Hivi inawezekanaj mwanamke anaekupenda na unamhudumia kwa baadhi ya Mambo cku akaja kukutembelea ghetto mkalala kitanda kimoja kwa siku nne asikupe papuchi bila sababu ya msingi
Wasalam mama na dada zangu,
Leo naomba niseme na nyie mawaridi ya ulimwengu huu. Huu ulimwengu ni bure bila nyie, Mungu baada ya kumuumba Adam baadae aliona Adam hakukamilika na alihitaji...
Kama mnavyojua kuwa ni muhimu kuwajali wa nyumbani kwako.
Simu ya bebe imevunjika.. Baada ya kunililia shida mdau nimeona nijiongeze kwa kumpa hii ya kwangu.
Kwa kuwa sikuwa na bajeti ya kununua...
Ni siku tatu tu baada ya Mchakato makini, huyu manzi akanipigia simu na kuniambia ana ujauzito wangu?
Nilichomjibu ni kwamba anafikiri mimba kuingia ni kama kujambisha tairi kwa upepo yaani by...
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi
Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both...
Habari za leo wakuu,
Kwenu wanaume wote Tanzania,
Wanaume wanaohitaji kujiunga na chama chetu cha UMOJA WA WANAUME BAHILI TANZANIA nitafute inbox ndan ya mkoa wa Arusha na Tanzania nzima njoo...
Habari wana JF , Nimejaribu kupotia nakala na majarida mbalimbali yanayozungumza juu ya swala hili ,nimepata data chache kdg ,Nimeona nirudi kwenu niulize hili ,Yaan kuna pisi everyday nikikutana...
Katika harakati zangu nimekutana na dem (mhaya) tupo kimahusiano wiki tatu hadi sasa, kaonyesha upendo wa hali ya juu sana na wivu Sana ulopitiliza.
Na genye za kutosha ila akija geto anataka...
Ku move on imekuwa neno maarufu sana na linalotumiwa na watu wote (hasa slay queens)hasa miaka ya hivi karibuni!
Kwa msaada wa watu wa marekani (google)move on ni kuendelea!
Sasa kwenye mapenzi...
Wakuu hamjambo na ka uchumi haka ka corona
Mi nimekuwa na tabia moja ambayo bnafsi naona inaniweka salama kwa wadada wasumbufu
Iko hivi mi nikitongoza mdada tukaanza kuchart na kukutana mara moja...
Kiukweli wanawake ni wanaroho nyepesi sana anaweza kukufumania na rafiki au hata dada yake mkifanya mapenzi still atakusamehe na maisha yataendelea. Kwa upande wa sisi wanaume ni hatuwezi kusamehe...
Kuna sehemu moja nimepata kibarua, kipindi naingia kuna binti mmoja pia kaajiriwa. Hii sehem kuna nyumba kama hostel huwa wanahost wageni wakija na hizi nyumba zimejengwa kwa mfumo ambao kila...
Huyu binti nilimjua kupitia kijana mmoja (huyu kijana ni mwanafunzi wangu zaman sana kabla sijaanza ualim na kuingia kwenye biashara).
Alikuwa rafiki wa huyu kijana. Ila through huyu kijana...
1:Anaevaa sketi fupi alafu akifika mbele za watu anahangaika kuishusha huyo ni MPUMBAVU.
2:Anaeweka kucha bandia nywele bandia kope bandia na anaejichubua wote ni WAPUMBAVU.
3: Anaesaliti ndoa...
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy...
Wana JF kwema!
Kiufupi siku hizi wàpenzi wengi hukutana kupitia njia za shetani kuliko njia za muumba (sahihi).
Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda...
Habari zenu wadada na wamama wa JF.
Majuzi kati hapa ofisini kwetu nilikuta wamama 2 wa makamo (45+) wenye familia na wadada wa 2 (33+) ambao wote ni single mamy wafanyakazi wakibishana.
Mada...
Nimepata bahati ya kudate na pisi nyembamba mbili tatu hivi ,wadau ila huwa zinakuwa na wenge sanaa yaan wengi wao hawatulii yaan wasumbufu sana , mara anasusa mara cjui nn yaan najiuliza ni wote...
Ushawahi kutongoza mwanamke akakukataa?
Ulijiuliza tatizo lilikuwa wapi?
Labda ulitumia mbinu zote nzuri za kutongoza mwanamke lakini ukashindwa kumshawishi mwanamke.
Je tatizo lilikuwa kwako...
Jamani Wana jf Wazima nyie.
Tukiwa tunaendelea kupambana na haka kahoma ketu ka mapafu. Sasa Tuje kwa mada.
Et Wanaume naona mmejaa Mapovu baada ya kuwaambia mkatafute hela.
Kiukweli nimeamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.