Wakuu habari,
Mimi ni siamini kuhusu masuala ya dini, ila naamini binadamu tunapaswa kuishi kwa upendo kati yetu na tuwapende pia viumbe wengine, naamini hii ndio 'perfect' na 'universal dini'...
Wakuu
Naomba nisamaraizi
Nilioa mwaka jana kutokana na shinikizo la wazazi, nilikua na wasichana wawili ambao niliwatambulisha kwa wazazi
Mmoja alikua ni jirani yetu alikua anajulikana tabia...
KWA MARA NYINGINE TENA NIKIWA KATIKA HARAKATI ZA KUIJAZA DUNIA
LEO KATIKA KIJIJI CHETU X TULIKUWA NA MKUTANO WA KIJIJI KUJALI MAMBO YA MAENDELEO YA KIJIJI CHETU,BASI WANAKIJIJI TUKAWA TUNATOA...
Wakuu,
Kama umefanya mapenzi siku ya leo sema neno hapa, ilikuaje? Ume enjoy? Ulikutanaje nae?
Yeah kila siku ni leo.. Hivyo kila leo ukila tunda pitia hapa utuambie neo.
Mimi leo nilikua na...
Mimi ni mdada above 40 niliolewa nikaachana na mwenzangu some years ago. Kwa vile nilikua busy kusomesha watoto zangu watatu ambao sasa wameweza kujitegemea, sikutaka kua na uhusiano wa kimapenzi...
Habar za majukum wakuu na wapendwa wa JF?
Nimekuwa na wakati mgumu sana wa kutoa maamuzi juu ya kisa hichi kilichonitokea ni Week ya tatu sasa ipo km ifuatavyo.
Imetokea kumpenda binti mmoja ni...
WanaJF, naamini mko salama. Hata yule anayeamini hayuko salama nadhani ugumu ni namna tu anavyotafsiri mambo na si mambo yalivyo.
Kutokana na upungufu wa mashangazi, ma mdogo na wazee wa kuweka...
Jana nimeamka asubuhi nikatafakari kwa kina sana juu ya maisha haya. Kubwa zaidi ni namna aliyewahi kuwa mpnz wangu aliponishambulia sana kuwa nimempa pesa kidogo,(aliniomba 150,000/= lakini mimi...
Ndugu zangu ni kitambo sana sijaweka neno hapa, nimekuwa nikisoma yanayoendelea kutukumba binadamu sisi kwenye maisha yetu ya kila siku.
Kwa mara ya mwisho niliweka uzi wangu hapa, baada ya mpenzi...
Mara ya kwanza niliona umechangia uzi fulani back in 2014, nilikua mgeni hapa JF ila i can't tell how i felt about you nakuadmire secretly, since then, i promised myself to love you with all my...
Naolewa siku sio nyingi ,ila nimeamua kufanya revenge kwa wanaume walionicha
Wa kwanza nilimtafuta nikamlilia sana nikampa na limbwata ,ndoa yake inapumulia oxygen amemfukuza mke wake anaplan...
Ni miaka 5 sasa tangu tutengane lakini bado nakupenda na nakukumbuka sana. Mapenzi yangu kwako hayajawahi kuisha na kwamwe hayatoisha kwasababu nakupenda kwa dhati toka uvungu wa moyo wangu.
Mi...
Habari Wakuu,
Je, ni Vyema kumuoa mtu mliyefahamiana kwa muda mrefu mfano mmesoma wote chuo au ambaye mmefahamiana kwa kipindi kifupi?
Ni uhusiano upi una nafasi kubwa ya kudumu?
nakumbuka kuna manzi wangu mmoja miaka ya 2016 tulikuwa tunapendana sana ila nilivyoona
1.kila siku asubuhi mimi ndio naanzisha good morning na nisipoanzisha mpka inafika saa 5 mchana...
Miezi miwili imepita Toka nimesafiri kwenda Dar kibiashara, siti niliuokaa alikuja kukaa jimama la Kihaya zuri la kiwango Cha mwendo kasi, ikabidi tuanze kufahamiana aliniambia ye ni...
Ikiwa mtu anajua fika kuwa huyo mwanaume anamtaka, kisha akampa namba, binafsi naichukulia kama nia ya wazi ya kusaliti in the near future
Je kumpiga chini ni uamuzi wa kukurupuka? Moja ya...
Nimefanya utafiti wa wanawake nimegundua mwanamke mwenye mapaja manene ni mtamu kuliko mwenye mapaja membamba yani akipanua ili uingie mizuka inapanda kwa kasi ya mwanga kuliko mwanamke mwembamba...
Habarini ndugu zangu.
Leo nimeamua kuja na hoja kama title yenyewe inavyoonesha.
Nimekuwa nikiishi na vijana wengi sana ambao umri wao hauzid miaka 28.
Lakini cha kushangaza kuna wamama ambao...
Katika utafiti mdogo nilioufanya nimegundua asilimia kubwa ya ndoa zinazodumu ni zile ambazo kijana ametaftiwa mke na wazazi wake na yye akaridhia hilo
Kijana wa leo haoni kuvunja ndoa kama ni...
Habari wakuu!
Hivi majuzi nilipata bahati ya kukutana na mrembo wa chuo cha NIT mwaka wa pili, haka kabinti kana weusi wa kuteleza, macho makubwa kiasi na nyusi nyingi, kiasili ni Mhaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.