Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hakikisha sana unaoa Mwanamke mcha Mungu. Mwanamke ambaye ataibarikisha familia yako. Atakuombea na kusali pamoja Atawafanya watoto wako wakue wenye Hekima na Maadili..yaan mtoto anakua anajua...
32 Reactions
87 Replies
8K Views
Wadau uzi una pichaaa. Kumbe nilikuwa nateseka kupata mbususu za bure, ila kuishi na watu vizuri nimepata knowledge mbadala mdau alisema niende sehemu wanapouza minazi, balimi, mbege, ulanzi au...
20 Reactions
152 Replies
11K Views
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi. Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am...
11 Reactions
766 Replies
46K Views
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita. Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini...
7 Reactions
124 Replies
16K Views
Sijui ni shida au hali ya kawaida; 1. Sipendi kabisa sherehe zinazonihusu, ila za wenzangu nachangia ila nadra sana kuhudhuria eg, gratuations, harusi, etc,kifupi sipendi attention. 2. Sipendi...
3 Reactions
21 Replies
473 Views
Kwakweli hii kitu imekuwa kawaida kabisa kwa sasa. Wadada wetu tena wengine kwa kupenda wenyewe kabisa wanaruhusu kufanyiwa mchezo huu. Najiuliza tatizo ni nini hasa? Ni mfumo wa maisha...
12 Reactions
302 Replies
50K Views
Baada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (Mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu...
26 Reactions
169 Replies
5K Views
Iko sawa kweli mwanaume kumtumia mwanaume mwenzio emoji za kufall Love kama si unaniliu huu?
1 Reactions
104 Replies
8K Views
Habari zenu wanawake wenzangu wa MMU. Karibuni tujadili changamoto zinazotupata kipindi ambacho wapenzi wetu wawapo mbali, kikazi au kwa shughuli yoyote ile inayowafanya msionane kwa mda mrefu...
18 Reactions
212 Replies
38K Views
Habari za muda huu wana jamvi Naandika uzi huu nikiwa kwenye daladala nikirejea nyumbani kutoka kwenye "mihangaiko" ya Kila siku Ndani ya daladala nmekaa karibu na wakina mama wawili...
31 Reactions
96 Replies
4K Views
Natanguliza salamu, Kumekua na mitazamo tofauti tofauti katika suala la mwanaume kuoa. Nimeleta kwenu nikiwa nataka kujua upi ni mtazamo sahihi na unaoendana na dunia ilivyo kwa sasa.. Nawasilisha.
4 Reactions
48 Replies
1K Views
Hey guys hope mko poaaa Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake. Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile...
22 Reactions
85 Replies
3K Views
Hakuna muda wa kuremba maneno Mwanamke yuko tayari kuishi na mwanaume hata asiyempenda ili tu atimize hitaji lake. Ukikamuliwa sana pesa hupendwi. Jamaa mmoja alikuwa kila akipata shekeli...
2 Reactions
11 Replies
483 Views
Kama wewe sio mtu wa pande hizo, acha kabisa mawazo ya kuoa huko: Kwa kina Mura - Wakurya na wenzao Wajaluo (huko kuna ubabe, vurugu, na utemi mwingi kwa pande zote, wanaume na wanawake, ndiyo...
12 Reactions
113 Replies
2K Views
Wakuu siandiki thread hii Kwa lengo la kukashifu au kutweza mtu au kabila la mtu. Iko hivi Miaka 10 au zaidi kidogo iliyopita nilijikuta kwenye huba zito na binti mmoja pale Arusha mjini. Bint...
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Hello, Utakuta uko na mdada kwenye environmental setting moja, mnaanza kuzoeana, mdada atakachofanya ni kuwa ata-flirt na wewe, ataweka idea of sex mbele yako, mwanaume ukijaa, mizinga inaanza...
49 Reactions
133 Replies
5K Views
Ndoa ni tamu,ndoa ni paradiso,ndoa ni utajiri,wanaosema ndoa ni ujambazi hawajui codes za ndoa. Baba yangu alipenda kuniambia "ignorance is the biggest enemy in your life" mchawi wa mafanikio...
29 Reactions
110 Replies
5K Views
Huwa nawaza mpaka sasa hili jambo Adam alikuwa na Eva wakatupa Kaini na Abeli Sasa nawaza Kaini alimwoa nani?
2 Reactions
10 Replies
272 Views
Kuna maisha unapitia unaona shetan mbona akuachi hasa ukiangaalia mapambano magumh ya maisha Miezi kadhaa niliwahi lala mwenyewe kama miezi 4 mke alilala na watoto akahamia kwa chumba cha wageni...
3 Reactions
37 Replies
807 Views
Au ni kwa vile hakupendi ndio sasa anakuwa tapeli? Unamjuaje tapeli kwa mfano, ili kuepuka utapeli kwenye mapenzi ya watu wazima wenye akili timamu.
0 Reactions
7 Replies
399 Views
Back
Top Bottom