Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Damn wazee nipo Dom Kondoa Kuna visu hakuna mfano. Nimeamu nifanye yafuatayo 1. Siondoki tena Kondoa. 2. Nimempigia baba mkwe kule Bariadi na nimemwambia wale Ng'ombe kumi 14 waliowataka Ili...
5 Reactions
24 Replies
944 Views
Kumekuwa na dhana mbalimbali nyingine potofu juu ya njia bora za uzazi. Wengine wanaogopa kutumia kondomu kwa sababu tu zinatumika na vijana wazinifu. Wengine wanaogopa kutumia vidonge eti...
4 Reactions
149 Replies
20K Views
Kama mada inavyojieleza Hivi ni nini hasa kinafanya wanawake kuwa wabinafsi kwenye suala zima la mali na mambo mengine kiuchumi? Mfano mpo kwenye ndoa mke akiwa tu na kipato kikubwa kumzidi mume...
10 Reactions
25 Replies
782 Views
Siku moja nikiwa natafta ID yangu nilikutana na pedi ya mke wangu iliyotumika imetunzwa kwenye hand beg chumbani, nilishkwa butwaa sana. Nilichofanya ni kuipiga kiberiti, hakuwahi niuliza...
11 Reactions
148 Replies
7K Views
Katika hisia za mapenzi na mvuto wa mahaba wanawake wana vitu vyao ambavyo ni nguzo kwa mvuto wao. 1.1 Sura (nzuri au mbovu) 2. Rangi. (Mtume au jehanamu) 3. Harufu (kunukia au kunukia) 4. Kifua...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Iko hivi, so far sijawahi kumuona mtu mwenye mtoto akiwa na furaha. Naona wana shida tu, kila siku njaa kali, dhuluma, hate, depression, hopelessness and mental issues. I will live my life...
21 Reactions
175 Replies
7K Views
Nilipita somewhere kwenye kijiwe cha kahawa mida ya jioni, nikakutana na waume za watu wanalaani vikali wake na ndoa zao, kiufupi wanajazana sumu. Nilijikuta mdomo wazi baada ya jibaba limoja...
6 Reactions
11 Replies
448 Views
Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara...
11 Reactions
83 Replies
2K Views
Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka Katika mizunguko...
14 Reactions
212 Replies
6K Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
66 Reactions
169 Replies
9K Views
Mapenzi yanakawaida ya ku expire, unaweza kumpenda mtu lakini kama tabia haivutii, moyoni anaanza kuyeyuka anakuwa hakushtui tena.
8 Reactions
31 Replies
761 Views
Vgezo: awe mshangazi na uwe kwenye menopause na uwe unapumua tu. NAMBA 0616257373
1 Reactions
4 Replies
166 Views
Wadada wasiopenda hela na wenye akili za maisha na maendeleo hebu jitokezeni tuwaone?
1 Reactions
24 Replies
645 Views
Basi ndugu zangu, tulikuwa na tukio la kutukutanisha watu wa Afrika kwa hapa nilipo. Tukakutana kupata muziki wa kiafirka na vyakula vya kiafrika. Tumekula Fufuu, Jolof, wali nk. Tukasikiliza...
1 Reactions
1 Replies
162 Views
Jack na Cathy walikuwa wamependana kwa muda mrefu, uhusiano wao ukiwa mfano wa urafiki na upendo. Walikutana chuoni, wakashirikiana ndoto na malengo ya pamoja. Walionekana kama wenzi...
1 Reactions
1 Replies
205 Views
habari za jioni wakuu, poleni na majukumu wale mnaosubiria mshahara hali ikoje? Ni weekend ingine tena hakikisha unampa mwanamke umpendae hela😂 hata kama hajakuomba we mpe tu.. Mtaanza ooh...
6 Reactions
35 Replies
534 Views
Uke wa mwanamke una kushoto na kulia, kushoto kuna kifuniko na kulia kuna kifuniko. Ndani ya kifuniko kuna kifuniko kingine upande wa kulia na upande wa kushot. Ndani tena zaidi ya uke kuna...
15 Reactions
57 Replies
5K Views
1.hakikisha una mmudu hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari...
22 Reactions
87 Replies
3K Views
Poleni na majumukumu. Mimi ni kijana wa miaka 29. Miaka kadhaa yuma nilipata nafasi ya kwenda kusoma nchi fulani. Huko nikakutana na binti mmoja tukaanzisha mahusiano. Binti huyu ni yeye ndiye...
30 Reactions
132 Replies
14K Views
😭😭😭 Mahabuba wangu kanenepa mno, mno, mno. Akiwa anavaa chumbani na akiinama, tumbo linaning'inia chini. Nimemkazania mazoezi ila wapiii, ndiyo kwanza mwili unazidi Naumia mno, naona sitendewi...
25 Reactions
63 Replies
2K Views
Back
Top Bottom