Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jana nikiwa nimetoka mishemishe na uchovu wangu,nikajimwagia maji ya baridi na kujipumzisha.Usingizi mzito ukanichukua,nimekuja kushtuka mtu anagonga mlango.Kufungua mlango nakutana uso kwa uso na...
4 Reactions
61 Replies
6K Views
Habarini za asubuhi, mke wangu ana uzito wa kilo 101, tumekaa katika mahusiano takribani miaka saba, (7) sijui wenzangu wenye wake wenye uzito mkubwa mnapitia experience nayopata au ni wa kwangu...
28 Reactions
231 Replies
26K Views
Personally nadhani ndoa ziko overated siku hizi na siamini eti ndoa inakuepusha na mambo mengi. Wanawake sasa hivi wengi wameamka na nadhani it's better to be careful kabla hujaingizwa kwenye...
3 Reactions
629 Replies
63K Views
kama ilivyo ainisha hapo juu, kwani wanawake wengi mmekuwa mkilalamika mnakosa wanaume wa kuwaoa, yawezekana sababu ni kuwa haujawa na sifa za kuwa mke lakini unasifa za kuwa refreshment tool...
5 Reactions
39 Replies
7K Views
Mwaka 1995 nilikuwa bado naamini sana katika haya mambo ya uchawi na ushirikina. Wakati huo nilikuwa na mke na watoto wanne. Huyu mtoto mmoja, yaani huyu wa kwanza alikuwa ni mtoto wangu...
8 Reactions
52 Replies
5K Views
Habari wana JF Mimi nipo KILIMANJARO kikazi kwa mda wa miezi 6 nakaa Moshi town maeneo ya Soweto sasa wadau kilichonileta hapa ni hiki: Nina msichana wangu hivi anasoma chuo cha UALIMU GREEN...
6 Reactions
148 Replies
13K Views
Habarini wanajamvi! Najua wengi kichwa cha habari kitawashtua maana mara nyingi au imekuwa mazoea kusikia wanawake tu ndio huwaendea waume zao kwa waganga kwa sababu mbalimbali wanazojua wao...
4 Reactions
28 Replies
6K Views
Heri ya mwaka wandugu. Ukweli nimeona nije na hii ID kabisa tu maana uchungu nilionao moyoni nahisi kufikia point ya kuhitaji msaada. Nilikuja na ID hii mamii90 kuomba ushauri tu. Naomba...
48 Reactions
470 Replies
43K Views
Habarini ndugu zangu. Hivi karibuni nimepata wakati mgumu sana baada ya kupata rafiki (mwanaume mwenzangu) ambae aliniomba nimsaidie jambo flani na urafiki ukaanzia hapo. Huyu jamaa alianza...
0 Reactions
67 Replies
5K Views
Utafiti usio rasmi ambao umefanywa na taasisi moja ya utafiti wa mahusiano na usaliti umeonyesha kua wake za watu wengi beki hazikabi. Utafiti huo ambao umefanyika kwa usiri mkubwa, watahiniwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Maharusi wakiwa katika mavazi nadhifu ambayo huuzwa kwa gharama kubwa. Haya ni miongoni mwa mambo yanayoelezwa kuwa tishio kwa vijana wengine kuoa au kuolewa.Picha zote mtandao. Vijana ambao...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Mimi binafsi nilianza kufanya mapenzi mwaka 2014, japo mwaka 2012 nilipata demu mmoja alinipenda sana na alikuwa bikira nikashindwa kumla kwa sababu nilikuwa sijui namna ya kuondoa bikira. Binafsi...
2 Reactions
149 Replies
20K Views
Jambo hili limeniumiza moyo sana.miaka ya nyuma waliokuwa wakisemwa sana kwa michezo hii ya matumizi kinyume na Maumbile walikuwa ni Zanzibar, Tanga na Mombasa. Siku hizi na mikoa mingine...
6 Reactions
132 Replies
23K Views
Inakuwaje 'Houseboi' hata akiwa 'anakukanyagia' Mkeo bado atakuwa 'Msiri' Kwako mwenye Mke na tena kazi ataendelea Kuzifanya ila kwa 'Hausigeli' akishaanza tu 'Kutinduliwa' na Mume hawawezi...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za leo wananchi wenzangu wanyonge. Poleni na msiba wa kiongozi wetu sisi wanyonge. Ndugu zangu, naombeni ushauri wenu wa mawazo. Leo nilikuwa nimekaa na wife tunacheck tv, ikaingia...
12 Reactions
137 Replies
13K Views
Mimi nafanya kazi ngumu ila kipato chake kwa siku ni Kama shilingi 4000 TU.kuna mahitaji yangu mwenyewe yamenishinda Leo hii unaniambia niwe na mwanamke nimhudumie saloon nimpe hela nitapatia...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
DADA YANGU KABLA HUJAANZISHA MAHUSIANO NA MWANAUME HUU NDIO MGAWANYO WA WANAUME KULINGANA UMRI WAO 1. WANAUME wenye miaka 20-27 wengi hawako serious na ndoa au mahusiano yenye kesho labda wale wa...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Habar wanajukwaa, Mimi ni baba wa mke mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa...
5 Reactions
73 Replies
9K Views
Kwa kipindi cha mwaka mmoja nimefuatilia maada nyingi humu ndani hakika wanawake wamezidi kufanya ngono ndani ya mahusiano. Yaani kuna matukio yanajitokeza mpaka unashindwa kuelewa kama wana moyo...
1 Reactions
88 Replies
10K Views
Inashangaza sana ukikutana nao huku kitaa utasikia "MI NINA MTU WANGU" lakini wakiingia mitandaoni wanalalamika hawapati wanaume na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuwalaumu wanaume wanaoishi na...
8 Reactions
98 Replies
6K Views
Back
Top Bottom