Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ndugu wana Jamii, niliwahi kuleta thread hapa jukwaani yenye title mapenzi ni shida!!!!! Nilielezea yaliyojiri kati yangu na binti mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, ukiweza tafuta huo uzi upo...
5 Reactions
41 Replies
4K Views
Ni vile tunaendekeza njaa na dhiki inayoambatana na ufinyu wa fikra na roho mbaya kwa viumbe hivi, ila kumfanyia jambo lenye mlengo wa kuhonga kwa mwanamke kuna raha aisee, kwanza ukishampatia...
11 Reactions
47 Replies
4K Views
Nimekaa nikafikiria ila jibu linakuja halafu linakataa maana sina ushahidi wa 100% ila katika pitapita zangu sijaona kwa upande wangu kama nimekosea labda wenzangu nyie mnasemaje... Hivi katika...
1 Reactions
6 Replies
927 Views
Kila mtu anakuwa na sababu zake pale anapocheat, wengine za ukweli, wengine za uongo. Kwahiyo kwa wale ambao walishawai-cheat ni sababu gani ilikupeleka kufanya hivyo, if we are being honest?
2 Reactions
161 Replies
18K Views
Natoa tip kwa wale ambao hawajaoa au kuolewa usije fanya kosa hili kubwa kwenye maisha yako. Mpende sana mtu wako na kumheshimu siku zote, love should always be unconditional and not conditional...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Haya ndio matatizo makubwa kwa mwanaume yoyote duniani. 1. Dushe kutosimama 2. Mke kuchepuka 3. Kudhauriwa na ndugu kwa kukosa mkwanja 4. Kuzaa toto shoga/ hanithi 5. Migogoro na vyombo vya...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamviii Nime-experience na kushangaa kitu cha ajabu saana kwa hawa wadada na mama wanaolea watoto bila mzazi wakiume/baba kuwa pamoja. Yaani utakuta huenda kuna hitilafu imetokea...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Najua wengine mtaa jiuliza kwa nini, Toka nimeoa ni mwaka sasa.mke alikuwa na tabia nzuri na ndo maana nilishawishika kumuoa,ni mpambanaji mzuri tu ,anajua kusimamia biashara vzr sana Jumapili...
51 Reactions
182 Replies
16K Views
Mapenzi Ni mazuri Sana, unakutana na mtu mnapendana unaona kabisa yaani penzi Lina flow bila hata nguvu ya ziada. Lakini tatizo Dini. Unaona kabisa Dini Ni kikwazo, Mimi katu Siwezi badili Dini...
6 Reactions
108 Replies
9K Views
Nilikuwa na mpenzi wangu nikiwa kidato cha nne nilipofika cha tano akaniacha nikaja sikia ana date na jamaa mwingine wakati huo amebahatika kupata kazi ya kuuza duka mimi nikiwa sina ramani ndo...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Kampuni ya Connections Ltd. inaandaa safari ya kwenda Nairobi mpaka Kampala kwa Singles& Divorced anaetaka kupata mwenza toka Nairobi na kampala. Safari imepangwa kuwa mwishoni mwa mwezi juni 2021...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Tujifunze. Kuna huyu mdada alikuwa anafanya kazi ya kuuza mgahawa kwa mtu mshahara 60,000 kwa mwezi akaja akafukuzwa alihangaika sana mjini mpaka mwenye nyumba akamtimua. Sasa katika mishe ya...
23 Reactions
42 Replies
5K Views
Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita Mwananke Godoroni ukakataa unalaaniwa asee
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Dah leo nimekuwa na siku mbaya sana,kuna michepuko yangu nilikuwa ninaipenda sana,leo imenipiga chini bila huruma,yani nimevurugwa sina raha kabisa, wife alinikaribisha chakula nimemzingua sana...
5 Reactions
53 Replies
4K Views
Nimeamini uchawi wa mahusiano ni pesa. Yaani ukiwa nazo, utabembelezwa kama mtoto mchanga; ila ukiishiwa usishangae mpenzi wako kukuita majina ya ajabu ajabu kama vile, wee mbuzi, mbwa, paka n.k...
6 Reactions
64 Replies
6K Views
Habari zenu wana jukwaa. Ni matumaini yangu weekend imeenda vizuri kwetu sote. Kwa wale ambao weekend haikuwa nzuri kwao kutokana na matatizo ya kiafya basi nawaombea Dua Mungu awaponye. Nirudi...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Muda wowote toka sasa naweza kuamisha makazi yangu ya kudumu hapa Dodoma na kuelekea sehemu yoyote isiyojulikana, Hii imekuja baada ya kupasua mchoro wa mke wa mjeda wa hapo Ihumwa , alafu jamaa...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Mambo vipi wadau. Nimeulizwa hili swali DM na pisi zaidi ya 4 wiki hii. Ngoja nilijibu kwa kwa ujumla. Wanaume ambao tunaruka ruka pasi na kutulia na pisi mmoja huwa tuna lengo la kuhakikisha...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Ipo siku mtu atanipost happy mothers day.!! Mume wangu una mapozi sana si uje tu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wakuu Kuna binti nilikua nampenda sana na tumekua nae kwenye mahusiano kwa yapata mwaka mmoja Badae alianza kubadilika hasa linapokuja suala la kunyanduana yani nikwa manati sana kiufupi...
2 Reactions
59 Replies
4K Views
Back
Top Bottom