Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mtoto anapofikisha miaka 10 unatakiwa uwe umemfundisha tabia nzuri wakati wa Chakula (Table manners). Tabia hizi huweza kumsaidia miaka ya baadaye akiwa kwenye mikutano muhimu inayoambatana na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanawake akili zao wanazijua wao wenyewe. Mara nyingi mimi humu huwa nashauri wanaume wenzangu kuishi na wanawake kisayansi, wengine wanasema kuishi nao kwa akili sana. Nina rafiki yangu wa kike...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Unapokuwa katika mahusiano yoyote huwa kuna nyakati zinafika au unapitia unaona hapa bora nichukue uamuzi mgumu lolote liwe. Mimi niliwahi kumwambia mpenzi wangu niliwahi kumpenda tuachane baada...
4 Reactions
50 Replies
6K Views
Wakuu leo mtoto wa mjini nmeingizwa mjini Huyu demu tulikutana kwenye sherehe moja ivi.muda wote alikuw bize na simu,alionekana mpole,demu fulan iv mweupee mrefu ila msambwanda wa kawaida...
13 Reactions
52 Replies
7K Views
Nimewapenda bureee Mr and Mrs David😍😍 Mungu awazidishie imani na upendo. Wadumu maisha yao yote.
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari za humu wakuu, Nmejiunga JF nina muda kidogo ila ni mpenzi msomaji tu sijawahi kutoa uzi leo nmeguswa niseme hili. Bado kuna wanawake wanaolewa na mume ambaye hajui chanzo cha uchumi wake...
18 Reactions
63 Replies
6K Views
Wana JF nimekuwa muhanga wa kuwa na wivu uliopitiliza katika mahusiano , sijui ni mimi tu au kuna wengne wana wivu kama mimi hii imekaaje wanaume wenzangu. 1. Siihitaji mpenzi wangu awe na mazoea...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyo sema . Basi tambua huo ndio msemo mkubwa wa wanawake wanao zalishwa wakiwa bado majumbani kwa wazazi wao au magetoni mwao. Huu msemo ndio uliopo saizi midomoni mwa...
14 Reactions
80 Replies
6K Views
Ni miaka mitatu toka niache haya mambo ya kua kwenye serious relationship(whatever that means) na mtu, hii ni baada ya kuja kijamaa chenye pesa na kumchukua mwanamke niliyodumu nae kwa miaka...
12 Reactions
137 Replies
13K Views
Wanawake bana wanataofautiana tabia wako wapole, wakarimu, wacheshi, wakorofi na wajeuri sasa Leo nataka nizungumzia wanawake wenye tabia za ujeuri ambao wanaendeshwa na hisia na mawazo ya ubishi...
1 Reactions
47 Replies
15K Views
Habari wana MMU, Nitakua naweka mada kila Ijumaa zinazohusu mambo mbalimnali kama wanawake, watoto, mahusiano nk. Lengo la mada hizi ni kutoa elimu kwa jamii. Mada hizo zitakuwa zinawasilishwa...
0 Reactions
7 Replies
927 Views
Iwe katika mahusiano au ndoa asilimia kubwa ya wanaume wamekuwa wakipelekeshwa na wanawake zao na wasiongee kitu uwe na hela usiwe na hela. Mwanaume utapelekeshwa kama mtoto huongei kitu wengine...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu leo naomba nifahamu kulingana na hali ya hewa hasa uhaminifu katika ndoa umepungua siku hizi. Sasa kivi ni salama kiuchumi na kiafya kwa mwanaume kati ya kununua ngono yaani...
12 Reactions
70 Replies
9K Views
Wakuu Kwema, Bila shaka mpo busy kuhesabu kura za trump[emoji23] Kuna Hili suala la kusex na demu siku ya kwanza, chondechonde hapa nazungumzia wale ambao bado hawajawa malegend kwenye...
11 Reactions
80 Replies
18K Views
Habara wana JF, hope mpo poa. Ilikuwa mwaka 2016 rafiki yangu anaefanya kazi Jiji la Dodoma wilaya ya Kongwa alinitumia card ya harusi akiniomba kumpa support kwenye harusi yake kama ilivyo...
17 Reactions
138 Replies
10K Views
Dalili 5 za mwanamke asiyekupenda izo hapo 1.Anavunja appointment muda wowote 2.Hajali uwepo wako 3.Hakutafuti mpaka wewe umtafute 4.Anacheka kwa dharau 5.Anatangaza mambo yako kwa rafiki...
17 Reactions
58 Replies
26K Views
Kuna Dada Mmoja wa Mtaani Yeye alibahatika sana kupata Watoto wa Jinsia ya Kiume tena Wawili kabisa. Huyu Dada baadae akawa anatamani mno kupata Mtoto wa Kike na akawa anahangaika kwenda Kanisani...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna Jibu moja hilo nimepewa nimebakia Kuvunjika tu Mbavu ( Kucheka ) sana japo ni la ' Kisayansi ' hivyo ngoja nione na hapa Kwenu Wajuvi Wabobezi ( Pundits ) wa JamiiForums kama nitakutana nalo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya kila siku wana JF! Iko hivi kuna Mwanaume mmoja alikuwa na ndoa yake ya Kikristo, ikatokea Mama Mkwe akawa anaumwa Kijijini ikabidi Mke wake akamuugeze Mama yake huko...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Dalili za kawaida ni pamoja na Kupoteza hamu ya kula au kupata matatizo ya kumengenya Chakula ikiwemo maumivu ya mara kwa mara ya tumbo. Pia, kukosa umakini au Mtoto kuanza kujitenga na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom