Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mafuta ya misk Mnyama AL GHAZALI FAIDA ZA MNYAMA AL GHAZALI: 1.Faida ya kwanza ya mnyama huyu ni nyama 2.Faida ya pili hutoa mafuta ya misk Sasa basi leo tutazungumzia juu ya faida na...
1 Reactions
41 Replies
15K Views
Kama unaishi na mdogo wako wa kike au wa kiume nyumbani kwako kuwa makini sana naye, usimuamini kwa 100% siku hizi kutembea na mashemeji imekuwa kama fashion Tena hawa mabinti ndio hatari...
21 Reactions
107 Replies
15K Views
Kuna binti katokea kunipenda tena sana na tayari anamtoto mmoja lengo la huyo binti anataka mwaka kesho tuwe mke na mume utofauti we2 kwenye umri ni mwaka mmoja.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Miezi miwili iliyopita nilipelekwa polisi na wazazi wa mke wangu, kwa kosa la kumpiga binti yao karibu nimuue, ndugu walikuja kunitoa Iko hivi; Huyu binti nilimuoa miaka miwili iliyopita na tuna...
143 Reactions
492 Replies
73K Views
Mwanaume anacheat sababu ya sex ila mwanamke anacheat sababu ya upendo!anacheat na mtu anaempenda!! anacheat kwa mapendo, anacheat sababu anampenda huyo anaecheat nae!! Women cheat for love and...
3 Reactions
20 Replies
36K Views
Nilimuokotea kituoni......... Naomba nikiri kwamba katika mbilinge zangu za kuwania mabinti ujanani nilipata misukosuko mingi sana kiasi kwamba kila nikikumbuka huwa nacheka mwenyewe. Namuomba...
42 Reactions
170 Replies
16K Views
Usaliti kwenye ndoa imekuwa kitu cha kawaida mno, Wapo wengi mno wamepangishia vimada chumba, au nyumba nzima sasa hufikia penzi likanoga mpaka watu wakataliki wale zao au waume zao wa ndoa ili...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Nina umri wa miaka 48 nimeoa na nina watoto wanne. Kuna kabinti nilikakuta mahali nikakatania kama nakataka ila ni kazuri. Cha jabu last weekend kakanitafuta tukakaa sehemu na kupiga story. Baada...
7 Reactions
79 Replies
7K Views
  • Closed
Wakuu nimeanza mahusiano na binti wa Kihaya amehitimu mwaka Jana MUHAS - Doctor of Medicine (MD) Sasa anatafuta ajira ila nilipofikisha taarifa home kuwa nataka tupeleke mahari kwao. Wazazi...
7 Reactions
299 Replies
27K Views
Wana-JF,Naingia hapa jamvini kama mdau mchanga sana,Kwenu naomba ushauri wa janga hili;Shoga yake na wife ambaye ni jirani yetu hapa maskani alinikamata mguu miaka kama mitatu imepita...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Najua humu kuna watu wenye busara na ushauri mzuri kabla cjafanya maamuzi, Nistori ndefu lakn nafupisha, Ipo hivi mm nimeoa mke nilimkuta single mother, mwanaume wake wa zamani ndio anatia doa...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
Nimeshuka kutoka ktk DalaDala ili niende zangu kwa Anko maeneo ya Masaki . Nilipo kuwa njiani nikaona gari aina ya mercedes benz likapaki pale nje, nilipokuwa bado nashangaa uzuri wa gari lile...
13 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naona wiki hii ni single mother tuu, jamani wadada wote mliozaa nyumbani au hata kuachika, usikubali eti mwanaume aje akuoe ambae hana mbele wala nyumba au kifupi hawezi kumudu...
8 Reactions
70 Replies
8K Views
Au afe....!!! Tunamaliza mwaka bado siku chache sana.... Wengi tumepoteza wapendwa wetu... Watu ambao tusingetamani wafe, mimi ni mmojawapo... Mtu aliyekuwa priority katika maisha yangu...
16 Reactions
193 Replies
15K Views
Unajiita super woman wakati hata ndoa bado huijui na wala hujui utaolewa lini. Kazi yako kukaa mitaani kila mwanamme anaekupigia miuzi unamfuata na kuzaa nae mitoto ya nje ya ndoa. Dadangu wewe ni...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nimala kadhaa huyu dogo amekua akiniomba hela kitendo kinachofanya nifikirie pengine mume wake hamjari au vipi Pia ukiangalia mume wake anapata mshahara mzuri tu mwisho wa mwezi na...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Akili itakwambia mwanamke wa kuoa ni lazima awe mcha Mungu maana mwanamke mcha Mungu ana mambo mengi ndani yake!heshima,uaminifu,ukarimu n.k Kisha moyo unakuja kupenda mwanamke wa club, mlevi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni kipi kinachosababisha wazazi kuwachukia watoto? Kuna jirani yangu ana mtoto mdogo, Kama mwaka mmoja na miezi michache, mtoto hupigwa, huteswa, husimangwa yaani ni mateso. Akiona mama yake...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Back
Top Bottom