Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nipo na shemej yenu hapa huwez amin sina hisia nae kabisaaa yaani. Na ni bint mzuri tu mwenye umbo lake ila huwez amini amekuja kwangu toka alhamis..nilivyogusa siku ya kwanza ikawa basii yaani...
6 Reactions
79 Replies
8K Views
Habari wadau! Kuna chama kama hiki nimekikuta Somewhere. Hiki ni chama cha wanaume walioachana na wake zao au wachumba wao sasa wanaishi maisha yao. Hiki chama watu wanafarijiana kiasi kwamba hata...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Hello wakuu. Jana nimepita nyumbani kwa jamaa angu kuchukua mzigo flani,nimefika nikamkuta shem wangu nikamsabahi fresh but sikuona ule uchangamfu niliouzoea kutoka kwake ikabidi nimuulize jamaa...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Nimehongwa gari bila kadi lakini inanisaidia sana mjini hapa..kinachonifanya nije hapa ni kuwa aliyenihonga gar nikifanya naye mapenzi yaan sisikii ladha kabisa..navuta hisia kabisa nikiweka akili...
16 Reactions
230 Replies
16K Views
Naomba ushauri wenu juu ya hili Japo stori ni ndefu lakini kiufupi ni hivi Ni miezi sita ya ndoa sasa mke wangu amekumbwa na maradhi makubwa ya kuingia bleed siku tano mfululizo na kutoka damu...
7 Reactions
84 Replies
9K Views
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki. Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani? Wajuvi wa mambo naomba...
1 Reactions
64 Replies
6K Views
Ujue kumuaminisha ke/me kuwa unampenda kutoka moyoni naye akaridhia na akakupenda ni vema sana, ila ukimuaminisha kuwa unampenda kutoka moyoni huku ukiwa humaanishi ni UTAPELI hakuna ubishi...
5 Reactions
56 Replies
9K Views
Habari Kwanza poleni kwa msiba wa taifa. Niende kwenye mada Kuna binti mmoja nimekutana nae mwaka mmoja uliopita nikampenda akazungusha zungusha mwisho akakubali kuwa na mimi. Ila baada ya...
4 Reactions
64 Replies
7K Views
Habarini wadau, Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu...
22 Reactions
119 Replies
10K Views
Unakuta umepata mchongo sehemu unahitaji mtu mwenye elimu unatafuta ndani ya familia au ukoo hata kabila lako umvute lakini huoni mtu. Madogo wanaacha shule au form four kwake inatosha.Wanapata...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana,JF Hii ni kwa vijana wenzangu nimeona niwaambie ukweli sio kila pisi(mwanamke) unayekutana naye iwe club, night part au wale wanao jaa wenyewe kwenye 18 ni wa kupita nao wengine wamebeba...
38 Reactions
95 Replies
8K Views
Hivi mlioaje maana mimi sielewi eti kuna woga mkubwa nahisi nikioa najiona kama nitakosa uhuru nikioa yani naona nikioa atakua kama hawa wake za watu ninavyo waona mh. Au atanifanya kama yule...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Binafsi nina mazoea tu ya urafiki wa kawaida na msichana mmoja mtaani kwetu ambae tayari ana mtoto mmoja, lakini mwanaume ambae yuko nae kwenye mahusiano kwa sasa yupo mkoa mwingine kikazi...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Natumai hamjambo wananzengo. Huu ni mwezi wa pili sasa nikiwa na sintofaham ya kufanya maamuz juu ya jambo hili, hivo nimeamua kuwashirikisha ili nipate maamuzi sahihi. Ipo hivi kuna binti mmoja...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
wana MMU ,naombeni mnipe sifa za wanawake wafupi bila kuangalia kabila lake!
2 Reactions
329 Replies
46K Views
Igweeeeeeeeeeeèeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Nastaafu kuuza wake za watu part 3 IMENUNULIWA NA JIMAMA KWA 100,000. Sina hata bei mwenzenu. Kadai nilimuharibia sanaaa...
20 Reactions
336 Replies
63K Views
Ni long story ila kwa ufupi ni kwamba juzi kati zero nilikuwa kwenye harakati zangu za kutaka kuvuta jiko, Kumuoa binti flani hivi niliyekuwa nae kwenye mahusiano kwa miaka kadhaa, Taratibu zote...
8 Reactions
39 Replies
6K Views
TUMESHUHUDIA Wachawi wakiwatesa watu wasio na hatia hata kuanzisha vita na waganga wa jadi ambao hujitolea kuwasaidia waliowaroga kuwaondolea mateso mazito kutokana na kutupiwa uchawi ambao...
27 Reactions
260 Replies
149K Views
Kusaidiana kupo na naamini kabisa wengine kutongoza kunawawia vigumu sana, kiasi wanakuwa wenye kusindikiza tu, zipo njia njingi sana ambazo ukizitumia unaweza kufanikiwa, pengine upo na mdada...
7 Reactions
119 Replies
388K Views
Majita eeh STUNTER nimeamua kuisaidia kambi yangu ya kiumeni manake wachuchu wanaishambulia sana, mara ooh Sku hizi wachezaji wamekuwa wachovu, Mara wanasema eti hatufungi magoli ya uhakika na...
90 Reactions
524 Replies
88K Views
Back
Top Bottom