Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Eeh Mungu Mwenyezi, ninakushukuru kwa ajili ya Taifa langu zuri la Tanzania. Mwaka huu wa uchaguzi 2020 ninaomba ututetee, haki itamalaki katika Taifa letu. Tusaidie tupate viongozi wanaolipenda...
2 Reactions
4 Replies
757 Views
Wadau naomba msaada juu ya hili, maana kuna madada wengine wakiwa kwenye game huwa ni kero. Yaani unakuta mnaishi nyumba ya watu wengi alafu kila mtu na habari zake, huyu katoka shamba, gulioni...
8 Reactions
60 Replies
9K Views
Natumai hamjambo Wakuu ndoa nyingi kwa sasa zinavunjika kwa sababu wanaume tumeshindwa kubadilika tukaendana na mfumo rasmi unaotawala jamii kwa sasa, jamii ya sasa inatawaliwa na mfumo wa haki...
15 Reactions
243 Replies
19K Views
Jana yamenikuta! Nilienda zangu tips kuinjoi weekend baada ya uchovu wa kazi overtime. Nikakutana na msichana mrembo haswa tukasimama meza moja tukaanza kula kilaji huku tukipiga story na...
6 Reactions
46 Replies
6K Views
Nina binti nilikuwa naye kwenye mahusino miaka 3 mpaka sasa, nilitarajia ndio awe mke wangu wa ndoa. Kinachonipa wasiwasi ni kuwa huyu binti mwaka huu amechaguliwa kusoma Chuo level ya Afya miaka...
10 Reactions
141 Replies
10K Views
Hapa ninazungumzia suala la afya za watoto wetu hawa tunaowazaa. Inataka kuzoeleka sasa kwa watoto kuzaliwa wakiwa tayari wakiwa wameathirika na ukimwi licha njia mbalimbali za kitaalamu...
16 Reactions
18 Replies
2K Views
Sijui kwanini hii Coincidence inanitokea sana
1 Reactions
76 Replies
10K Views
Habari za wakati huu wanaJF. Acha niende kwenye maada husika..! Niko kwenye mahusiano serious kabisa na mtoto wa Watu. Tayari nimeshatoa mahali kiasi (50%) panapo majaliwa nitapeleka tena kiasi...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Ilikuwa siku ya Jumamosi saa nne asubuhi nimefatana na mchepuko wangu tuition, kufika saa sita na nusu mchana tulitoka kila mtu na kuelekea kwao. Kufika jioni akataka nimfuate kwao mitaa ya...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Ni asubuhi nyingine, matumaini ni kuwa mmeamka salama. Je, ni sahihi kumuacha mkeo kufanya biashara ya kusafiri kwenda mbali kufuata mzigo au bidhaa akiwa mwenyewe? Mfano, mke kusafiri kwenda...
9 Reactions
166 Replies
11K Views
Habari zenu wakuuu! CCM oooyeee!! Unajua juzi bana niligombana na shemeji yenu, ni binti tuu hajafikisha hata miaka 23, sasa tumegombana mimi nikapiga zangu kimya nayeye akajidai kama anakaza...
10 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari wana JF wote. Kumekuwa na michango mizuri sana ya kuelimisha kuhusu maisha yetu ya kila siku toka hapa JF. Lakini ni vema tunapochangia kuhusu wanawake tukawa na staha, kwa maana...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Wana MMU Hivi unajiskiaje mwanaume kulipa mahari kwa ajili ya mwanamke asiye kigoli? Thamani ya mwanamke ni seal. Kama hana seal alafu ukalipia seal ni sawa na kununua tumba kwa bei ya dukani...
7 Reactions
94 Replies
7K Views
Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema. Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia...
15 Reactions
58 Replies
7K Views
Wale mliozaa na kusomesha mpaka watoto wamepata kazi na kuoa /olewa. Sasa baba akapata uhamisho wa kikazi akahama mkoa, mke akamwachia nyumba na mtoto mmoja labda ila wengine wameshaoa. Kwa...
6 Reactions
66 Replies
6K Views
Dar es Salaam. Mkazi wa Tabata Liwiti, Magreth Silaeli (37) ameieleza Mahakama ya Mwanzo Buguruni kuwa walikubaliana na mume wake, Raymond Kulaya (44), waachane kwa muda ili kila mtu akatafute...
9 Reactions
67 Replies
7K Views
>Ni Sifa Zipi Nazotakiwa Kuwa Nazo Ili Nipate Mke Toka Zanzbar.!! ............ >Sambamba na Hil, Hebu Nionjesheni Sifa Zao Kulingana na Sehemu au Jamii Watokayo, Japo Najua Chache. ...
0 Reactions
73 Replies
12K Views
Twende moja kwa 1 kwenye mada maana kuna wateja wamenizunguka hapa! Mtaani kwangu nina jirani yangu single mother, imekua na kawaida kila nikitoka kazini mtoto wake ananikimbilia huku anaita...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Corona inua so kukumbushana ni vizuri
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom