Habari wakuu,
Jaman nina mpenzi wangu ananizidi miaka 8 mimi nina20 yeye ana 28, lakini kiukweli tunapendana sana,tatizo lipo mtaani kwetu wanatudis sana na kutufanya tukose amani.Wakuu kwani...
Leo naingia ofisini nimemkuta kijana wangu mmoja ana manung'uniko sana na nilitegemea awe na furaha sababu alitujulisha anaenda kuchumbia. Kummuliza shida nini akasema story ile ile inayotaka...
Pichani ni Samuel Eto'o akiwa na mkewe unaambiwa kabla Eto'o hajawa star mke wake alikua dada wa salun huko Ufaransa na alikua akimpa pesa ya kujikimu mpenzi wake Eto'o wakati Eto'o akienda kwenye...
Habari zenu wanajamvi,
Natumaini kuwa mko poa sana na mnaendelea vizuri na kazi zenu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kiukweli nimeingia kwenye mapenzi na wasichana wawili, kiukweli...
Wanaume kweli tume amka japo bado wapuuzi wachache.
Nikiwa mtandaoni nakutana na post hiyo hiyo hapo kwenye picha chini.
Nikakutana na koment ya kiume ikisema
"Ongezea pointi moja na huyo...
Ni warefu weupe wanashepu nzuri na sura za kuvutia hawakusoma sana ila wanapenda kufanya kazi zaidi ya kaka zao wa kizazi cha sasa wanapenda ngono na ukipendana nae siku ya majaribio ya mechi ya...
Sasa yupo kitengo fulani, namtafuta kun jambo anifanyie liende kwa wepesi ila naona kanikaushia hapokei simu, text hajibu, sasa ni bora ani block tu kabisa nijui hataki kuongea na mimi na si...
Wakuu, hili sakata la kuwasomesha wachumba naona linafukuta kwa sasa.
Ninaamini tuko wengi tuliowahi kuwasomesha wachumba/girl friend na bado hatujawaoa sisi.
Tukutane hapa!!
Nitaanza na mimi...
Miaka ya 90 nilimpenda binti mmoja alinisumbua sana enzi hizo basi nakaona nimwendee kwa sheik wangu kunipa dawa ya kumvuta kuwa wangu bwana.
Nikaandikiwa makorokocho na dawa ya kupaka sehemu za...
Kuna jamaa mmoja hapa mtaani kwetu huwa anapenda sana wake za watu na hii tabia amekuwa nayo kwa muda mrefu sana,washikaji tukimshauri anatuona maboya.
Sasa kama waswahili wasemavyo kuwa za mwizi...
Habari zenu wakuu!!
Niende straight kwenye mada husika ..unakutana njiani na ex wako unaona siyo ustarabu kumkaushia unaamua kumsalimia lakini cha kushangaza anakuchunia..wengine inafikia Hadi...
Habari wanaJF
Kitu nilichojifunza kwa sasa kama hauna moyo wa kutoa na hauna uwezo wa kutoa ni bora ukae single kuliko kuumizwa kichwa na hawa wafanyabiashara wa sasa.
Yani kila unapogusa iwe ni...
Unapoamua kuzaa na mwanamke, basi inatakiwa uwe tayari kwa majukumu ya kumlea mtoto ambae Mungu amewa jaalia kumpata.
Ukweli ni kwamba suala la malezi sio suala la kitoto, linahitaji sacrifice ya...
Nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke kutoka Kigoma tangu 2020, tulikutana chuo, na penzi likakolea haswaa!
Kipindi cha Covid penzi lilinoga zaidi kwani "Working from home" ilifanya muda wote...
Wapenzi salama mlipo?
Basi bwana....
Mwanamke unapokuwa umetangulia kitandani umemuacha mumeo sebuleni yuko anaendelea kuangalia TV au yuko na laptop au simu kwa madai kwamba utangulie...
Ndugu zangu salam sana naomba sana soma polepole huku unatafakari na kulinganisha na uhalisia ili uelewe ninacho kimaanisha hapa
Siwakatazi mfanye kazi maana sina chakula cha kuwapa wala hela za...
Kwema Wakuu!
Wasije wakakuloga ukawa mtumwa wao.
Wasije wakakudanganya kuwa usipowapa pesa ati hautawapata. Ni uongo.
Ni kosa kubwa wanalofanya vijana wengi kutoa wasipopewa. Kupanda...
Kwa mwanaume kufanya mapenzi ni muhimu. Kiasi kwamba mwanaume atatumia njia yoyote ili apate wa kufanya naye. Njia mojawapo ni kumdanganya mwanamke. Kumdanganya kazi, umri, mipango au chochote...