Habari za muda huu waheshimiwa
Jana nimeona video clip inayomuonyesha Mwanaume aliyekatwa masikio baada ya kufumaniwa akizini na mke wa mtu ikisambaa kupitia mitandao ya kijamii, video clip hiyo...
Mike Oliver mzungu toka UK, ni mtalii aliyetembelea nchini Kenya tangu mwaka mmoja uliopita. Mpaka jana 24 August 2020 baharia amethibitisha kutembea na wanawake 300 huko Kenya.
Ametoa...
My mood right now[emoji116]
On the day that your mentality
Decides to try to catch up with your biology
Come 'round 'cause I want the one I can't have
And it's driving me mad
It's all over...
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.
Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini...
Habari wana jf,nimekuwa na tabia ya kutongoza ovyoovyo kila mwanamke ninae muona mate hunindoka naomba nijue tabia hii ni mimi tu,au kuna wenzangu na wanaonizidi mimi, nawasilisha,mapovu sitaki...
Mimi ni kijana age 20's nina ndoto ya kuja kuwa na familia yenye furaha,amani,upendo na kumtukuza mungu pia naamin mungu atafanya kweli juu ya tumaini langu hili Sina mke mchumba Wala mtoto ila...
Jamvini hodi!!
Natumaini mko wazima na sherehe ya pasaka kwa wakristo
Awali ya yote nimeona vyema kuuliza kiswali hiki
Kwa nini wanaume tusiona Pete ya ndoa tunaogopewa sana kuliko wanaume...
Habarini , naamini kichwa kinajieleza.
Kwa upande wangu katika vitu vinavyokera hiki ni kimoja wapo. Ushawahi kumpigia mtu simu( MTU wako wa karibu ) halafu akakuuliza we nani, na mlikuwa na...
Mwenda tezi na OMO.
Kumekuwa na nyuzi nyingi za watu kulialia kuhusu kuliwa wake zao, wengine kwenda mbali zaidi kiasi cha kutoona umuhimu wa NDOA kwa yale wanayoyashuhuduia.
Ni ukweli ulio wazi...
The family was at the dining table. The little 10-year-old girl wasn't eating and had her nose in her plate….
After a few moments, she said, “I’ve
something to tell you people”
Silence around...
ushauri baaazeee...
...Inakuwaje pale baada ya kusota madarasani vya kutosha, na kujipatia Qualifications nzuri, na a dream job inayokamilisha 95% ya matakwa ya maisha ikiwemo a dream car...
Wadau amani iwe kwenu.
Nakumbuka kuna mada fulanifulani nilizowahi kuleta humu kuhusu mimi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwalimu wangu wa hesabu.
Sasa ukweli wenyewe ni huu, Je ilikuwaje...
Wadau ni mkasa gani wa ajabu uliowahi kufanya wakati ukiwa bwax ambao hutokaa uusahau au ulikufanya uache pombe? Binafsi ilinitokea mikasa kadhaa ila ambao ctokaa niusahau ni siku ambayo nilikata...
Imemtokea mdogo wangu ukoo mmoja saivi anazidi kukonda tu: umri wa wote ni kati ya 21-27.
Alimpenda dada mmoja 2018,mtoto wa kike nae alimpenda pia jamaa akawa serious nae na kutangaza kuishi...
Mama Samia ni mfano bora sana kwa wanawake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Pamoja na kushika nafasi kubwa serikalini kwa muda mrefu lakini bado ameendelea kumheshimu mumewe na hivyo kudumisha...
Sina nia ya kukashfu wa kutukana kabila la mtu, ila hapa natoa mtazamo wangu mimi kama mtimawachi.
Tukija kwenye baadhi ya vitabu vya dini vinakiri kabisa kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu. Tumeaswa...
Yaani msichana anaweka x videos kwenye simu na mpo kwenye 6×6 anaanza kuangalia, alaf anachukua dushe, analiweka kwa juu anataka umsugue mpaka anapizi, then ndo na anakuwekea na wewe ili walau...
Salaam wakuu,
Katika kutibu kiu ya kujua mambo mimi na wenzangu wawili Mayalla na Mshana Jr (sio majina yao halisi ) tuliamua kufanya utafiti binafsi juu ya "women obidience to their bosses VS...
Ndugu zangu natanguliza salaam,
Kwenye tembea tembea zangu kuna bint nimekutana nae nimevutiwa nae na nafikilia kumuoa bint wa kingindo mwenyeji wa kilwa na mimi ni mmanyema mwenyeji wa kigoma...
Hooo mimi siwezi kuoa mwanamke aliyezalishwa (single mother)sawa usioe ila hakikisha utakayemuoa ana bikra,kama hana bikra ujue alishatiwa mimba kumi kidogo akaziporomosha,umeoa jambazi muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.