Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana MMU. Mchawi sio pesa. Katika mazingira yeyote yale wale wanapenda kupelekewa moto. Haijalishi una pesa au hauna, wewe peleka moto. Ukitaka kupoteza pesa zako basi puuzia suala la...
5 Reactions
27 Replies
6K Views
Tafiti nyingi za kisayansi zimefanyika na zingine zinaendelea kufanyika. Kwa sasa kuna uwezekano mkubwa sana wa kujua idadi ya wanaume walioshiriki ngono na mwanamke. Mwanamke anaposhiriki ngono...
4 Reactions
27 Replies
5K Views
Dunia ya Sasa imejaa ufitini rafiki kawa adui hakuna wa kumuamini kweli kikulacho ki nguoni mwako maendeleo yako rafiki anakasirika mtu unampa Siri yeye anazivujisha kwa maslahi yake akati...
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Wakuu, Nimeona leo nichangamshe jamvi kwa kuomba tujadili nini cha kufanya pale ambapo mwanaume unakua umepata mtoto... we usually get very excited when our loved ones are expecting and we get...
3 Reactions
81 Replies
7K Views
Kwanza poleni na msiba huu mzito uliotupata watanzania, Nije kwenye maada husika, ni hivi nna mchumba wangu ambaye kama Mungu akipenda ilikua awe mke, Ila kwa hili tukio la leo kwakweli nahisi...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa mume anaweza kukaa mda gani bila ya tendo la ndoa?na je unaeza pima kama ni kweli kaakaa mda mrefu kwa kuangalia wingi au uchache wa sperm? A friend of mine ameolewa na anampenda...
2 Reactions
108 Replies
51K Views
Tangu ijumaa tarehe 15 January 2021 imekua siku mbaya sana kwa bwana Abdul Jamaa aliyekua akijulikana kama baba Nasibu au Mzee Dangote. Hii issue ya mzee Abdul itapita lakini sisi kama jamii tuna...
14 Reactions
141 Replies
13K Views
Mwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau, dhihaka, matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa akiufanya na wanawake wengine, akiomba mrudiane naye usikubali. Nakusisitiza tena, USIKUBALI. Kama...
8 Reactions
49 Replies
7K Views
Katika kuonesha mahubati kidume nikajikamua nikamnunulia perfume kali na dawa moja ya mswaki nikafunga kwenye kibox maalumu siku yake ya kuzaliwa, cha ajabu nimeambulia mijitusi eti ile zawadi...
3 Reactions
56 Replies
5K Views
Safari ya mwanadamu inaanzia tumboni mwa mama yake. Hakuna anaeomba mama atakaemzaa, unajikuta uko kwenye familia. Inaweza kuwa duni au tajiri. Kituo cha kwanza cha maisha kinaanzia kwenye...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf wenzangu hebu njooni tulimalize hili tatizo na deep thinker na wenye uzoefu mahusiano au ndoa. Kuhusu huu mjadala wa kujifanya mjinga katika mahusiano ili kulinda mahusiano yako au kwa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari ndugu wana JF. Kwa muda sasa najisikia hisia za kudhuru watu kiasi kwamba nikipata hisia hiO nakuwa na raha fulani akilini . Hadi sasa nimesha muua mbwa wangu kwa kumpiga na gogo la mti...
12 Reactions
174 Replies
9K Views
wakuu polen kwa msiba huyu binti nimefahamiana nae kama mwiez miwil nyuma na sasa tumekuw wapenzi ana kazi (ni muajiriwa) mi mfanyabiashara kwa hyo huwa tunakutana mara nying weekend au nyakat...
22 Reactions
109 Replies
9K Views
Leo nilitembelewa na mpenzi wangu, akaenda bafuni kuoga, mara nikamuona anapiga mswaki akitumia mswaki wangu, nikashtuka na kumuuliza kwa nini anatumia mswaki wangu? Akanijibu kwani vibaya...
0 Reactions
345 Replies
28K Views
Ndugu zangu wanaume leo nataka niwamegee siri kidogo juu ya hawa dada zetu kma ulikua hujui sasa ndo uache uzezeta. Ukiwa na mwnamke ambae anakusikiliza sana yani hakubishii mtii, ukimwita any...
9 Reactions
93 Replies
9K Views
Habari wadau ? Tupeane pole kwa msiba mzito.. ila maisha lazima yaendelee Leo tumepata Rais mpya mama yetu Samia Katika pita pita za mtandaoni nimesoma ma Rais wanawake waliowahi kuongoza nchi...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Nilikuwa naisiki tu, kwamba hii dawa ya mitishamba maarufu kwa jina la "Ndele" inakuwezesha kumpata msichana bila kumtongoza.Baada ya mshikaji wangu ambaye pia ni jirani yangu kuwa anawalamba...
6 Reactions
235 Replies
129K Views
Salaam! Je wewe ni mwanamume? Je umewahi kupendwa na mwanamke kiasi kwamba hadi anakuhonga pesa umkubalie kimapenzi? Embu tuambie ilikua kuaje. Binafsi mimi sijawahi kuhongwa na mwanamke...
3 Reactions
55 Replies
9K Views
Nimeshamfanyia visa vya kila aina ili anichoke lkn naona ameniganda tu. Haniombi ela na hana usumbufu wa kijinga, ananipa uhuru ninaoutaka. Anajiheshimu na ananiheshimu na kwenye uwanja wa futi...
12 Reactions
204 Replies
16K Views
Habari ndugu. Natumaini u mzma kwa uweza wa Mungu, leo nimeona nikupe kisa hiki Nakumbuka siku moja nikiwa na jamaa yangu. Sasa jamaa yeye alikua hawafatilii wanawake lakini wanawake walikua...
5 Reactions
63 Replies
8K Views
Back
Top Bottom