Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mimi siyo mdau sana wa kuanzisha nyuzi kuhusu member humu ndani lakini leo nimejikuta tu ninyooshe mkono wangu kumtakia heri member financial services. Leo nilikuwa napita humu nikakutana na uzi...
14 Reactions
71 Replies
2K Views
Vigezo gani huwa vinatumika kupanga na kuamua kiasi cha thamani ya mahari ya mwanamke ambacho mwanaume anatakiwa aitoe kwa upande wa familia ya wazazi wa mwanamke?
3 Reactions
8 Replies
271 Views
Habari.. Mpenzi niliye nae nampenda sana, ni mama kijacho Kwa sasa. Tangu nimeanza kuwa karibu nae zaidi nagundua ana vijitabia ambavyo sio vizuri Kwa upande wangu. Anaonekana ni mbinafsi sana...
10 Reactions
59 Replies
2K Views
Hii ndo kauli ntamwambia mwanangu. Ntahakikisha naharibu na kusambaratisha hisia za kuzingatia dem au boy kutokana na jinsia yake. Ntamwambia asije kumpa mtu moyo wake hata siku moja. Ntamwambia...
9 Reactions
27 Replies
724 Views
Ndugu yangu leo nimeamua kukuletea mbinu nne za kumpata mwanamke yeyote unayempenda bila hata kumtamkia kama unampenda. twenzetu!! 1. Mpe hela 2. Mpe tena hela 3. Endelea kumpa hela 4. Endekeza...
4 Reactions
2 Replies
308 Views
Wakuuu hivi binti ananionaje? Kwamba ameniona mie zuzu? Au yaani aisee kila siku matusi na vipigo kutoka kwa mke wangu bila sababu yoyote ile na pia maneno ya kashfa kila siku eti kwamba mimi ni...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Miezi.kadhaa mwanaume niliyekuwa naye kwenye mahusiano alitoa wazo la kula kiapo cha damu na tuliridhia kweli tulipima kwanza ukimwi alhamdullilah wote tulikuwa negative na kiapo tulikula. Kama...
22 Reactions
223 Replies
5K Views
Nawasanua wana musije kusema sijawaambia. Nimewahi kuwa na uhusiano na mke wa mtu, najua ninachokiongea hapa.
13 Reactions
100 Replies
5K Views
1st Portion: Nimepitia nyumba kadhaa za kupanga, visa na Mikasa ni mingi, ila kuna hii moja sitoweza kuisahau kirahisi. Hii nyumba ipo (ilikuwa) maeneo Fulani, jijini Dar Es Salaam. Baada ya...
70 Reactions
660 Replies
189K Views
Wasalaam Kuna jambo linamiumiza kichwa nimeshindwa hata kulala usiku huu nikaona niwashirikishe humu Historia ya Charles David Mtoto huyu ambae nimepata kufahamiana na mama yake kwa zaidi ya...
2 Reactions
18 Replies
825 Views
10 Mke mwema kweli, apatikana wapi? Huyo ana thamani kuliko johari! 11 Mumewe humwamini kwa moyo, kwake atapata faida daima. 12 Kamwe hamtendei mumewe mabaya, bali humtendea mema maisha yake...
0 Reactions
14 Replies
612 Views
Basi kwasababu siku na uwezo wa kutimiza hiyo milion 3 Nika pambana nikaipata milion Tatu Baada ya miaka miwili ya kusave fedha nikapata wazo niende Sasa kutoa mahari lakini wakati Niko njiani...
13 Reactions
89 Replies
2K Views
Wanaume wanalalamika wake zao wanachepuka,wanawake nao wanalalamika wanaume wanachepuka,kama hiyo haitoshi wake wanataka kuliwa kwa mpalange na wanaume wanataka kula kwa mpalange,hivi mkichepuka...
1 Reactions
0 Replies
114 Views
Napitia kipindi kigumu sana kwenye mahusiano aisee mimi ni kijana 25+nimekuwa nikitamani sana kuwa kwenye mahusiano ofcourse nilikuwa nipo na mahusiano na mdada mmoja but atukudumu sana sababu ni...
24 Reactions
80 Replies
3K Views
Nimeona nije kuwaomba ushauri hapa maana wakati flani unaona ni bora upate mawazo mtambuka toka kwa wadau wengine. Na hii inatokana na kuwa watu wana fikra mchanyato na ni wazi kuwa kweli ya leo...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto...
22 Reactions
290 Replies
6K Views
Mama zetu ambao wamekuwa single mothers ukitaka akupe laana basi wewe oa single mother Hawataki kabisa usogelee single mother katika MAISHA yako
4 Reactions
19 Replies
700 Views
Kwa nini wanawake wanapenda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na wanaume wenye hela? Ni muhimu kutambua kwamba si kila mwanamke anapenda kuanzisha mahusiano na wanaume wenye hela, na kila mwanamke...
6 Reactions
66 Replies
3K Views
Kwema Wakuu! Wanawake wanapitia Kipindi kigumu Sana katika zama hizi. Ukiachana na ambao walisoma na wakapata bahati ya kuajiriwa, waliobaki wanapitia ubatizo wa Moto Mkali Sana. Hakuna kwenye...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Wanawake wa Sasa Wana shida ? X-wangu watatu Sasa hawaolewi walileta swaga za kuweka masharti magumu nikazengua Sasa wanateseka wamezeeka kabisa mmoja yupo35 Kama yupo 50 Mwingine yupo 33 Kama 45...
11 Reactions
19 Replies
877 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…