Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu, Wengi wetu hapa jukwaani tumepitia hii changamoto,unakuta umempenda dada wa watu sana,bahati nzuri amekukubalia Ulipoenda kwenye sita kwa sita unakuta size ya vikojoleo haiendani may...
7 Reactions
26 Replies
709 Views
1. Daima mama mtoto atakuona fala. Usidanganyike na ngozi ya kondoo aliyojivika kwa nje, ukweli ni kwamba kwenye akili yake anakutafsiri tofauti. Anakuona simp mmoja mjinga jinga. Hata hivyo...
53 Reactions
194 Replies
4K Views
Mwanaume, nikukumbushe tu, kiasili hatujaumbwa kuvumilia, yaani ile hisia ya uvumilivu tunakuwa hatuna kabisa, ndiyo tulivyoumbwa. Kama ukishaona mke wako anaanza kukufanyia dharau, iwe ni sababu...
2 Reactions
4 Replies
204 Views
Mko poa watu wa humu? Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa. Je analika au haliki?
9 Reactions
128 Replies
4K Views
BAADA YA KUCHAGUANA BADILISHANENI KUWA VILE MNAVYOTAKA KUWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Ushapata Baby Boy/ Girl unayependana naye. Mnaendana na kuendana kwa asilimia kubwa. Ni KWELI...
5 Reactions
5 Replies
171 Views
Vijana wengi wasio na wake wanapaswa kuwa na mafanikio zaidi kuliko walivyo sasa, Lakini kwa sababu wanatumia pesa nyingi kwa wanawake ambao sio wake zao, ndio maana hawafanikiwi. Bro unajua...
62 Reactions
541 Replies
12K Views
Kwenye mahusiano bwana waswahili wanasema kuna wakati rizki inafika mwisho Kuachana siku zote kunasababishwa na mmoja.kuna mmoja wenu anakuwa hataki tena mahusiano.ila kuachana ni maamuzi ya...
13 Reactions
34 Replies
799 Views
Kutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao. Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama...
35 Reactions
252 Replies
23K Views
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu muda wote anataka mapenzi, najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu? Mnakosa furaha au mapenzi...
9 Reactions
65 Replies
4K Views
Hali vipi wana JF! Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu : 👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei...
13 Reactions
122 Replies
5K Views
Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116] Naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja...
18 Reactions
147 Replies
4K Views
Niliachana na mke wangu mwaka jana baada ya kutofautiana mienendo. Japo hatukufunga ndoa ila nilimposa na kila kitu tulikamilisha tukaanza maisha. Baadae niliamua kutafta mwanamke mwingine tukawa...
28 Reactions
158 Replies
4K Views
Expectation kills , they kill us once when we wait for the same things we did for people. They kill us twice when we don't really get anything. Maisha yanaenda kasi sana, leo nmekumbuka tukio...
31 Reactions
167 Replies
12K Views
Unapokuwa mwanaume wa hisia hisia, ina maana ni rahisi kuumia, kupelekeshwa na chochote kilichopo mbele yako. Hata hisia za za kufanya maamuzi bora zinapokujia, zinakushinda na unajikuta una...
50 Reactions
268 Replies
7K Views
Hii inakuhusu zaidi wewe Mtanzania mwenye kipato cha chini ambae hauna uwezo wa kurudi gharama za matibabu ya nguvu za kiume. Nasema hivi kwa sababu matibabu ya ukweli na uhakika ya nguvu za...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Wala siijui formula ya aina ipi ya mwanamke wa kuoa hata huyu nilite naye siijui kesho yetu hivyo nachoweka hapa ni theory tu lakini waweza kupata kitu. Sikuoa rafiki yangu, nilikuwa na marafiki...
21 Reactions
80 Replies
2K Views
Habari wakuu, najua wengine humu tayari mmesha oa au ni wazazi tayari. Ningependa mtupe uzoefu wenu, kuwa uli jisikia vipi kwa Mara ya kwanza baada ya kugundua wewe ni mzazi mtarajiwa. Kuna kipi...
27 Reactions
340 Replies
10K Views
Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??. jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome...
20 Reactions
168 Replies
4K Views
Ewe. jobless jobless jobless nime kuita mara tatu, Leo usipo tumia akili zako basi usije kulia lia siku ya kesho. jobless hizi hisia za mapenzi unazo onyeshwa leo ni mtego tu ili mfuko na akiba...
15 Reactions
57 Replies
981 Views
Uzi huu ni kwa ajili ya kuwapa mbinu vijana wa chama Cha ma jobless pro max. Ili waweza kujua na kuelewa namna bora ya kuishi na kuwa salama, ndani ya jamii yenye mchanganyiko wa watu mbali...
16 Reactions
97 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…