Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wanandugu tarehe 20 mwezi wa kuminamoja tunatarajia kupata usajili rasmi wa chama cha wanaume wanaoopigwa na wakezao tanzania.. kumekuwa na wanaume wengi sana wanaofanyiwa vitu vingi na kushindwa...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari zenu wadau wa Jamiiforums. Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani. Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili. Suala liko...
7 Reactions
128 Replies
14K Views
Nikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae. Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu. Mwisho kabisa...
12 Reactions
65 Replies
4K Views
Habari wana JF. Leo na leta kisa changu hiki kilichonitokea, nina miaka 38 sasa. Ni Baba wa watoto 2 nilizaa na wanawake wawili. Wa kwanza mke wangu wa pili niseme kama mchumba tuu. Miaka kama 12...
151 Reactions
631 Replies
63K Views
Haka ka under twenty cjuw kanatakaje?
2 Reactions
7 Replies
274 Views
MAMBO HAYA USIMWAMBIE MWANAUE WAKO, HATA KWA KISU SHINGONI:- Mwanaume aliyekutoa Bikra [aliyeku'bikiri], hapa hata kama wewe ni malaika utamu-umiza sana mwanaume, hatokaa asahau, ataumi sana...
14 Reactions
63 Replies
4K Views
Mahusia ni jambo la kutazama katika jicho ya kipekee sana haswa swala la usaliti linapoingia katika mahusiano, Mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke yalianza toka mwanzo kabisa mwauumbaji wa kila...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Haka ka under twenty cjuw kanatakaje?
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Naomba ufafanuzi tafadhali wangwana matabibu wa afya na mapenzi?🐒
0 Reactions
1 Replies
194 Views
Iko hivi:- Mimi ni msichana, nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama na nina miaka 23. Bahati mbaya mamangu allifariki miaka 4 iliyopita. Kwa muda wote huo babangu anaishi single na muda mwingi...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Wanaume, kumbukeni kwamba ninyi ni tuzo. Usiruhusu mwanamke yeyote akufanye ujihisi mdogo. Hapa kuna baadhi ya sababu tano za kukukumbusha thamani yako: 1. Ukweli kwamba mwanamume anaweza kuoa...
18 Reactions
60 Replies
3K Views
Msanii Nguli, LUIZA MBUTU amedumu kwenye ndoa yapata miongo kadhaa sasa, Hana makeketofauti na wasanii wengi nchini. Tumeshuhudia ndoa za wasanii wengi kutokudumu ikiwemo Harmonize Vs Kajala...
7 Reactions
175 Replies
11K Views
Ni nini hasa changamoto hata ifikie mahali ili kijana atangaze ndoa ni Lazima awe ametekeleza jambo hilo? Hata hivyo, ni dhahiri wana ndoa wengi hivi sasa, wanaenda kwenye nyumba za ibada kufunga...
13 Reactions
27 Replies
687 Views
Habari zenu wanajamii forum Leo naomba mnisaidie kuhusu kujua tabia za wanawake wa kimbulu japo sijawahi kuwaona ila nasikia ni wepesi sana kushawishiwa kufanya ngono mpaka wanasifikla kama...
3 Reactions
72 Replies
39K Views
Kwema Wakuu! Hakuna kitu kizuri kwenye maisha Kama kuishi na mtu mnayependana, Yaani muda wote raha tuu! Mnaishi Kama Watoto, mnacheza Kama watoto mkiwa pamoja, hakuna Siri. Hakuna chuki...
40 Reactions
146 Replies
8K Views
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze...
11 Reactions
140 Replies
3K Views
Naomba ushauri kutoka kwenu wadau,ni njia zipi zinaweza kutumika ili ama kupunguza au kumaliza ufuska kwenye ndoa.Kwani siku hizi taarifa kuhusu ufuska kwenye ndoa ni nyingi sana
2 Reactions
18 Replies
416 Views
Wakuu nilikuwa na ndoto za kumiliki angalau pikipiki kwasasa ili kunipungizia gharama za daladala na boda pia kunipungizia michosho itokanayo na kutembea Kwa miguuu. Nikaliweka hilo swala kwenye...
11 Reactions
36 Replies
904 Views
Habari kwenu! Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwake na familia yake...
47 Reactions
211 Replies
11K Views
Back
Top Bottom