Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni...
18 Reactions
252 Replies
12K Views
Yule demu Jana nimemmind Sana na yeye anajua aisee! How come demu aingie ghetto halafu ukashindwa kumla? Au alikuwa ananiigizia kwamba nisimuone Malaya? Anyway na nimemblock sasa Kuna manzi Jana...
3 Reactions
15 Replies
691 Views
Wahenga wanasema ukitaka kupata urahisi wa kufanya jambo lako washirikishe wazee, ukubwa dawa. Wiki iliyopita nilikuwa na wazee wetu kijijini, tulikutakana kwenye ndoa ya kijana mwezetu kutoka...
35 Reactions
77 Replies
10K Views
Nahisi mu buheri wa afya wapendwa, Ni binti wa kazi wa ndani wa ma mdogo wa kufikia ambaye yeye na huyu mama wana historia ya kutoka kijiji kimoja tena majirani huko nyumbani kwao kijijini...
8 Reactions
44 Replies
5K Views
Wanawake wana mambo ya ajabu sana yaani ni Ngumu mwanaume kumtafuta mwanamke aliyedate nae utotoni au aliyemtoa uschana wake yaani wanaume hua tukiamia kambi mpya hakunaga kutafuta wanawake...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
Possibility ya mwanamke mzuri kuliwa ipo juu kulinganisha na mwanamke wa kawaida au mbovu ni jambo ambalo liko wazi kabisa jaribu kufikiria mwanamke ambaye akipita sehemu kila mmoja anapiga salute...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Nimekumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikuwa nafanya kazi kwenye kiwanda fulani maeneo ya A-town. Mida ya 'lunch break' tumekaa nje ya kiwanda tunapunga upepo na kupiga stori mabalimbali, mara...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
kuna kaka yangu amepata mwanake kutoka kigoma yaani muha,anataka kumuowa je wanawake wa kiha wanatamaduni zipi na tabia zipi? tusaidieni wana JF
2 Reactions
84 Replies
38K Views
Jana katika pitapita zangu mitaani ,nikakutana na pisi moja ya 2000, nikatia neno ,nikakubaliwa, ila nikapewa masharti ya vitu vya kuandaa siku ya kuonana ,namaanisha fedha. Katika kutajiwa...
17 Reactions
112 Replies
6K Views
Nawasalim kwa jina la jmt... Nilileta thread hapa kuomba ushauri kuhusiana na mama mwenye wangu kunipa wakati mgumu sasa hali naona ndo inazidi kuwa mbaya yani kama moto ndo kama umemwagia petrol...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh. Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa...
24 Reactions
112 Replies
3K Views
HII NDIO KANUNI BORA YA KIJASUSI YA KUISHI NA MNAFIKI YOYOTE DUNIANI 😊 Kijasusi jitahidi uwafahamu watu kabla ya wao kukufahamu, na hapo ndipo utagundua WANAFIKI NA WASIO WANAFIKI. DALILI ZA...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini? 1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini...
25 Reactions
569 Replies
150K Views
Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha. Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na...
29 Reactions
144 Replies
5K Views
Sianzi na salamu kwasababu hata nikiwasalimia hamuitikii anyway let's go stright to our topic. Unajua vijana wa siku hizi na baadhi ya watu wamekuwa wajinga sana ila wao wenyewe wanajiona wajanja...
23 Reactions
190 Replies
6K Views
MWANAUME SOMA HAPA KWANZA 1. Starehe ya dakika 3 isikuharibie mfumo wa maisha yako mazima acha kufanya mapenzi bila kondomu n watu hamjapima bado acha kunyonya uchi acha kuwagonga wake za...
8 Reactions
4 Replies
778 Views
Halafu awe ✓Tall🥰 ✓Mwembamba kiasi🥰 Nyiee acheniii 🤗 Sitamani Jumanne ifike🤸 BTW: Kama hakutokuwa na mabadiliko tarehe ya ndoa ni 13 July 2024. I can't wait for shoooo😁😁 Play song for us Mr...
16 Reactions
138 Replies
4K Views
Wakuu bila kupoteza mda naomben maoni yenu hela za muhun haziliwi bure *****.
9 Reactions
42 Replies
1K Views
Hellow Ipo hivi hii hali ninayo toka nikiwa mdogo lakini haikuwa inajionyesha sana kama ilivyo kwa sasa hivi naweza nikawa nimekaa hivi nikapandwa na hasira gafla na kilichonifanya nipandwe na...
10 Reactions
96 Replies
2K Views
Sensa 2022: Ndoa Zimeongezeka Kiduchu, Talaka, Kutengana Juu 💍Wanandoa- 51.4% 💃Hawajawahi kuoa au kuolewa- 32.9% 🛖Wanaishi Pamoja - 5.5% 😢Wajane na Wagane- 4.7% 💔Waliotalakiana- 3.7%...
2 Reactions
1 Replies
339 Views
Back
Top Bottom