Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Aisee nyie masikini mnapata nguvu ya kulala mpaka sasa hivi wakati tajiri nimeamka embu amkeni mkatafute hela nyie masikini. Nimeshasema wanawake msiwapende hawa wanaume masikini sababu hawana...
6 Reactions
99 Replies
1K Views
Habari Rafiki yangu ameniomba ushauri nikaona sio vibaya kuwashirikisha Wana jamii. Amesema "Ana wapenzi wawili wote wanamkubali, Wakwanza ni nesi japo halipwi hata mshahara mkubwa na sio bikra...
2 Reactions
14 Replies
499 Views
Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama...
23 Reactions
169 Replies
4K Views
HAKUNA RAHA KAMA KUWA NA MWANAMKE MZURI, MWENYE ELIMU NA PESA ALAFU AWE ANAKUPENDA. Anaandika, Robert Heriel Ooh! Sitaki Mwanamke mwenye Elimu, Ooh! Sitaki Mwanamke anayejiweza kiuchumi, Hivi...
19 Reactions
60 Replies
5K Views
Dah, leo Mchepuko wangu Toto Moja la Mbeya Mwenye shepu ya haja japo Sura ni ya Mshua wake limenipa makavu na kunitukana kwenye siku ya Valentine. Huu ni mchepuko wangu sawa na Mama J mchepuko wa...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwamba Mwanamke asipo kuwa mama yako kaa nae kwa tahadhari sana. Hana huruma na mwanaume yoyote isipokuwa baba yake na mtoto wake! 2024 nimefahamu hili kwa gharama kubwa sana.
13 Reactions
22 Replies
574 Views
Kuwa na mtu halisi kando yako ni kitu ambacho hakiwezi kununuliwa
7 Reactions
17 Replies
333 Views
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani...
6 Reactions
69 Replies
2K Views
Wasalaam wapendwa. Kuna page kama mbili hivi za kupitia instagram nilianza kuzipitia wiki kama moja hivi iliyopita mpaka siku leo. Sasaivi nna 30 years age ila nimejikuta nafsi inaniambia kwa...
9 Reactions
55 Replies
2K Views
Huyo ndio mali yako,mle with passion,bila huruma,mle mpaka aseme leo umenila,kuanzia romansi,hadi staili mpya mpya,hakikisha anatoa milio ya kila aina huku na wewe unamsemesha kinyegenyege wakati...
3 Reactions
7 Replies
352 Views
Nawashauri wanaume,tusitangaze dosari za wanawake zetu,iwe ni mkeo au mchepuko,badala yake tuwasaidie kuziondoa hizo dosari.Kumbukeni mwanamke ni muhimu sana kwa maisha yetu sisi...
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Habari wana JF mimi ni mwanaume mtu mzima wa miaka 29 kazi yangu kubwa nimejiajiri kwenye mambo fulani fulani hivyo nafanya kazi home (nilipopanga). Iko hivi kuna sehemu(mgahawa) huwa ninakula...
16 Reactions
216 Replies
6K Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
32 Reactions
409 Replies
24K Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nafahamu mada hii ni ngumu, na haitakuwa nzuri sana kwa sababu ya mazoea na desturi za jamii zetu nyingi ambazo kimsingi bado zipo gizani. Lakini hiyo haitazuia...
5 Reactions
51 Replies
3K Views
Mada yangu ni ujuzi wa mapenzi na maarifa Mengine.. 4 fundamental of life i. Money and Power ii. Sex iii. Food and drink iv. Umaarufu (fame) Haya yote manne yanahitaji uchakalikaji sana na...
2 Reactions
14 Replies
624 Views
MY STORY; NATAMANI NINGEKUA NA NGUVU YA KUMUACHA MKE WANGU KAMA ALIVYOFANYA BABA MKWE! Kila tulipogombana na mke wangu, alikuwa mtu wa kukimbilia kwao. Akifika huko, mama yake ananipigia simu...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
UKWELI MCHUNGU AMBAO UNAPASWA KUJUA Una mwenzako wa kike kazini, ninyi wote mnapokea mshahara au malipo sawa. Lakini mnapokwenda kula chakula cha mchana, unajifanya "MTU MZURI" na unalipa kwa...
9 Reactions
26 Replies
1K Views
Nyuki ni wazuri sana kwa kuwahutupa asali ila nyuki huyo huyo ukishindwa kufuata tahadhari anaweza kukuua kukupofusha macho au mambo kama hayo mengi sana .Nduguyenu nimekuja na code muhimu sana...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Unaweza kuziorodhesha dosari zao nyingi tu,lakini mwanamke ndio nguzo ya familia na dunia nzima.Ndio wanaleta furaha,wanapamba nyumba,wanazaa na kulea watoto,ndio nguzo ya kiuchumi ya...
5 Reactions
9 Replies
208 Views
Kichwa cha habari chahusika. -Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani -Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake...
14 Reactions
94 Replies
3K Views
Back
Top Bottom