Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nilitakiwa kuweka bandiko hili siku ya tukio. Ni vile tu nilipatwa na kihoma cha mfadhaiko na mshangao wa hali ya juu kilichopelekea kumtafakari zaidi Israel na kujisahau kuingia JF kwa Baba yetu...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Saizi kidogo napumua hata nikiona simu yake naichukulia poa tu hata asiponipigia mwez mzima hata sistuki ila zamani dah kila muda bebi upo wap bebi unafanya nini? Na nikimuona na mwanaume naumia...
16 Reactions
37 Replies
2K Views
Hakika mapenzi ya Tabora hawa wanawake wa kinyamwezi ni kiboko. Kuishi ama kufika ama kupita Tabora ni raha sana, mapenzi tele na raha zake na utamu wa mapenzi ya Tabora hakuna mkoa pinzani...
18 Reactions
113 Replies
7K Views
Habari, Wakuu bana me nilikuwa namla demu mmoja miaka 3 iliyopita huko tukaja kuachana kupotezeana sasa mwaka HUU kahamia hapa ninapokaa kumbe alishazaaga huko mtoto mwaka na kitu hivi sasa...
5 Reactions
63 Replies
1K Views
Mwanaume ameoa mke wake. Wakagombana. Mke wake akamwambia. Na kwa taarifa yako hata hawa watoto sio wa kwako. Wana watoto sita. Mwanaume akaona hizi ni hasira tu. Ila baada ya muda fulani hili...
3 Reactions
7 Replies
799 Views
Yaani kwa tafiti kadhaa nilizofanya na uzoefu binafsi nimeamini kweli watu wapole na watulivu hawanaga bahati kwenye mahusiano. Unaweza kuta mdada mzuri, mtulivu, hana makuu lakini aliyeolewa nae...
4 Reactions
16 Replies
711 Views
Poleni wana jukwaa na mihangaiko ya kutafuta chochote kitu maisha yasonge.. Sina mengi sana ila nina swali kwa wanawake leo hii, hivi ni kitu gani huwasababisha mchelewe location???? Mnaweza...
2 Reactions
8 Replies
358 Views
Photo credit: Shutterstock.com / pics five A cultural shift driven by finances and changing values Young adults are increasingly viewing marriage as an optional life choice rather than a...
2 Reactions
2 Replies
243 Views
MY STORY: Alinibebesha ujauzito Mama yangu akamakataa akafungwa miaka 30 kisa Dini. Nilipomwambia Mama yangu kuwa nina ujauzito wa mwanaume ambaye si wa dini yangu, alikasirika sana. Aliniambia...
16 Reactions
54 Replies
4K Views
Huyu mdada tulijuana humu humu Hajawai kufika DSM Amepata likizo ya week so ameniomba aje dar for a week Karibu sana
4 Reactions
71 Replies
3K Views
Kama huyo mtu wako kakuumiza, usije huku na kuanza kutuambia, "wanaume wote au wanaume wote wa kitanzania ni washenzi", we kua tu specific mfano " hazard cfc wa nyumba na 345 kijiji flani/mtaa...
11 Reactions
24 Replies
1K Views
Nashindwa kuwaelewa hawa viumbe. Yaani ukichepuka na mke wa mtu, labda usiwe mdadisi tu, lakini ukisema udadisi, unapatiwa siri zote za jamaa Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani serikalini...
20 Reactions
60 Replies
5K Views
Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama...
11 Reactions
72 Replies
1K Views
Kuna misemo mingi katika jamii ikihamasisha wanandoa waishi tu kwa kuaminiana, watu wasichunguzane ili ndoa zao zidumu muda mwingi. Kama kuna kirusi kimeingia katika ndoa kupitia mke wako...
6 Reactions
21 Replies
977 Views
Kuna haya makundi 4 ya wanawake yanafanana sana Mwanamke mcheza porno Mwanamke mcheza onlyfans Malaya anayejiuza Mwanamke asiye bikira (mdangaji) hili ndilo kundi ambalo wanaume wengi miaka hii...
36 Reactions
228 Replies
13K Views
Habari za Usiku Wana Jamiiforums leo nmekutana na huu Uzi nikaamua niwasogeze wadau ✍👇 Sababu tano za kwanini huenda EX wako anakusimbua. (FOR MEN) 1. Sasa yeye ni mama wa mtoto. 2. Ametumiwa...
6 Reactions
13 Replies
671 Views
Mughonile Kûna Vijamaa humu vinachekeshaga Sana, unakuta vimekaza mishipa kîla Siku kuponda single mother alafu vyenyewe vipo na Wanawake àmbao hawakuwakuta na Bikila. Chongo hamacheki mwenye...
6 Reactions
57 Replies
1K Views
NITAWAELEZAJE ILI NIOE? Habari za leo kaka magic power Kuna jambo linaninyima usingizi sana,Mimi ni kijana na baba wa miaka 31 ila sijaoa ni mwajiriwa serikalini na mjasiriamali nina mabinti...
1 Reactions
1 Replies
168 Views
Kuna makabila ambayo ukiowa huko hutakaa ujute kwene maisha yako! Makabila bora kabisa kupata mke ni: 1. Wabena Hawa watu ni wavumilivu na wanajali familia. Si watu wa tamaa tamaa au wazinzi...
30 Reactions
249 Replies
14K Views
Wa kutumia pesa zako ukitoa mama, ni mke wako. Msininukuu vibaya, namaanisha mke uliyemtoa usichana ukaiona damu yake. Mwisho wa nukuu. Naungana na ndugu zangu Natafuta Ajira pamoja na R Heriel...
11 Reactions
31 Replies
995 Views
Back
Top Bottom