Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

1. Akiwa mpweke Akiwa na kiu ya kuliwazwa kwenye upweke wake haangalii huyu ni mume wa mtu, mchumba wa mtu, mzazi wa mtu. Yeye anachotaka upweke wake uishe 2. Akiwa desparate (mwenye kiu ya...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 27, nafanya kazi. Nimeoa mwanamke ambaye tumedumu uchumba kwa mwaka na nusu. Nimetoa mahari zaidi ya milioni na nusu. Amekuja mkoa ninaofanya kazi, lakini vituko...
26 Reactions
170 Replies
13K Views
Salamu sana wana jamii wote. Napenda kutoa shukrani zangu kwa wana familiya hii wote kutokana na kuitikia ombi langu la kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu aliyekuwa...
43 Reactions
188 Replies
14K Views
Sema kweli napenda flat girls,girl hata awe na figure kama wowowo kupita kiasi sivutiwi. Oops ! Unakuta girls ana boobs za wastan,wowowo ya kawaida au hana,au ana kiwowowo cha kubinua tu,skinny...
25 Reactions
390 Replies
53K Views
Wakuu, Nimeamua kufanya utafiti kwa Dar japo si rasmi kuhusu kwanini mabinti wengi tena wenye age ndogo ni masingle mother. Katika utafiti wangu nimegundua kuwa asilimia kubwa ya mabinti wa Dar...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari za mchana wapendwa, Leo nasukumwa kusema haya. Nimekuwa nikiwatazama watu wa jinsia tofauti kwa mtizamo wangu na mwishowe kumuweka huyo mtu kwenye kundi ninaloona anafaa. Hii...
14 Reactions
175 Replies
15K Views
Ukweli ni kwamba mwanamke unae-date nae kuna uwezekano mkubwa kajiweka tu kwako kwa sababu anahitaji pesa. Ni masikini, hana kazi(kama anayo kipato chake akitoshelezi lifestyle anayoitamani) na...
18 Reactions
29 Replies
837 Views
Habari za asubuhi wakuu. Wanaume matatizo yanayotukabili mbele ya wanawake nimeona niandike walau tusaidiane kwa sababu sisi ni dhaifu kwa wanawake hilo halina ubishi na huwezi ishi bila mwanamke...
11 Reactions
30 Replies
6K Views
Nina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili...
20 Reactions
200 Replies
7K Views
Safari hii nataka ni date na mume wa mtu for benefit,yaani anifungulie biashara,nilisha date na mume wa mtu alikua ananizagamua tu na kunipa chips kuku na viela vidogo!! Vidogo!! Sasa...
12 Reactions
107 Replies
3K Views
Nimeamua nibadilishe type za wanaume 😂 Sasa hivi my preference is 1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini 2. Amesoma kwa shida sana 3. Kapitia changamoto za maisha nyingi 4. Awe na...
21 Reactions
148 Replies
3K Views
Nilipigiwa simu saa kumi na mbili jioni nikaambiwa mwanaume wangu yupo ……………… na mwanamke , ikabidi nipande boda faster nikamfumanie cha kushangaza sijamkuta nampigia namwambia nipo ………….. hapa...
22 Reactions
125 Replies
4K Views
Ndugu zangu salaam Mke wangu anajumla ya mzunguko wa siku 25 . mwezi uliopita aliona siku zake tarehe 11/08 /2024 na nilikutana nae kimwili kwenye siku zake za hatari kwanzia tarehe 8/08 mpaka...
5 Reactions
17 Replies
577 Views
Kuna watu unaweza kuwa karibu nao lakini wasitambue umuhimu wako. Wanaweza kuwa ndugu, jamaa au marafiki. Na unapoamua kuachana nao na kuishi maisha yako,wanakuona kama umewatenga. Binafsi...
26 Reactions
80 Replies
4K Views
Mnapokuwa kitandani, ni dosari zipi huwa zinawakera kiasi ambacho zinawafanya ama mvunje ndoa au kuchepuka?
11 Reactions
214 Replies
6K Views
Hivi inakuwaje familia fulani unakuta mwanamke ndiyo msemaji wa mwisho? Ama mwanamke unakuta eti anamzidi kila kitu mwanamme wake?! Binafsi kwa maoni yangu ni USHAMBA KUKUBALI KUONGOZWA NA...
9 Reactions
26 Replies
959 Views
kwenye suala la mapenzi,woga wako mkuu ni upi?
8 Reactions
125 Replies
3K Views
Mapenzi Yana wigo mpana mno ambao mtu anapaswa kuangalia kwa jicho Pana na akili pembuzi kabla ya kuingia, Namaanisha kwamba ni lazima kuchunguza kina Cha maji kabla ya kuzama, Sasa basi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hey Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi... Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume...
69 Reactions
540 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…