Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna mambo mengine tuna ya puuzia ila la kuzaa watoto wako wote kwa mke moja ni hatari kuliko hatari zingine za kifamilia tukistaafu. Kwa 70% watoto tunao zaa kuchukua gins nyingi upande wa mama...
16 Reactions
67 Replies
3K Views
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana...
61 Reactions
422 Replies
9K Views
Natafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano. Malipo ni baada ya kazi.
12 Reactions
70 Replies
3K Views
Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa ni kosa la jinai kutamka samahani mbele ya mkeo au watoto hata ukosee vipi na kosa liwe wazi Tunaamini kulitamka hilo neno ni udhaifu Kwa mwanaume Huwa tunaomba...
6 Reactions
24 Replies
674 Views
Habari za muda huu wana Jf. Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani[emoji35]. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi...
29 Reactions
112 Replies
8K Views
Mke wake alianza kubadilika tabia akanifuata na kuniomba ushauri,nikamuuliza kulikoni? akasema ni mara ya pili sasa mkewe anambwagia mtoto na kwenda misele isiyo na kichwa wala miguu,akimwambia...
6 Reactions
79 Replies
8K Views
Nimevurugwa sana.. Boss wa mke wangu anamtongoza mke wangu kwa uchu sana kiasi kwamba hadi nimeanza kupoteza matumanini. Mke wangu hana raha kabisa wafanyakazi wenzake wanammendea na boss wake...
9 Reactions
178 Replies
19K Views
Igwee! Ni pisi Kali sikatai. Mtoto mweupe pee! Mtoto kanyooka vibaya mno. Kiuno Dondora. Yakamshinda nikatema sumu ya king cobra, mtoto chaliii miguu juu macho rebwerebwe. Tukapanga siku...
12 Reactions
49 Replies
3K Views
Wakina Manka wote ni wapambanaji katika utafutaji iwe kazi, biashara hata kudanga. Ili mradi pesa ipatikane.
5 Reactions
11 Replies
403 Views
Wana MMU Salama wakuu!! Kwenu nyie wanaume naomba mnisaidie why do you prefer bitches?? Nimekua nikiona wanaume wengi pamoja na kutambua dada fulani ni malaya lakini mmekuwa mkipigana vikumbo...
7 Reactions
104 Replies
11K Views
Habari ya jumatatu ya Pasaka!!! Leo nimeamua nilete visa vyangu nilivokutana navyo katika maisha. 1. Nilipokuwa kidato Cha 5 mtaani kwetu kulikuwa na mkaka ananitania mchumba angu, mchumba...
31 Reactions
276 Replies
27K Views
Kosa kubwa utakalofanya mwanaume kwenye mahusiano yoyote na mwanamke katika mapenzi 1.Kufanya kila njia hili kutimiza mahitaji yake na shida zake 2.Kusema ndio kwa kila kitu anachokihitaji...
8 Reactions
8 Replies
2K Views
"Ndoa Ni pasua kichwa!" Alisikika mwanaume mmoja akiwa amelewa chakari. Ndio, Kuna kosa kubwa Sana wanaume tunafanya mwanzoni kabisa! Kosa la kumshawishi mwanamke ili aingie ktk mahusiano ya...
17 Reactions
33 Replies
1K Views
Aslaam, Wanawake emu eleweni kuwa mwanaume Huwa kwenye mahusiano na nyinyi Kwa sababu ya mambo mawili. Jambo lakwanza ni Kwa ajili ya ngono(sex) lakini la pili ni Kwa ajili ya upendo. Lakini...
1 Reactions
4 Replies
455 Views
katika kitongoji cha Dinka nchi Sudani Kusini mwanaume Sudan, ukifanikiwa kuwa na wanawake wengi ndio utaweza pata wadhifa wa kua kiongozi katika jamii, Pia kutokana na tamadumi za Sudani kusini...
3 Reactions
4 Replies
382 Views
Hili jina linatrend sana hapa jijini ni nilikuja jambo hili kugundua jambo hili ni kubwa baada ya kuona makamu wa rais naye kuwaonya wasipende mashangazi kwanini vijana wanapenda watu wazima...
1 Reactions
7 Replies
409 Views
Mume wangu aliponichoka. Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4] Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe" Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee" Nikimuomba anisaidie...
62 Reactions
444 Replies
25K Views
Wanaume kamwe hawatongozi wanawake wenye status kubwa kuliko wao. Ndiyo maana huku kitaa wadada wakali sana huwa hawaolewi, ni kwasababu wanaogopwa na kila mwanaume. Lkn hawa wenye sura kama wako...
14 Reactions
81 Replies
3K Views
Habari waungwana. Nilioa 2015, ila kabla ya kuoa nilisha zaa na mabinti wawili, na mke siku mbuki kama nilimwambia au laa. Iissue kuazia juzi naona namtumia msg, hajibu na piga hapokei...
16 Reactions
117 Replies
3K Views
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo...
16 Reactions
127 Replies
4K Views
Back
Top Bottom