Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Waungwana sijui ni mizimu ya aina gani nakosa mzuka kumnyandua Mwanamke Ambaye hajavaa Shanga, nachafukwa nikiona demu hajavaa shanga na hana kawaida ya kuvaa shanga. Naboeka sana na aina hio ya...
5 Reactions
12 Replies
435 Views
My sister Haijalishi ni mara ngapi mwanaume wako anakuposti, Always lazima kuna yule mwanamke wake pembeni ambaye anaelewa kila kitu na ameridhika.
4 Reactions
9 Replies
412 Views
Hivi ndivyo mwisho wa wanaume wengi kwenye mahusiano yao hasa wale wanaosikiliza sana machozi ya mwanamke na kuwajali zaidi kuliko kujipa wao kwanza kipaumbele. Mwanamke ambaye hajatoka kwenye...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Am loosing it. Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down. Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana. Leo kiutani...
59 Reactions
608 Replies
14K Views
Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani. Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine...
19 Reactions
127 Replies
2K Views
Nikiwa O Level advanced level niliambiwa chuoni kuna wanawake wanajiuza Mbona huku chuo siwaoni? AU wanakuwa wapi? Mbona kila nikitongoza nakataliwa? Mbona mademu wanapenda Hela?
20 Reactions
66 Replies
2K Views
Katika jamii yetu, kuna mtazamo wa kuona mtu asiye na familia kama mtu "asiye na majukumu makubwa." Kwa sababu ya mawazo haya, mara nyingi watu wasio na familia hupokea maombi ya msaada mara kwa...
6 Reactions
20 Replies
903 Views
Hata gari kama huitumii piga hata starter iache silence nusu saa kisha izime.Huyu Sheikh kanifurahisha hatari.
9 Reactions
222 Replies
28K Views
Leo nimekumbuka kitu changu fulani hivi na kila nimekumbuka nacheka tu, kuna njemba mmoja miaka ya ujana wangu (uhengani) alinipenda akashoboka sijui na jinsi nilivyo chee akaanza usungura...
4 Reactions
52 Replies
5K Views
Kijana wa watu amekukubali vizuri tu. Lakini baada ya muda unaanza kuleta nyodo. Simu ukipokea uko busy, SMS unajibu shortly. Haya sasa, kijana anaamua kukuchana kuwa umechange hivyo kila...
3 Reactions
1 Replies
259 Views
Weekend hii nilikua Tanga kikazi bahati nzuri nilikutana na msichana mmoja shombeshombe. Mtoto mashaAllah ana kila sifa inayostahili. Urefu wa wastani Mgongo wa maana Hips zilizochomoza kwa...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Wazee wakataandoa,natakanijiunge na nyie endapo nikieleweshwa hili. Mtazamo wenu ukoje, kwamba mnaishi na mwanamke na kumzalisha lakini hamfungi ndoa kwa maana ya kusign makaratasi kama pingu za...
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea. Kama akikupa hata elfu kumi ya saluni au nauli ya kurudia ridhika maana naye...
6 Reactions
18 Replies
810 Views
Kijana mmoja ana udugu nami japo kwa mbali, kaniuliza hilo swali, eti aoe mke au atafute mwaname wa kuzaa nae? Nimemjibu anipe wiki ndio ntamjibu, wadau mmeona hilo swali?
4 Reactions
15 Replies
345 Views
Wakuu sitarudia tena kufanya maandalizi ya kulana kwa kuzama chumvini baada ya shemeji yenu kunibana na mapaja kwa dk 4 huku akinishindilia kichwa changu kwa mikono hadi nikakosa pumzi. Zoezi...
3 Reactions
4 Replies
365 Views
Kuna anko anaenda miaka kama 43 hivi ana familia yake yenye watoto wawili wa kiume. Mke wake yuko fresh sijawai sikia malalamiko, ni mtiifu, anawajali ndugu wa mme wake, anafua nguo za mmewe japo...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu mmoja yeye anampenda sana mke wake, kiukweli upendo ule sijawai kuona Cha kwanza jamaa hana kazi maalumu Kila dili ngumu ye anapiga tu, ila anahakikisha mkewe anapata mahitaji...
46 Reactions
153 Replies
7K Views
Natafta Mwanamke mwalimu & Nurse alie tayari kwaajiri ya ndoa anicheck kwa namba yangu [emoji117] 0757 692 993
2 Reactions
23 Replies
722 Views
Leo mdau wenu Pang Fung Mi nasema kwa uchungu kabisa sababu ya kuwa mwanachama hai na wa kudumu wa muda wote wa Chama cha wakataa Kuoa na kataa kuishi kindoa na Mwanamke. Wanawake wamejaaliwa...
3 Reactions
5 Replies
456 Views
Ndugu zangu sio wanaume wote ni waadilifu, vilevile siyo kila Mwanamke huwa mpenda ugomvi. kuna wanaume hutumia upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu ambao mwanamke...
6 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…