Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ubunifu, ujuzi na utundu wa kuchapa mbususu ni muhimu kwa faida ya ndoa yako
5 Reactions
19 Replies
612 Views
Yani Kwanza jamaa unaonekana hela ipo, demu mkali anae, halafu demu mwenyewe bado mdogo Mali mpya kabisaaaaa. Na demu mwenyewe yupo romantic kuliko mademu wengi Sana hapa nchini Natamani...
8 Reactions
50 Replies
1K Views
Kabla mambo hayajawa mengi ni ufala kwa mwanaume kuanzisha mahusiano yoyote kwa gia ya pesa. Kifupi ukianzisha hayo mahusiano jua umesaini mkataba wa kutumika. Na utatumika kama kondom vile...
6 Reactions
20 Replies
758 Views
Kuna watu ambao wanajikuta wakilala huwaota watu ambao waliwahi kuingia nao katika mahusiano lakini wakaachana. ✍️Zipo sababu nyingi sana lakini kupitia Makala hii utaenda kujifunza sababu kubwa...
1 Reactions
20 Replies
629 Views
Natumai wapo wajuzi ambao wanaelimu ya kuweza kutueleza kuwa ukiona hivi au vile basi uelewe kuwa bado mwanamama ni mwari na hajaguswa kabisa na anaendeleza heshima yake, na kuna wengine ukiwaona...
0 Reactions
57 Replies
27K Views
Kwanini kuna baadhi ya wanaume hupenda kutoa bikra (siyo ya kichina) kwa wanawake/mabinti wakati siku ya hiyo shughuli huwa na usumbufu na kelele za maumivu wakati wa mchakato? Je ni kweli...
4 Reactions
61 Replies
66K Views
Ebana mwaka 2023 mwez wa9 mwanzoni nilikutana na huyu single maza tukakubaliana kutimiziana haja zetu bila mkataba kwani tulitafutana mara tu tulipokuwa tunahitajiana. Sasa mwez wa9 mwishoni 2023...
18 Reactions
25 Replies
2K Views
Mwaka 2018 nilimuelewaga binti enzi hizo yeye ana miaka 25 mimi nna miaka 30, na mda huo nlikuwa nishajipata kujenga tayari kazi nzuri nnayo na biashara zangu so kuowa haikunipa shida Binti...
19 Reactions
51 Replies
2K Views
Wazee wa zamani walikuwa wakitoka safari ya siku nyingi walikuwa Hawa fikii nyumbani hapana wanafikia vilabuniii Kisha Wana mtuma Mtoto apeleke begi nyumbani ili mke ajue mumewe kafika Kusudi...
9 Reactions
35 Replies
988 Views
Halafu badala ya kwenda kwenye nyumba za ibada kuomba Mungu na kuombewa uondokane na hiyo Roho ya maringo, kiburi, hasira na dharau, eti unataka uombewe upate mume. Mume gani atakuoa ukiwa mbishi...
22 Reactions
95 Replies
2K Views
Wana JF hali gani huko katika pilika za hapa na pale. Kwa hali ilivo sasa ukiachilia mbali wazazi kusema mmesomesha mmelea na mmekuza hii hoja ya ya kutoa mahari inaanza kukosa mashiko. Msingi...
16 Reactions
146 Replies
3K Views
Wana wa Tanzania amani iwe kwenu. Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje? Me...
21 Reactions
369 Replies
12K Views
Kwanza mimi ni mzee wa 51. Sioni dalili yoyote wanaoyopitia wenzangu wa 40s na 50s Jambo moja tu ni hamu ya tendo imepotea japo kikiwaka minawaka kweli kweli mpaka mwanamke anaomba maji...
14 Reactions
47 Replies
2K Views
Katika harakati za ujana chuoni, kuna manzi nilikuwa namkubali balaa, nilikuwa najua ndio nitamuoa kabisa baada ya kutendwa na wa kwanza Basi nilimuhudumia sana yule Demu kwa dhati kabisa. Basi...
5 Reactions
184 Replies
22K Views
Tulimaliza Form four 2009 Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule Shuleni hatukuwa marafiki kivile Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine Mijadala ya magroup haya ni...
38 Reactions
73 Replies
3K Views
Waungwana salama, Yaani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena. Unahangaika...
64 Reactions
764 Replies
27K Views
Wakuu kwema. Nataka kushare kitu kinachoniumiza moyo lakini sina jinsi. Nimeoa ni zaidi ya miaka 8 sasa, tuna watoto watatu na tunaishi vizuri tu ndani ya ndoa yetu. Kitu kinanachonitatiza...
15 Reactions
46 Replies
2K Views
Habari za muda huu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujua changamoto za kuoa mwanamke ambaye ni daktari kabla sijachukua maamuzi, daktari nikimaanisha Medical Doctor (MD). Karibuni
9 Reactions
85 Replies
4K Views
"Akina mama wa Kidamba yaani Wandamba wa Malinyi Morogoro hii ni asili yenu au huyu mama mkwe wangu ana lake jambo. Iko hivi nimeoa kwa ndoa sasa mwaka wa pili ndani mke wangu tunaheshimiana sana...
25 Reactions
111 Replies
9K Views
Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life...
3 Reactions
21 Replies
765 Views
Back
Top Bottom