi, Wao Ni Kuomba...
Katika jambo ambalo huwa linanisumbua ni hili la ndoto.
Namshukuru Mungu huwa naota sana haipati siku 3 bila kuota jambo lolote, hata lisilonihusu mimi laweza linalohusu jirani, ndugu na watu...
Kwa bahati mbaya wazazi wangu wamefariki nikiwa mdogo japo sio sana, baba alifariki 2004 nikiwa form 2, mama alifariki 2006 nikiwa form four,{mwenyezimungu awalaze mahala pema peponi}
Jana...
1.Uhusiano wa single mother na mwanaume aliye zaa nae hauwezi kufa kwa sababu bado anatembea na damu yake.
2.Kipaumbele kikubwa katika mahusiano na single mother ni mwanae cha pili yeye cha tatu...
Ndugu husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu.
Mimi ni kijana (27) na nimeoa. Nina mke wangu nimpendaye katika maisha yangu ila kwa anavyonishutuma mimi ni mzinzi, mara malaya , siaminiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.