Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

kwamba mmekubaliana kwenda kufanya mapenzi kwa hiyari, makubaliano, mapenzi na ridhaa zenu wenyewe... ghafla mmeingia eneo la faragha tayari kwa game kunako 6kwa6, then ghafla unajawa huruma...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Jamani wana jamii, Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
18 Reactions
83 Replies
2K Views
Hii wiki mbaya kwangu Naandika hapa x wa mama mkwe wangu kaninyima chakula🥺 Tuachane na hayo Huyu X wangu Eliza mchaga wa rombo macho kama anakula kungu shingo mithili ya twiga wa nyalandu shape...
12 Reactions
45 Replies
2K Views
Asalaam Aleikum wadau wa hili jukwaa pendwa, Hopeful mko poa..Oyaaaa. Tuachane na wake za watu aysee. Hapa nilipopanga Kuna jamaa mpangaji mwenzangu ana mke, Mke wake yuko hivi[emoji106] kinoma...
18 Reactions
119 Replies
12K Views
Mwe Mughonileeeeee(Mtaelewa tu, mbona amapiano mnasikikiza). Jana bwana nimetulia pale maeneo ninayoishi ghafla nikapokea simu toka kwa mshaji wangu ambaye tunaiva ile kinazi akiniambia muda si...
29 Reactions
197 Replies
12K Views
Wanawake nawakaribisha mjibu hili swali il muwatoe wanaume wengi ambao wapo njia panda juu ya jambo hili. Maana kuna wanaume huwa wanajisfia kuwa wakizama chumvini huwa wanawapa raha je ni...
13 Reactions
746 Replies
81K Views
Ujue ukimtongoza Mwanamke halafu akishasema NDIO ama AMEKUBALI huwa ghafla unajiona huna cha kumwambia😀😀 yani maneno yote yanaisha kwa muda. Hii Anawaambia ya mwisho sirudii tena, Ukishamtongoza...
2 Reactions
11 Replies
312 Views
Bhana me niliachana na dada mmoja alikuwa mzinguaji sana yaani alizingua alikuwa amezoeana na masela zangu akaanza ushem shem si wakataka kummega akakubali nikamuacha. Sasa nkapata pisi moja hiyo...
1 Reactions
6 Replies
434 Views
  • Closed
Habari za wakati huu wote, Leo Ningependa kushare nanyi hili tukio ambalo lilinitokea, na sio zuri kuliendekeza kwa wale wanaofanya. Nimejikuta nakumbuka mojawapo ya DHARAU kubwa sana kuwahi...
34 Reactions
271 Replies
10K Views
INTRODUCTION:- Sina mengi, hebu soma hizi screenshots..!!! SCENARIOS:- PISI YA KWANZA. School mate wa Advance PCB, Nilipost picha Insta nipo nanenane na wateja (waliohudhuria banda letu la...
42 Reactions
110 Replies
4K Views
Vipi wakuu Kuna huyo sister ni jirani yetu Sasa katika kupiga story amegusia hilo swala kuwa yeye anapenda sana kuangalia pornography. Hapa najiuliza kwasababu Gani aniambie Mimi Kuna mawazo...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Sometime mpunguze mazoea na watu ambao hawajawazoea na ambaye huna utani naye,,,,, tu***k them all.. Leo nipo zangu narefresh mind kutokana na kuyashangaza macho maajabu ya Mungu mtaani ghafla...
10 Reactions
28 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Leo nimetafakari sana juu ya maisha yangu na michepuko. Nimekuwa na tabia ya kuchepuka kwa muda mrefu sana na hatimaye nimefika tamati ya huu ujinga Nimegundua hakuna faida...
18 Reactions
35 Replies
1K Views
Haya siyo maneno yangu bali ni maneno ya Mwanasaikolojia mmoja ambaye huwepo sana katika Kipindi huko Channel Ten ambapo huwa anazungumza na kuchambua Mambo mbalimbali ya Kisiasa, Kiuchumi...
5 Reactions
14 Replies
507 Views
Wakuu niliwaambia kuwa nasafiri lakini mpenzi wangu aligoma kuja nami na ukawa mwisho wa mapenzi yetu kwa kuwa mbali na kuwa alikuwa hataki kuja ughaibuni, pia alikuwa anaona nitatafuta mtu wa...
5 Reactions
16 Replies
572 Views
Salamu WanaJF! Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolewa Anatembea na nusu wa moyo wangu, kusema ukweli siwezi kuvumilia kuchukuliwa na mwanaume mwingine na kuanza kupigwa...
10 Reactions
94 Replies
1K Views
Nimekua na mahusiano miaka mitatu na nilie nae hajawai niomba hata mia na hataki lakini yeye za kwake anataka kuwa ananipa .eti wana jf hapo mnanambiaje
2 Reactions
7 Replies
345 Views
Ngoja niwasanue! Imekuwa kawaida kusikia wake zetu wakisifia chips za baa eti ni tamu kuliko wanazoweza kupika majumbani kwao. Basi sasa mjue sio chips tu, hata chakula cha hotelini huwa ni...
4 Reactions
12 Replies
386 Views
Salute Wakuu; Poleni na huyu mdudu #coronavirus.Hili nalo litapita tu.Let's be optimistic and hope for the best. Sisi wanaume wa huku bara bara sana huwa tunasikia sifa za hawa wanawake wa ukanda...
17 Reactions
81 Replies
13K Views
Sina mengi sana ile wenye wapenzi vibonge tunapata hio kero ya kujirudia miongoni mwa vibonge ambao ni wapenzi wetu. Vibonge ukiona mwanaume hakutafuti mara kwa mara jiulize kama sio shoo mbovu...
14 Reactions
37 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…