Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Urafiki wa kudumu: Ushawahi kugombana, kupigana na bifu na rafiki yako halafu leo hii nyie ndo maswahiba wa kushibana? Hii ipo sana, unakuta watu wanagombana, wanapigana, mabifu ya kutoongea...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Utasikia yaani ninamuda mrefu sijaDo,Mara njoo unitembelee nyumbani,Mara kalikwenda kakarudi. So mihemko yenu Ni day after kutuapproach?? Mbona sisi hatupropose huduma zenu masaa 24 tu baada ya...
9 Reactions
100 Replies
9K Views
Hivi hawa wasichana wa kitanzania wana matatizo gani. Akishajua una mpenda tu atafanya visa hata kama yeye anakupenda atakufanyia visa tu ndio furaha yake. Mimi najiuliza hivi viumbe vitabadilika...
2 Reactions
96 Replies
17K Views
Wanaume wengi wako tayari Kuwanunulia Wake zao ( Wapenzi wao ) Zawadi kama za Gari, Simu, Nguo, Nyumba na Viatu ila linapokuja suala la Kuwanunulia Chupi huwa unakuwa ni Mtihani mzito Kwao na...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
1. Ukimpata Handsome_Kichwa chake ni empty. 2. Ukimpata Genius_Yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic, hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno. 3. Ukimpata Tajiri_ Hawezi kukuheshimu...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana JF Kichwa cha uzi chajieleza vyema sana hasa kwa sisi vijana ambao tupo katika kipindi kilichojaa majaribu na majeraha makubwa linapokuja suala la mahusiano kwa tuwapendao...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Tupo MAKAMBAKO KIKAZI KWA SASA Analala na jinsi suruali Ananifokea kama katoto Nikimshika kiuno anajidai anaumwa Nikimletea vitu vidogo dogo hashukuru Akishtuka usiku akikuta shuka limenitoka wala...
36 Reactions
277 Replies
35K Views
Leo nlikuwa na miadi na galfriend wangu mpya kuja home.nlimwambia ntamwandalia msosi mwenyewe. Kaja mapema mtoto wa watu, tumeanza na stories na maandalizi ya chakula.nmekata kachumbali.huwa...
19 Reactions
82 Replies
8K Views
I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka baba Ashrat sawa na mpaka leo hii sijawahi kuhisi wala kugundua...
58 Reactions
256 Replies
43K Views
Habarini za asubuhi mabibi na mabwana na wanafunzi na watoto bila kusahau viben10, Usikimbilie ndoa ukajua Yale matabasamu wanayoonyesha watu kwenye picha wanazopost Facebook ukajua hata ndani...
17 Reactions
93 Replies
8K Views
1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo Wanawake ambao hufika kilele (orgasm) angalau mara mbili kwa wiki kila wanapojamiana, wana uwezekano mdogo sana (30% tu) wa kupata maradhi ya moyo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
WANAWAKE wengi wanashindwa kujua wao wanatofautiana na wanaume kwa hisia na hata mawazo ya mapenzi. Wanaume wana mambo wanayoyapenda kutoka kwa wake zao hasa katika masuala ya mapenzi. Kwanza...
6 Reactions
17 Replies
29K Views
Wakuu najua wengi wetu kama siyo wote tulio kwenye ndoa tulishawahi kucheza ugenini, vipi ilkuaje ukaacha? 2007. Kuna binti nilimpenda sana lakini nilivyo mweleza hisia zangu alinikataa katakata...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mambo ndo yamekua Safiiii Sina stres za Leo sijui, nitakula nini wala nitavaa nini Kitaa wananikubali Kiaina, kifupi full heshima Tofauti na zamani, cku hizi naombwa namba ya simu na business...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari za leo wana-JF wenzangu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojielezea. Mwaka jana niliwahi kuomba ushauri baada ya kufuma message nyingi kwenye Facebook account ya mke wangu, nikajipiga...
14 Reactions
180 Replies
16K Views
Habari za muda huu wakuu. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja mwanafunzi wa chuo kimoja huku mikoani ambaye nimepewa namba na jamaa yangu anayefundisha shule inayomilikiwa na chuo hicho...
14 Reactions
97 Replies
7K Views
Yani akigombana na mume wake au mpenzi wake anaona nyia ya kumaliza hasira ni kutembea na mwanaume mwingine, yani usipikua na huruma unaweza pata lawama, imagine mtu anakwambia anakuja...
3 Reactions
123 Replies
7K Views
Greetings. Baada ya kuona vijana wengi wakilia katika mapenzi na kujiona hawana bahati kabisa ya mapenzi " Huku wakisumbuliwa na U.M.D- Ukosefu wa mapenzi ya dhati" basi nimekuja kuwaokoa na Uzi...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanawake kutokana na maswala ya uzazi tunapata bahati ya kupitia vipimo vingi sana. Mara nyingi hapa ndipo unagundua una magonjwa. Hapa tayari una ujauzito na unafahamu ulikua muaminfu kwa...
6 Reactions
60 Replies
4K Views
Jamani kuishi kwingi kuona mengi. Bro alikua bonge la mshua, ukirudi likizo akianza kukupa mipango ya baadae lazima upige saluti "hapa tuna jembe la ukoo". Jamaa full optmistic, kila mchongo...
15 Reactions
127 Replies
13K Views
Back
Top Bottom