Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wa JF members. Leo nilikuwa nimekutana na rafiki yangu niliyewai soma naye shule moja hivi ambayo baadae nikaja kuhama tulikua tukielekezana habari za baada kutengana muda mrefu, baadaye...
7 Reactions
45 Replies
5K Views
1.Wanaume wengi huondoka katika mahusiano ikiwa atashindwa kupewa sex na mwanamke 2.Asilimia kubwa ya wanawake hukimbia mahusiano kama mwanaume hampi hela.. 3.Huyo anayekuambia "siwezi kuishi...
26 Reactions
65 Replies
2K Views
Ndugu zangu.. Kumekua na tabia mbaya ya watu kuhudhuria kwenye misiba kwa kubagua kutokana na itikadi zao na hali ya kiuchumi ya marehemu au familia na ukoo wa harehemu husika kama...
0 Reactions
13 Replies
563 Views
Ni wiki mbili sasa tangu bidada agundue mme wake anauhusiano wa kimapenz na rafiki yake wa miaka mingi... Mdada alikua na rafiki yake tangu 2009 ambapo walikutana chuo wakawa marafiki wakaribu...
8 Reactions
69 Replies
5K Views
Najua ni vigumu sana kumsahau mtu ambaye ulishea nae maisha yako kwa kipindi fulani iwe kwenye ndoa au nje ya ndoa,najua uliwekeza hisia zako na mawazo yako kwake,hivyo umekuwa na hisia kubwa juu...
12 Reactions
69 Replies
2K Views
Nimemuuliza upo tayari kuolewa na mimi? akasema ndio na kumalizia na msemo" bahati haiji mara mbili". nimefurahi. Kataa ndoa kwaherini😁
13 Reactions
30 Replies
799 Views
Vichuna vyetu, hii imekaaje kugeuka na kutukodolea macho njemba tukiwa kwenye majukumu yetu? Mnatutisha mjue. Ni wapi huwa tunakosea?
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh...
27 Reactions
82 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamii forums? Mimi nataka kujuwa kitu kimoja kutoka kwenu nduguzanguni. Kuna msemo ambao wazungu wanapenda kusema pale wasipo kuwa hawana uhakika na kitu. Mara nyingi husema...
2 Reactions
3 Replies
210 Views
MAMBO AMBAYO WANAUME TUNAKOSEA NA KUJIKUTA KATIKA MAHUSIANO/ NDOA INAYOKUTESA Na Comrade Ally Maftah Leo nime wiwa kugusia mambo ambayo wanaume tunayakosea na kujikuta kwenye mahusiano ya mateso...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ughonile., Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikitupia ndoano tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti kimoja saafi unabaki umeduwaa. Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko...
18 Reactions
196 Replies
6K Views
Nipo na makasiriko pamoja na huzuni.. daah nyie wanaume mtakuja kutuua wanawake Basi bwana nina huyo ex wangu king’ang’anizi yaani hataki kuachana na Mimi iwe jua ama mvua… Kuna mwanamke...
14 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu wana JF, hivi karibuni kumekua na matukio kadhaa ya watu kujiua kutokana na mikasa ya kimapenzi, hali iliyopelekea hata juzi kati baadhi ya askari polisi kujitoa roho kisa...
57 Reactions
291 Replies
46K Views
MWANAMKE ASIYE NA HESHIMA : Mwanamke Yeyote Ambaye,amechagua kutokukusikiliza wewe, Kama mumewe,huyo hafai kwenye maisha yako..KWANINI? >>Kwanza anaamini yeye ni bora kuliko wewe...
1 Reactions
1 Replies
285 Views
Habari wakuu. Poleni na mihangaiko na majukumu ya kila siku. Utoto hadi kufikia utu uzima kuna visa mbali mbali tunakutana navyo, ambavyo kwa namna moja ama nyingine ni changamoto katika ukuaji...
11 Reactions
116 Replies
36K Views
habari wana jamvi? Marehemu hasemwi vibaya wala mauti yakija hayana taarifa na siku yako ikifika bas hakuna wa kuzuia nafkiri hiz kauli tuishi nazo tu katika kujipa moyo chanzo chochote cha...
1 Reactions
1 Replies
250 Views
Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko 1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea 2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake 3. Kuchapiwa...
20 Reactions
67 Replies
3K Views
MAN UP : Kukua na kujitambua kiakili na kihekima kunaanzia pale,Ambapo Wewe mwenyewe utakua umechoshwa na wingi wa upumbavu wako..😎😎😎😎 : Jitihada zinazotumika kukufanya uitwe mwanaume hodari,na...
1 Reactions
1 Replies
199 Views
Habari, Ngoja nianzia mbali kidogo mpate kuelewa mke wangu ni mtu wa aina gani. Na ilikuwaje mpaka nikazaa nje. Mimi na mke wangu tulikutana kwenye kongamano la injiri kipindi namaliza chuo yeye...
58 Reactions
272 Replies
21K Views
Wanaume nini kinasababisha mwanaume kuchepuka kwa marafiki wa mkeo au majirani waliokaribu na mkeo??? Ni kweli hamuwezi kutulia na mwanamke mmoja lkn kwann usiende mbali?? hivyo si ni...
17 Reactions
68 Replies
3K Views
Back
Top Bottom