Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Linapokuja suala la mahusiano, wengi wetu tumeshawahi kutendwa, kusalitiwa, kupigwa kibuti, kuchunwa na kuachwa solemba na mengine yanayofanana na hayo. Katika kuishi kwangu, nimegundua hilo siyo...
12 Reactions
53 Replies
8K Views
For the duration of this time and day, the majority would argue if authentic love nevertheless exists. However ofcourse it nonetheless exist, yes it is rare however out of the complete world there...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ila leo! Yaani katika pita pita zangu madada ambao nimekuwa nikikutana nao sehemu mbalimbali.... Wengi wao huwa ni wazuri Ila sasa katika kila wasichana 10 ambao nimewahi kuvutiwa nao 7 kati ya...
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Jamani. Nyie Wanaume Tunawapenda sana lakini kwanini Hamtupi attention. Siku Utakaponichukulia basi nitaenda kwa rafiki yako hamna namna. Mapenzi yanauma jamani. Leo nimemigia simu kiumbe cha...
7 Reactions
63 Replies
5K Views
Wanawake ni waigizaji wazuri sana. Akitokea kiherehere akatangaza ndoa basi mwanamke atachofanya ni kuwatia block ma ex wake wote ili Jamaa amuamini kama kaokota dodo kumbe nyanya chungu...
11 Reactions
75 Replies
5K Views
Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa...
39 Reactions
170 Replies
12K Views
Habari, nina stori moja leo ambayo inaniumiza kichwa kabisa kuhusu mama wa mchumba wangu simuelewi hata kidgo ana nia gani na mimi.Juzi flani hivi nilikwenda kumsalimia alikuwa anaumwa nikafika...
8 Reactions
55 Replies
7K Views
Chupa limeamka na chai. Kuna zile nyakati unataka kitonga tu, kosa kusikia mtoto anataja namba yake. Mfano anamtajia Wakala au mtu mwingine, unatega sikio kwa umahiri unaikariri. Au unaikuta...
8 Reactions
61 Replies
6K Views
Jamani Leo ni weekend Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
18 Reactions
396 Replies
21K Views
Ilikuwa siku ya Ijumaa 19.2.2021, ni siku nyingine ya kukumbukwa, katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Dar-Es-Salaam, lililoko Barabara ya Sam Nujoma; pale ambapo jumla ya...
32 Reactions
216 Replies
19K Views
Siku ya Jumapili iliyopita nilileta mada kuomba ushauri jinsi navyoweza kupata PEP baada ya kuuza mechi.Sasa yule mwanamke nilimshawishi kwenda kupima akakubali na siku ya Jumatatu tukaenda kupima...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Yani zamani kipindi cha nyuma enzi za kina mb dog, dazz baba, qchillah ilikua ikitoka nyimbo kama ya mapenzi bas inakua ngoma kweli na inaverse na vina vya kueleweka kiasi kwamba ukisikiliza...
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Ikatokea nimefariki Mali zangu nitamwachia mke wangu kwa ajili ya maslahi ya familia yangu.sitathubutu kumwachia ndugu awe msimamizi.kumwachia ndugu cash au assets Ni sawa umemwachia fisi butcher...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi kwanini kabila na umri vinachangia kuzuia ndoa au kuruhusu ndoa? Mfano utaulizwa huyo mwanaume ana umri gani ukisema tupo sawa watu wana doubt, why?
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Wanawake wa kiswahili bana mtu hata hamjajuana baada salamu swali la 2 unafanya kazi gani au unajishughulisha na nini? Hivi vitakusaidia nini ukijua au ndio tamaa au kujiuza dada zetu mtashindwa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Heshima kwenu wanaume Najaribu kutafuta busara za kiume, ni tabia gani ambayo ni kero na imekuwa sugu kutoka kwa wake zenu/marafiki wa kike, hata michepuko kama ipo? Tukizingatia kwamba, hakuna...
16 Reactions
146 Replies
13K Views
Pale mke wako anapoweka kichwa chake kifuani na taratibu anauliza, ′′Mpenzi, je wewe * * una mwanamke yeyote katika maisha yako zaidi yangu?"* * Kumbuka jibu lako sio muhimu kwa wakati huu, cha...
3 Reactions
4 Replies
705 Views
Kumpiga mwanamke wako vibao vya makalio tena vya nguvu? Kwa kweli sipendi hi tabia, na sijui anakua anamaanisha Nini, last week nimepigwa vibao vya makalio vya nguvu Hadi nikatoa machozi wakati...
19 Reactions
79 Replies
12K Views
Salamu zenu wadada wenye tabia hii; ~Yaanike matiti yako kwenye mitandao wee, yabane vizuri na vaa vinguo vya ajabu ili yaonekane... ~Jaa kiburi wanavyokusifia wanaume wazinzi kuwa wewe ni mzuri...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Dah Siamini kabisa! Nadhani ni moja ya mistake kubwa nilizozifanya kwenye maisha yangu. Nimetoka kumuomba rafiki yangu kipenzi mno tuwe na mahusiano ya kimapenzi. Sijategemea kilichotokea...
10 Reactions
62 Replies
8K Views
Back
Top Bottom