Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wanaMMU. Nililete kwenu hili ili nipate pia maoni/maono yenu. Mara nyingi nimeweza kufuatilia visa vya kusalitiana kwa wanandoa/wapenzi nimegundua wanawake wengi wenye mahusiano na...
4 Reactions
57 Replies
9K Views
Wakuu ngoja niende kwenye pointi. Last week nilipata safari ya kikazi huko mkoani, nipo kwenye Ofisi mpya kidogo kwangu. Sasa kama kawaida nimefika up country siku mbili Tatu nikapata mwenyeji...
13 Reactions
139 Replies
12K Views
Habari zenu wanajamii forum Kuna dada nilikuwa naongea naye hapa mwanza ,katika mazungumzo yetu akasema yeye anapenda wanaume wapole kuliko wanaume waoongea sana nikamuuliza kwanini unawapenda...
3 Reactions
26 Replies
8K Views
Jamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida. Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya...
55 Reactions
839 Replies
32K Views
Je, kwa nini wasichana wa siku hizi wamekuwa wavivu sana kunyoa nywele za sehemu zao za siri? Tatizo liko wapi wakuu? Au nyembe bei ghari? Kwa sababu Kati ya wanawake 10 niliowala tangu mwezi wa...
8 Reactions
61 Replies
7K Views
Siku hizi si jambo geni tena au la kushangaza kwa sisi Wanaume wengi ambao huwa tunaenda ' Kubanduana ' na Wapenzi wetu kukuta wakiwa hawajanyoa kabisa ' Nywele ' zao za Sirini / Makao Makuu yao...
9 Reactions
182 Replies
23K Views
Wajameni habari zenu? Kuna suala linanitatiza sana kuhusu tabia ya hawa dada zetu wanaokua single muda mrefu bila kuwa na wanaume, mostly hawapendi kabisa kunyoa nywele za sehemu zao za siri...
4 Reactions
68 Replies
14K Views
Mwanaume "mwenye kila kitu" kuna mtihani kidogo kumjua mwanamke mwenye mapenzi ya kweli. Wanawake wengi mapenzi kwa vitendo ni feeling experession na availability yake kwako, mbali na hayo basi ni...
6 Reactions
7 Replies
435 Views
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula. Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda. Kwa...
54 Reactions
135 Replies
9K Views
Jumapili Moja mida ya jioni nipo zangu home sielewi,’mwanangu’ mmoja akanicheki “oyaa Satoh upo wapi now?” Nikamjibu nipo home nimechill nacheki game ya Simba. Hiyo siku ilikuwa Simba inacheza na...
11 Reactions
92 Replies
3K Views
kunaye mtu mmoja alikua na mpenzi wake, mapenzi shatashata huku bibie akikataa wanaume waliokua wanakimbizana kuleta posa kwao kwa kisingizio ana mtu wake, kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni...
23 Reactions
145 Replies
6K Views
Leo, nitawasimulia hadithi ambayo hamkuwahi kuhadithia. Kama ilikuwa ni siri basi nimeshindwa kuitunza🙏. ************************************ Kumi na moja jioni majira, ilionekana...
2 Reactions
0 Replies
150 Views
Habari wadau, nikiwa nipo mbioni kuelekea kuadhimisha miaka 10 ya ndoa yangu leo hii nimeona nitoe ujumbe mfupi tu kwa wanaume kama mimi maana watoto wa kiume kwao sio rahisi kuiweza ndoa. 1...
34 Reactions
109 Replies
3K Views
Baada ya stori mbili tatu ukaombwa namba na umetoa mwenyewe bila kushikiwa kisu, manati wala bunduki, lakini cha ajabu ni wiki ya pili sasa simu hujawahi kupokea hata siku moja na ikipigwa inaita...
21 Reactions
149 Replies
3K Views
Haya mtu akiizika hiyo maiti atanufaika na nini? Au kuna faida za kishirikina anazitafuta? Maiti ya kazi gani? Ni upendo ama mnatafuta uhalali wa kurithi mali za marehemu? Mzazi atakayemlea...
1 Reactions
6 Replies
225 Views
Mnipe mawazo mazuri maana nipo njia panda. Katika maisha yangu ya ujana nilijipangia mikakati inatayosapoti mimi kutoka kwenye maisha ya hali ya chini. Kabla sijaoa nilipanga 1. Nilipanga...
21 Reactions
109 Replies
3K Views
Ukijua mpenzi wako anatoa harufu kali na mbaya ukeni kwake ila unampenda, utatumia akili gani kubwa kumwambia ili akuelewe na asiumie ili ajirekebishe? Huku Zanzibar ninapoishi na yalipo makazi...
9 Reactions
41 Replies
1K Views
VIGEZO NA SIFA ZA MWANAMKE WA KUOA KWA 2024 - 2050 Anàandika, Robert Heriel. Mtibeli Pasipo kupoteza muda. Ikiwa wewe ni mwanaume unatafuta mke wa kuoa ili ujenge naye familia basi vigezo na...
31 Reactions
157 Replies
12K Views
Huyu Binti ni mrembo, ana asili ya uarabu. Nilimpata ugenini mkoani nilipoenda kwa ajili ya mambo yangu. Binti anafanya kazi office flani hapo mjini. Niliuliza wenyeji pindi nilipojiridhisha...
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Wanaume Wanaokwenda Njia Yao Wenyewe (MGTOW )ni jamii ya mtandaoni yenye msimamo dhidi ya wanawake na yenye mtazamo wa chuki dhidi ya wanawake, ikihamasisha wanaume kujitenga na wanawake na jamii...
2 Reactions
6 Replies
322 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…