Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna msemo unaosema ''maji yakizoleka hayamwagiki''! Mimi ni muhanga wa hiyo methali, huwa najuta sana kwanini nilikuwa na mahusiano na bwana yule ila ni too late. Sasa kwenye familia kuna mabinti...
11 Reactions
110 Replies
10K Views
Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani. Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend. Msiniulize...
14 Reactions
181 Replies
22K Views
Mhmmhmhmhmhmhmhmh kwa namba yangu kama kuna kaukweli fulani. Vipi wewe??? Je tunatakiwa kuzaa watoto wengi kama Kila mmoja na karama yake??? Unasemaje katika hili!?!! Wewe ni mtoto wa ngapi...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello members! Habari za Kazi na majukumu mengine!!!! Poleni na mihangaiko na misukosuko ya wiki nzima. Ni matumaini yangu mu wazima kabisa wapendwa. Okay, Kama una date na binti wa umri wa...
17 Reactions
52 Replies
4K Views
Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro. Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao...
29 Reactions
229 Replies
8K Views
Guys hi kitu inaitwa solitude (upweke) ni kibaya sana, it's healthy but harmful as well. This year sababu ya upweke nljikuta nmeingia in a very toxic relationship, huwa inanitesa sana...
3 Reactions
52 Replies
2K Views
DADA HUYU YAMEMKUTA😂😂😂 Tukumbushie kidogo miaka ya nyuma. Mwanamke mmoja nchini nigeria alilalamika mtandaoni baaada ya kutembea zaidi ya km 250 kumfata mwanaume aliyekuwa anachart nae mtandaoni...
7 Reactions
16 Replies
706 Views
Mwezi watano katika mihangaiko yangu nikakutana na mdada mmoja nikamwelewa tukayajenga mwisho tukakubaliana kuishi pamoja. Alinieleza changamoto zinazomkabili huku akiwa na mimba ya miezi 2...
25 Reactions
141 Replies
4K Views
Je Wajua? KISANGATI - Ni mtu mwenye tabia ya kutopenda kutumia na kutoa kilicho Chake Kwa wengine (Kwa mujibu wa BAKITA) Wakuu ni mwaka mmoja na zaidi Sasa sijafanya Uzinzi/Uasherati na bado...
3 Reactions
14 Replies
479 Views
Habari wakuu. Nilileta andiko hapa la mchizi wangu wa Italy kufuma meseji kwenye simu yake akichati kimahaba na mwanaume mwingine. Jamaa baada ya kukaa kikao cha familia ili ipatikane suruhu...
8 Reactions
25 Replies
985 Views
Mzee huko Facebook alipost Uzi wa wanawake ambao amewahi kulala nao, kama 30 na zaidi
3 Reactions
27 Replies
743 Views
Hivi kwanini wanaume mnapenda kutupigia video call za kushtukiza? Na ukipokea utasikia is that your real hair ?( hapo umevaa wigi, utasema hawajui kutofautisha Au Ndio kunikejeli) Yani it’s best...
6 Reactions
10 Replies
312 Views
I SAID I LOVE YOU BUT I LIED (Wikiendi njema mpenzi, Take care) You are the candle, love's the flame A fire that burns through wind and rain Shine your light on this heart of mine 'Til the end...
1 Reactions
12 Replies
461 Views
Hayati Lemutuz alisisitiza sana vijana kumudu kuwa na sehemu anapopaita kwake hata kama amepanga. Hata kama ni chumba kimoja hakikisha unamudu kulipa kodi ya pango. Hiki kiwe kipaumbele cha kwanza...
1 Reactions
8 Replies
341 Views
Nikiwa home nachota maji au nafua, Nikiwa kibanda umiza, Nikiwa kazini balaa Nikiwa barabarani Kila ninapokutana au kupishana na dadaz wengi kunakua na sauti nahisikia... ndani yao zikisema...
18 Reactions
58 Replies
1K Views
Haijalishi wewe ni nani, hakuna upendo wa bure kwa mwanaume. Upendo pekee wa bure utaupata kutoka kwa mama yako na dada zako, zaidi ya hao hakuna mwanamke mwingine atakupenda bure. Unatakiwa...
33 Reactions
64 Replies
3K Views
Dah inasikitisha sana bwana faruq kutoka Muleba alikuwa akihojiwa leo asubuhi katika channel ya crouds kiukweli ni kuwa wanawake wa kileo wana roho mbaya sana😢 ====== Faruku Muhamadi "Nilipata...
10 Reactions
73 Replies
4K Views
Acha ujinga wewe Hizo pesa unataka kuspend weekend hii kwa kumtumia girlfriend wako ili uumtoe outing, mtumie mama yako. Siku zote kumbuka; "Asante mwanangu Mungu akubariki." —Mama Ni bora...
9 Reactions
39 Replies
519 Views
Sijawahi kujua kwanini wadada wengi wanasema wanapenda wanaume weusi, wanaume weupe tuna nini? Naomba kujuzwa nini wanacho wanaume weusi weupe hatuna.
5 Reactions
277 Replies
50K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…