Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Poleni na majukumu ya kila siku. Niende moja kwa moja kwenye story. Kulikuwa na mdada anaitwa Pendo na mwanaume alikuwa anaitwa Festo. Hawa watu walikuwa ni wachumba, baadaye taratibu zikafuata...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Katika dunia ya kileo wanawake (sio wote) wamekua wakijitunisha misuli dhidi ya wanaume kwa kusaka nafasi za upendeleo ili waweze kuwa katia sector za kuajiriwa na kupata fedha kama wanaume...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Umri wangu ni miaka 34 kwa sasa, Nina kazi as mwalimu, nafanya biashara na kilimo sana, nina nyumba zangu nilizojenga na nyingine za urithi, Nina mtoto mmoja namhudumia, mzazi mwenzangu...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Hapa ninazungumzia suala la afya za watoto wetu hawa tunaowazaa. Inataka kuzoeleka sasa kwa watoto kuzaliwa wakiwa tayari wakiwa wameathirika na ukimwi licha njia mbalimbali za kitaalamu...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Mambo vipi wakuu! Mimi ni kijana 26 aged ni mwembamba nina uzito 51kg, kuna kitu kinanitokea najikuta sielewi kabisa ufumbuzi wake naombeni ushauri wenu. Mimi sijaoa ila nina demu wangu ambaye...
10 Reactions
105 Replies
10K Views
Kuna kademu kazuri msomali sio msomali,mnyarwanda sio mnyarwanda kama vile kaethopia Fulani hivi matata! Sasa mtoto bado mbichi kabisa kanichengachenga kama maradona! Sasa nataka nitangaze ndoa...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Mifano ya Kichwa changu cha Habari ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania ila kwa Tanzania naona hali hii inaongezeka kila Uchao tu na Kututishia.
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo...
21 Reactions
121 Replies
11K Views
Wadau kuna siku nipo nafanya service garage fulani mara na baba mkwe naye akatia team amekuja fanya garage hapo hapo. Wametengeneza mara kuna spare inahitajika na amepungukiwa 190,000. Akanambia...
9 Reactions
53 Replies
5K Views
Ee bhana nikiri ukweli tu hapa naona kila dalili za kugongewa! Huyu dem nilikutana nae Kilakala Sekondary kipindi nikiwa kidato cha Nne na yeye akiwa kidato cha nne Bythat time nilikua Seminary...
11 Reactions
316 Replies
27K Views
Hiki kipindi cha Karantini tunashudia mengi jamani. Huko Italia kuna mwanaume mwenye asili ya Afrika amepiga simu polisi kuomba msaada wa kuondolewa nyumbani ili amuepuke mpenzi wake mwenye uraibu...
23 Reactions
111 Replies
13K Views
Nilianza kukutongoza miaka miwili iliyopita tukiwa collage na hatimaye ukanikubalia tukaanza mahusiano yetutena kwa furaha ya ajabu. Tangu niwe na wewe nilikuwa sijui uchungu wakutendwa...
0 Reactions
56 Replies
9K Views
Wakuu ni rafiki yangu wa karibu sana mwaka wa tatu anaishi na mke wake ambaye yeye anadai alimuoa tu kutokana na kwamba akiwa single aliwahi kutoka na huyo binti na hatimaye akapata ujauzito...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Katika kutibu kiu ya kujua mambo mimi na wenzangu wawili Thomas na Lilian (sio majina yao halisi ) tuliamua kufanya utafiti binafsi juu ya "women obidience to their bosses VS...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Hii ndiyo observation yangu 1.mademu wenye umri 19-24 kama mmependana bas ni kwel anakua amekupenda mara nying hawa mnakutana chuo.no vizinga,wote mnakula boom.anakupenda ulivyo.huyu hata...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuongea na mama wa mchumba wako ambaye una malengo naye lakini hujamtolea barua kuhusu mwenendo mbaya wa mahusiano yenu unaosababishwa na mwanaye.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ukiona mwanamke yeyote amekuacha na badala a move on na mtu mpya amemrudia ex wake ujue ni kwamba wewe umeshindwa kuvunja rekodi aliyoweka Ex wake. Maisha atayafurahia sana endapo utaweka sehemu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndoa nyingi zimekuwa zikikumbana na misukosuko mingi ambayo wakati mwingine huwa ni mateso makubwa,wakati mwingine hupelekea kuvunjika au kudhalilika katika jamii. LEO nitamzungumzia...
49 Reactions
146 Replies
15K Views
Kuna mazuzu wanadhani akimtongoza mwanamke kwa kumponda jamaa yake kwamba hafai basi yeye itakuwa ni rahisi yeye kumpata mwanamke huyo! Hapo itakuwa ni rahisi sana mtongozaji kupigwa chini na...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakubwa wanafaidi! Ni nadra sana kukuta wanandoa wakichat kwa meseji muda mwingi, kwa kile wanachokiita ndoa yenye heshima basi hutumiana jumbe nyeti tu au maelekezo ya majukumu yao. Wakati huo...
14 Reactions
52 Replies
5K Views
Back
Top Bottom