Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

HII STORY INAKUFUNDISHA NINI MWANAUME mmoja alikuwa anampenda sana mkewe. Walikuwa wamejaaliwa watoto watatu waliokuwa wachangamfu na walifurahia sana maisha. Yule mwanaume alikuwa analipwa...
0 Reactions
1 Replies
280 Views
Nahitaji ushauri kuhusu jinsi ya kuishi na mpenzi aliye mbali (distance love). Kiukweli, naona kama tunadanganyana tu. Kila mara ni "nakupenda, nakupenda," lakini mimi ninahisi hali ni tofauti...
8 Reactions
22 Replies
1K Views
Wanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat...
31 Reactions
84 Replies
2K Views
Chumba chako ni chako na mume wako tu. Haipendezi chumba cha wanandoa kuingiwa kiholela na watu ambao washavunja ungo iwe mschana wa kazi, wakwe, mawifi, mashemeji, majirani au yeyote yule...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
1. Don't give her free attention Low-value, insecure men are always trying to buy a woman's attention and validation by showering her with free attention, compliments, favors and constant...
3 Reactions
12 Replies
555 Views
Morning, Natumai tuko salama wote wanajamvi. Nina kitu naomba kueleweshwa hivi, hizi pete za uchumba na ndoa ukishavalishwa ndio unatakiwa kuvaa kila siku? Yaani unalala nazo? Unaenda nazo kuoga...
18 Reactions
99 Replies
3K Views
Habari wana JF? Leo nazungumza na wadada wanaotamani kuolewa. Kumiliki mwanaume. Kama hauna mpango huo, basi endelea na threads nyingine. Haijalishi mdada ni mrembo kiasi gani, una tabia...
4 Reactions
17 Replies
665 Views
Basi bwana by the time nipo form three nilikuwa napenda sana mademu si unajua kubaleh. Lakini kwa upande flani walikuwa kama hawaniewi flan hivi basi bhana nikawaga na force hivyo hivyo mpaka...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chahusika. Ni msichana niliyekua namzimia sana sana tangu tupo chuo nampiga verse anakataa katu katu ila kidume sikukata tamaa. Msichana huyu alikua mkali sana yani hadi...
58 Reactions
302 Replies
134K Views
Mapenzi bwana yanamambo ya ajabu sana. Ndani ya Mangesani, Bagamoyo kumetokea tukio la kimapenzi la ajabu sana na la kuhuzunisha sana na limewafanya watu wengi washikwe na duwaa. Tukio lenyewe...
17 Reactions
32 Replies
7K Views
Lengo la ushauri huu ni kuvuka mwaka bila kua na UTI sugu, gono, kaswende au UKIMWI ambao umenusurika nao kwa sehemu kubwa sana ya mwaka huu2024, na mwaka wenyewe unaelekea kuisha hivi karibuni...
2 Reactions
3 Replies
298 Views
Ndugu zangu salaam Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza (...
22 Reactions
70 Replies
3K Views
Aisee hizi familia za kishua bwana sijui wanajikuta nani sijui wanajikuta nani aisee hii familia Wana hela kweli kweli na familia ya kiarabu na familia ya kikristo hawa sijui waarabu gani hawa...
7 Reactions
33 Replies
970 Views
Kaka Magical power, nina mwanaume ambaye hata kale kamoja tu huwa ni shida inasimama vizuri tu ile tu unaishikashika sababu nimefundwa lazima niishe kwa mkono wangu ndipo niiweke ukiichezea tu...
12 Reactions
65 Replies
3K Views
Habari za weekend wakuu? Napenda kujua,je umeshawahi kufumaniwa?Ilikuchukua muda gani kwa tukio lile kufitika kichwani mwako? Binafsi ilinitokea siku za karibuni,sielewi ni nani alimtonya...
4 Reactions
19 Replies
699 Views
Daa watu wengine sijui wameumbwa vp jamani leo hii kiukweli nimejikuta nimechukia sana aisee tupo kwenye ibada wakati mchungaji anatoa mahubiri kuna watu huku nahisi hawa ni gen z back bencha...
5 Reactions
18 Replies
633 Views
Hebu tujadili wakuu maana kuna wazazi WA ajabu sana.hata kama chumba kimoja fanyieni hata mvunguni.
12 Reactions
54 Replies
2K Views
Don’t always think a woman will leave you because you don’t have money. A reasonable woman won't leave you because you don't have money. A woman will actually leave you: 1) when you refuse to...
14 Reactions
89 Replies
17K Views
Wakuu Mwenyekiti wa kijiji cha Mloda kata ya Mlowa barabarani, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Adam Philemon amesema miongoni mwa malalamiko yaliyokithiri katika kijiji hicho ni wanaume...
12 Reactions
57 Replies
2K Views
Habariii wana jukwaa Kichwa cha habari kinajieleza hapo juu mnamo mwaka huu mwezi wa 9 nilifanikiwa kumuoa mwanamke ambaye nilikua nae kwenye kipindi cha uchumba kwa miaka zaidi ya mitatu. Na ni...
1 Reactions
24 Replies
874 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…