Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Application zinazowekwa kwenye simu za kisasa (Smartphone) zinafanya udanganyifu kwa watu walio kwenye uhusiano wa kimapenzi kuwa mgumu zaidi kubaini. Zama za mpenzi kumnasa mwenzie kilaini laini...
12 Reactions
84 Replies
17K Views
Salaam wana JF, Mara kwa mara nimekuwa nikisikia watu wakisema wanawake weusi ni watamu kuliko weupe, hili lina ukweli wowote? Wakuu kuna mwenye kufahamu ukweli kuhusiana na hili atujulishe...
3 Reactions
51 Replies
25K Views
Siku ya jana Jumapili nikiwa nimechill home ilikuwa ni mbaya na nzuri kwangu, Ilikuwa nzuri pale nilipopigiwa na "Mdaiwa Sugu" kwamba anataka kurusdisha pesa niliyomkopa january 400,000 taslimu na...
18 Reactions
111 Replies
8K Views
Habari zenu Leo nimekutana na jambo hospital ikanibidi tukumbushane wakuu.. mama alikuwa anambadili diaper mtoto wake me nipo karibu mtoto kanangozi kama ya mamba huku akianimbia kwa madaha...
19 Reactions
79 Replies
8K Views
Jamani katika pitapita zangu nilikutana na mijadala huu watu wakizungumza ....... Hivi ikitikokea kijana wa kiume ukawa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri au mwanamke ambaye kiumri ni kama...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Nimekuwa nikifatilia Sana maswala ya mahusiano Kwa nyakati tofauti . Leo napenda kugusia hili eneo ambalo watu wengi hawalifahamu kuhusu 'KUTEGEMEA' Binadamu wote kimaisha wanategmeana...
3 Reactions
10 Replies
536 Views
Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako wenyewe mnaita "KUCHANJA" Unapewa kilema cha maisha bila kujua. MADHARA 1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na...
80 Reactions
1K Replies
68K Views
Inaniwia vigumu kuingia guest na demu Kama Kuna watu kwa nje nabaki najibaraguza.kama demu na mwenyewe Ni muoga Basi inakuwa msala zaidi.nikifikiria kila mtu anaona kabisa Kitu ambacho mnaenda...
8 Reactions
93 Replies
12K Views
Habari ndio hiyo, Mwanaume mzima bila aibu una ndevu zako kabisa asubuhi unaacha mezani 5,000 ya matumizi huoni aibu? Pesa ya saluni hutoi hata kumnunulia nguo mkeo unaona hasara alafu unataka...
6 Reactions
76 Replies
8K Views
MDAU ANAOMBA USHAURI "Mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwenye familia ya watoto wanne kwa wazazi wetu huko Moshi - Kilimanjaro. Nilikuja mjini Dar es Salaam kwa kusaidiwa na kaka zangu wawili hasa...
10 Reactions
69 Replies
8K Views
Wanaume wasiochepuka wako wengi tu kwenye jamii sema hawazungumziwi sana kama wale wanaochepuka. Niwapongeze sana kwa kujitambua na kuheshimu agano la Ndoa
19 Reactions
133 Replies
8K Views
Ndg wana jf hivi hii inawakuta na nyie au nimimi tu yani mtoto wetu ni mchanga miezi saba huwa analala fofofo sana lakini tukianza tu kufanya mapenzi huamka na kuanza kulia kwa nguvu sana. Sasa...
10 Reactions
122 Replies
18K Views
Huyu dada toka mwaka 2013 nlikuwa namfukuzia .alinambia tu black and white hawezi nipa penzi lake tuwe marafiki tu.maana ana mwanaume tayari anayempenda sana. Basi nikapiga moyo konde sikupunguza...
12 Reactions
140 Replies
16K Views
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu. Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne. Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo...
6 Reactions
147 Replies
12K Views
Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi...
18 Reactions
434 Replies
51K Views
Asaalam. Wote tuliopo humu ni wapenzi wakubwa wa mitandao ya kijamii tukianza na huu uliyotuleva yaani JF. Nguvu ya mitandao ya kijamii kututoa katika uhalisia tunaoishi ni kubwa saana. Muda...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Naombeni ushauri, Mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu. Nanataka nibadilishe dini kwetu wana...
7 Reactions
486 Replies
34K Views
Nimempata demu mkali sasa aliponawa uso tu uzuri wako wote akauacha kwenye sink
8 Reactions
68 Replies
9K Views
Tazama hapo chini kitu ambacho hawa watu wa kampuni ya dume condoms wameamua kuweka mbele ya kadamnasi ya watanzania. Kwenye hiyo LOGO yao juu ya herufi M kuna kitu kirefu kimesimama kama nanihii...
5 Reactions
123 Replies
19K Views
Huwa najiuliza inakuwaje binadamu unafanya ngono na midoli? Unakuta mwanamke ana wapenzi wa kutosha ila kwenye pochi ana livibrato. Mwanzoni nilidhani haya madude wanayatumia masingle girl kama...
6 Reactions
135 Replies
12K Views
Back
Top Bottom