Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hope mko poa kabisa, ngoja niende kwenye mada. Imani niliyonayo ni kwamba Mungu hakupi vyote na kati vitu nilivyobalikiwa ni uzuri wa sura na upole na kitu ninachofahamu kabisa nimenyimwa ni...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Vijana wenzangu,,, kiukweli hawa mademu wa staili hii wananiboa saaaaaaaana, binafsi napendaga demu natongoza kisha mtongozo wote unaeleweka hapohapo, ila utawakuta hawa wengine mara subiri...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwenye mada husika. Nimebaini watu wengi maskini ndoa zao ziko happy na wanadumu kwenye mahusiano hadi kufa na kuzikana hususani Vijijini. Ukija kwa wenye kipato cha nafuu hususani mjini...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwanaume huyu toka jamii kutoka Ndola aliamua kumuacha mke wake waliyeoana miaka saba iliyopita na kufanikiwa kupata watoto wawili. Mwanamke huyu alienda mahakamani ilikutafuta suluhu ya ndoa yake...
81 Reactions
294 Replies
26K Views
Natumai mu wazima kabisa humu . huku kimvua tu nje kinapiga cha wastani. Tena hichi kimvua ndo kimenipa mawazo kabisa yan.Aisee Leo zinatimia wiki mbili naona kama tumeliana buyu na mama mtu...
1 Reactions
4 Replies
801 Views
Wakuu habarini. Wahenga wa kizungu waliwahi sema 'practice makes perfect'...yaani vile unavyolifanya jambo fulani mara kwa mara ndivyo unavyo imarika na kulimudu. Mtakubaliana nami kwamba...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Leo ikiwa ni wikend tushirikishane baadhi ya visa vya fumanizi tulivyowahi shuhudia au vilivyotutokea sisi binafsi ili tupate funzo. Binafsi nina visa vitano tofauti nilivyovishuhudia. Kisa cha...
14 Reactions
56 Replies
12K Views
Habari watu wa Mungu! Wakuu, kuna manzi miaka kadhaa nyuma aliwahi kunilaza lock up kisa nilimlabua makofi. Iko hivi, alikuwa ni mpenzi wangu, so ikatokea tukakwaruzana mimi nikamchapa makofi...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Chupi za kike unapata za bukubuku ila huwezi pata boxa ya buku kwanini? Wafanya biashara mtuambie kwa wastani mwanamke anakuwa na chupi ngapi na wanaume wanakuwa na chupi ngapi hili linakera...
18 Reactions
113 Replies
21K Views
Katika relationships watu hujifunza mambo mengi sana, yanaweza yakawa mazuri au mabaya. So kama kichwa cha mada kinavosema, what lessons did you learn from your past or last relationship? Lets...
2 Reactions
241 Replies
23K Views
Habari za wakati huu poleni na majukumu na misiba tunayoipata ndugu zangu. Naombeni ushauri wenu wa dhati ndugu zangu kuhusu ili swala la mke wangu kujiona mbaya asie na uzuri wowote hali...
19 Reactions
141 Replies
12K Views
Habari za usiku huu, Rejea kichwa cha habari, leo hakuna mahaba. Lengo la uzi huu ni kuwapa faraja wanaume wote hasa wale ambao wanapitia kipindi kigumu kwenye maisha yao. Najua kuna wanaume...
22 Reactions
68 Replies
4K Views
Kwetu tumezaliwa watano,wa kike wawili na wa kiume watatu na mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa. Katika kukua nilijikuta nikivutiwa kimapezi na mdogo wangu wa mwisho wa kike ambae tumepishana miaka...
2 Reactions
82 Replies
48K Views
Tuliowahi kuishi kwa mashemeji wakike au wakiume tuweke visa vyao hapa, Binafsi. Kabla ya kuanza kuchakata viazi kuwa chipsi nilikuwa naishi kwa bro wangu mtoto wa mama mkubwa ambae tayari...
4 Reactions
12 Replies
4K Views
JE UNAWEZAJE KUJINASUA KWENYE PENZI LINALO KUNYIMA USINGIZI🤷🏽‍♂ Ni kweli MOYO ukipenda unakuwa umependa but MATESO yanapozidi MOYO huo huo ndo wenye kuamua kuendelea ama kuacha, Kwanza kabisa...
5 Reactions
26 Replies
11K Views
1.Mwanamke ambae katika mahusiano anataka yeye awe ndio final say. 2.Mwanamke anajali mambo yake kuliko uhusiano wake na wewe. 3.Mwanamke ambae akiwa nacho ni mgumu kukusaidia hata kidogo...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna hizi pisi nimezikumbuka mpaka nikasema, jamani kuna wanawake wanaroho nzuri. Ukweli sisi wanaume hamna kitu tunapenda kama unakutana na mwanamke halafu unamuomba game siku hiyo hiyo anakupa...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Wana jamvuni salaam, Katika pitapita yangu nilibahatika kupata mtoto na binti wa kisukuma, kwa mujibu wa maelezo yake alidai kuwa ujauzito wa huyo mtoto mi ndo muhusika sikuweza kataa kwa sababu...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Hii imenifikirisha sana! Kwa kawaida mimi huwa si mtu wa kupiga mizinga, kwasababu nina kipato cha kujitosheleza na kubaki akiba kubwa tu. But last week nikaona nijaribu kuomba watu kadhaa hela...
13 Reactions
169 Replies
9K Views
☰ All human beings need that love of a lifetime, however, exercise indicates that this type of situation is an uncommon exception to a harsh truth. In Europe, human beings have commenced getting...
2 Reactions
4 Replies
877 Views
Back
Top Bottom