Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ushawahi Jiuliza kwann Mwanamke mwenye mtoto au watoto, akiwa anatafuta Mume ,kigezo chake Cha kwanza ni 'Mwanaume awe pia na mtoto au watoto'?. Hiyo mbinu inaitwa Kusahihisha kosa Kwa Kumfanya...
3 Reactions
5 Replies
247 Views
"Kulea ni kazi ya mwanamke na kutunza ni kazi ya mwanaume. Ili mwanamke aweze kulea ni mwanaume anahusika kutoa matunzo. Kujiunga na chama hichi ni kuanzia miaka 18 ambapo tunatengeneza wanaume...
6 Reactions
36 Replies
416 Views
  • Redirect
Habari wadau, niseme tu Moja ya kitu kinachoniumiza na nilifanya moyo wangu utatulia ni kukutana na mwanamke bikra na kumtoa bikra, katika ujana wangu nimebahatika kuoata wanawake wawili bikra ila...
1 Reactions
Replies
Views
Wakuu habari, Naomba kujua sifa za viumbe hao wadigo vs wasambaa, ktk kuishi na maisha ya kila siku, Pia Nani kafundwa Kama mmakonde? Ujumbe "Mwanamke ni kiumbe mpole mnyenyekevu na mwenye...
6 Reactions
82 Replies
17K Views
Tutafute ela tu #2025 #2026 #2027 Stay focused💔💔📌
22 Reactions
121 Replies
2K Views
Kila kitu kilienda kama kilivyo kua kimepangwa mpaka pale mama moja lie zalishwa na bwana harusi alivo leta mtoto wa bwana harusi kama zawadi ya harusi kwa bibi na buana harusi. Wanawake wengi...
10 Reactions
47 Replies
828 Views
Unakuta mtu upo serious nae ajawai kukushirikisha anapitia nn anapitia hard tym gani baadae ukiombwa ela oh huoni napitia wakati uliwai niambia?😎 Mtu unakaa nae for like 3yrs na kuendelea...
18 Reactions
218 Replies
3K Views
  • Redirect
Tuna mengi ya kujivunia sisi kama akina mama, dada, wake, watumishi, wafanyabiashara, wanajamii na nguzo muhimu ya familia. Binafsi najivunia kuwa mwanamke anayetengeneza kizazi bora kijacho kama...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nawatakia wanawake wenzangu heri ya siku ya wanawake duniani. Tuna mengi ya kujivunia sisi kama akina mama, dada, wake, watumishi, wafanyabiashara, wanajamii na nguzo muhimu ya familia. Binafsi...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nawatakia wanawake wenzangu heri ya siku ya wanawake duniani. Tuna mengi ya kujivunia sisi kama akina mama, dada, wake, watumishi, wafanyabiashara, wanajamii na nguzo muhimu ya familia. Heri ya...
0 Reactions
Replies
Views
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu Huyo kijana mimi nampenda na...
19 Reactions
329 Replies
10K Views
Mke au Mume ni ufunguo wa maisha,hivyo msidanganye,vijana wa kiume na wa kike oaneni na sio lazima mfanye sherehe
13 Reactions
45 Replies
441 Views
Habari ndugu yangu. Bila shaka upo salama kabisa na Afya tele . Pole kwa misukosuko ya hapa na pale katika kulisaka tonge 🙏 Waungwana maisha ni safari ndefu ila sio kwa Kila mtu inakuwaga ndefu...
8 Reactions
22 Replies
1K Views
Kuna aina maalum na ya kipekee ya watu ambao hawapendi kwenda nje na wanapendelea kukaa kwenye vyumba vyao tu, Wanapoenda mahali fulani, hukosa upweke wao wenye kupendeza. Hawa ni watu ambao...
8 Reactions
5 Replies
567 Views
Kuna wanaume wajinga wajinga hivi wenye akili za kitoto kila uchwao hubweka... "usioe mwanamke asiye bikira." Kiuhalisia hao jamaa hawajui maana ya ndoa ni nini. Wapo walioa mabikira kwa kudhani...
37 Reactions
402 Replies
10K Views
Kuna msemo maarufu kuwa "binamu nyama ya hamu" ijapokuwa haijahalalishwa ila kuna matukio tu mengi ya watu kutembea na binamu zao au ndugu zao either kwa bahati mbaya au mazingira tu!! Binafsi...
43 Reactions
641 Replies
168K Views
Kuwa mke sio kazi rahisi, khususan kuwa mke bora na sio bora mke. Lakini, iwapo unafanya mambo haya 14, kuna nafasi kubwa mumeo anajua kwamba ana mke bora kwenye uso huu wa dunia. 1. UNAFURAHIA...
4 Reactions
25 Replies
509 Views
Ikitokea kawekwa ndani miaka mitano na kuendelea, vipi unamsibiri au ndiyo fursa yako ya kuachana bila lawama. Kwa wanandoa, mwenza wako kufungwa ni sababu tosha kwa mujibu wa sheria ya kuomba...
6 Reactions
54 Replies
646 Views
Shaloom, Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa. Huu msimamo wa bibie ulifanya apoteze wachumba wengi kwani walipoambiwa hawataonja asali mpaka...
36 Reactions
1K Replies
52K Views
MWANANGU USITEMBEE NA MUME WA MTU .. Binti mmoja alikua anatembea na mume wa mtu, alikua akifanya kwa siri lakini Mama yake alijua, baada ya kuona vile Mama yake alimkalisha chini na kumuuliza...
2 Reactions
4 Replies
299 Views
Back
Top Bottom