Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari, leo nilitembelea moja ya makanisa ya kiroho hapa Dar. Ibada ilikwenda vizuri ila mwishoni mama mchungaji ambaye ni binti wa miaka kati ya 30-32 alitoa neno. Huyu ni binti mweupe, mrefu na...
16 Reactions
150 Replies
11K Views
Mimi nashindwa kuelewa member uwa mnatumia mbinu gani mpaka mnaanza kutongozana uku ndani? Mnajuaje kwamba uyu ni mwanamke na uyu ni mwanaume? Hivi wengine uwa hamlizwi kweli? Unamwaminije mtu...
11 Reactions
60 Replies
5K Views
Kama ningeuliza wanaume kadhaa randomly … kuwa unafikiria nini kila bada ya dk 20 au kila unapomwona mwanamke? Sijui jibu ambalo ningepewa lakini wataalamu wanasema wanaume wanafikiria sex kila...
5 Reactions
39 Replies
9K Views
Sina uhakika kama suala hili lilliletwa hapa na kujadiliwa. Suala lenyewe ni lipi? Ni kuhusu bikra ya binti aliyepevuka, ambaye ana umri wa miaka 18. Takriban kama mwezi sasa, mwana Hip-hop wa...
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Katika pita pita zangu kwenye mitandao nimekuwa najiuliza maswali mengi pasipo kupata majibu, Jambo ambalo limekuwa najiuliza Kwa habari ya mahusiano hasa ya wanandoa na mahusiano ya kawaida...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Binti aliyelelewa na mama peke yake mara nyingi Huwa hawana utii Kwa Waume zao. Sikilizia hapa. PIA SOMA - Je wazijua sifa kumi (10) za mke mwema
2 Reactions
6 Replies
551 Views
Kuanzia wiki hii, Marekani kumekuwa na shamrashamra za Thanks Giving ambayo inashehekewa kila Alhamis ya mwisho ya mwezi wa 11. Hata hivyo burudani huwa zinaanza kitambo. Mimi kwa mwaka huu...
3 Reactions
0 Replies
185 Views
BINTI YANGU, KAMWE USIKUBALI KUISHI NA MWANAUME ANAYEKUPIGA AU KUKUTUKANA MATUSI YA NGUONI. KAMWE! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Sisi watibeli hatupigi Wake zetu, Wala binti zetu hawapigwi...
5 Reactions
86 Replies
2K Views
Natumai mnaendelea vyema wadau. Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa. Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu...
3 Reactions
35 Replies
748 Views
Wadada WA mjini, Wana mambo mengi, akilalamika humridhishi achana nae HUWEZI kuridhisha, wapo wanatumia Tango, chupa ya bia, carrot 🥕 na kwa sasa wamehama kwenye kibomba.
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Siku zote utakutana na wanawake wenye mvuto kuliko mwanamke wako, utakutana na wanawake wenye vibes zaidi, utakutana na wanawake ambao wana habari zaidi, utakutana na wanawake wanaofanya kana...
1 Reactions
1 Replies
300 Views
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction." Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye...
8 Reactions
63 Replies
2K Views
Nianze Kwa kumtetea Baltazar yule mwamba Hana makosa kabisa. Hawa watu wanashida zao special huko kichwani aseee. Juzi nimeenda uwanjani kuangalia game ya wanawake ligi kuu ya timu flani dhidi ya...
18 Reactions
45 Replies
3K Views
Wanajamvi Kila jamii Ina utaratibu wake wa ku deal ama ku-solve maswala yake. Katika pitapita zangu za hapa na pale nikafika Kijiji kimoja Kipo mkoa wa Tanga mpakani na Gairo morogoro. Wenyeji...
4 Reactions
61 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Bila shaka hili sio jambo geni hata humu jamvini na linaweza kuonekana kama jambo la kawaida kulingana na wakati husika. Ni jambo la kawaida kwa macho ya kawaida lakini...
23 Reactions
84 Replies
3K Views
Nimekua nikipata changamoto kwenye mahusiano na mzazi, kuna kuwa hamna maelewano kati yetu, tunagombana sana, hatuwezi kukaa sehemu moja tukazungumza usitokee ugomvi kati yetu. Kinachonishangaza...
22 Reactions
248 Replies
7K Views
Tumesikia vya kutosha juu ya wanaume kuwa vyanzo vya mahusiano kuvunjika, leo ningependa tupate maneno mawili matatu kutoka kwa wanawake wa nguvu wanaojitambua na kutambua mapungufu yao ambayo...
5 Reactions
20 Replies
784 Views
Ewe kijana wa kiume kama upo katika mahusiano na mtoto wa kike hakikisha anashidwa kukuelewa wala kusoma wewe ni mtu wa aina Gani iwe umeoa au hujaoa ....... Siku zote katika mahusiano wanawake...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari la hili jukwaa, Japo sijapotea sana huku jukwaani napitaga kimya kimya. Hili hali ilishanitokea sana, huwa nikikutana na mwanamke mrembo haswa huwa naishiwa pozi naweza kusahau ata...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada. Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao...
11 Reactions
68 Replies
4K Views
Back
Top Bottom