Unakuta ni familia yenye uwezo, lakini watoto wao wa kiume hawana uwezo wa kupata watoto. Katika maendeleo ya mwanadamu, kilichosabisha ustaarabu wa kuoana na kuanzisha familia ilikua ni...
Bandugu wa JamiiForums
Nimeleta hili jambo limenitokea usiku huu hapa alichokifanya huyu rafiki yangu
Mimi ni rafiki toka zamani tulipokutana chuo mwaka wa kwanza hadi sasa tupo mwaka wa pili...
Aiseee hali si shwari mtaani.
Halafu wadau wamegundua kwamba hii kitu imekuwa kichocheo kikubwa cha mahusiano katika nyakati hizi za mwisho za dunia, bahati mbaya wake zetu vipenzi (most of...
Habari wana jammvi,
naanza scenario maelezo yatafuata chini;
Scenario No. 1
Kuna baadhi ya familia kuanzia baba hadi watoto kwa ajili ya kuogopa au usumbufu wa kuamka usiku kwenda kujisaidia...
Ni takribani miaka 6 sasa tangu nianze kudadisi na kutafiti juu ya wimbi la kujichua maarufu kama Punyeto kwa Wanawake na Wanaume.
Mwishoni mwa mwezi October mwaka jana nimehitimisha utafiti huo...
I have come to an agreement with this thought.
Let me explain.
Kwanza kabisa I am not talking about sex. I am talking about love as it is - Love. Not love making. LOVE as Love.
Tunaumizwa sana...
Miaka 25-35 ni kipindi kigumu sana kwa kijana wa kiume. Ndio mambo mengi yapo hapo. Maisha na mapenzi.
Ndio kipindi ambacho hata mwili unahitaji zaidi na unaweza kumudu vizuri tendo la...
MWANAUME NI NANI KATIKA JAMII?
o Mwanaume ni kiongozi wa familia
o Mwanaume ni mlinzi wa mwanamke pamoja na familia
o Mwanaume ni mfano wa kuigwa na jamii
o Mwanaume ni mrithi wa Mungu...
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kifungu cha 9, kinatoa tafsiri ya ndoa kuwa ni muunganiko wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote.
Ndoa ni...
Umepata kusikia Kalenda ya uzazi ya Kichina? Kuna watu wamejaribu kuitazama ina kaukweli, Wachina noma!
Chinese Birth Calendar
Predict Your Babies Gender...
Bwana Bwana Bwana acheni....
Wahenga wanasema hakuna mkate mgum kwenye chai, na kila kubwa na kubwa yake.....
Nawasilim wakuu ,
Two weeks ago nileleta uzi wangu bout how hard imekua kwangu kuweza...
Moja kwa moja kwenye bandiko
Ukaribu na marafiki Ndugu katika karnee hi umebadilika hasa pale unapowazidii kdg kimaishaa unawaona watu wema kwako unajaribu ku'share nao mambo yako lakini mwisho...
Baba angu ana wake watatu wawili aliwaacha wa tatu ndo mama angu! Mke wa kwanza watatoto wiwili mke wa pili mmoja nazani baba alichepuka maana ni mkubwa kuliko mtoto wa pili wa mke wa kwanza, na...
Kuna jambo binafsi nimekuwa siliamini sana kama lipo, labda sababu kuona ni kuamini.
Kuna 'sista' wangu mmoja leo ame-share nami kitu kilichonishangaza kidogo, wenye ndoa wenzangu labda mnaweza...
Maishani kuna mengi ya kukumbukwa, ila kuna mengine ya kukumbukwa zaidi. Hii ni kutokana na uzito wake
Mke wa mtu sumu
Dada huyu alikuwa na duka jirani na ambapo nilikuwa naishi. SIkuwa na...
Mwenzenu nakuwa mnyonge sana nakosa raha sijiamini hata kidogo,akiniona nitamsalimia kinafiki asiponiona nitajikausha,hata nikifika nyumbani wife atajua tu kuwa siko sawa.
Ila nikionana na...
Kuna mtu unaweza ukakaa nae ukamsikia anakwambia bila uoga na hofu (mimi nilikua mmoja wao katika hao watu) utamsikia anakwambia Mimi unavyoniona hapa sina rafiki/marafiki yani rafiki yangu ni...
Kumekuwa tamaduni kijana akipata kazi anakimbilia kuoa huku kiuchumi hajajipanga vizuli siku akiachishwa kazi anaanza kuhaha familia ataiendesha vipi wengine kazi ikishapotea ndoa inaanza mgogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.