Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Unamkuta mwanamke amekaa vibaya na kwa kuwa jicho halina pasia basi unaona mpaka shinyanga na hata mwadui panaweza kuonekana,sasa huwa sielewi hii ni bahati mbaya tu ama wanafanya makusudi?Mana...
0 Reactions
33 Replies
9K Views
Je ni kipi bora na kwanini? Au hakuna kilicho bora na kwanini? Mumeo/mpenzi wako ajichue Au Akusaliti na mwanamke mwingine?
6 Reactions
104 Replies
8K Views
Story ninayokupa ni yaukweli kabisa ambayo amenisimulia huyu dada ambae nilitambulishwa kwake weekend hii. Huyu dada anafanya kazi kampuni fulani hapa Arusha anamiaka 26,sasa hapo kazini...
0 Reactions
84 Replies
6K Views
Kwa kweli ni aibu sana pia tunajishushia heshima sana. Na kuna wengine tunayafanya haya na kila siku za ibada tunaenda kanisani na misikitini. Tutambue kwamba vimada awana hasara yoyote...
5 Reactions
103 Replies
9K Views
napenda kuwajulisha wanaume wenzangu mkiitwa baby msijione special na kuona mnapendwa sana apa mjini wanaume wote wanaitwa baby. mimi binafsi sipend kuitwa ilo jina la baby asa baada ya kuona mtu...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Love rivals sign contract to share one woman Mr Steven Mwendwa, one of the two husbands who have agreed to marry one woman and undertake the conjugal rights on different occasions in this...
0 Reactions
71 Replies
9K Views
Nimerudi tena wadau najaribu kutafuta ubavu kuishi naye sasa mnaona yupi anaweza kuwa mzuri kati ya hawa Kanisani/Msikitini Kitaa/Uswazi Vyuoni Kazini Night club Safarini Mitandao ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hii habari si ya kujenga taifa so Anti Lara 1 bora mkaishia hapo kusoma! Dont say i didnt warn you!!!!!! CAVEAT EMPTOR...
11 Reactions
63 Replies
5K Views
Ninaiwasilisha kama ilivyo
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nmefkiria sana nmekosa jibu na namuonea sana huruma huyu jamaa..... Leo mida ya mchana nikawa nmetoka kazn nikapitia dukan kwa jamaa yang yeye anaasili ya kiarabu bas baada ya kununua mahtaji yang...
0 Reactions
87 Replies
10K Views
matibabu ya upungufu wa nguvu za mapenzi kwa vyakula viatavyo. 1.sweet BASIL -inaimarisha uzazi kwa wanawake -inachochea uwezo wa kusex 2.MAYAI -vitamin B5 na B6,zinaondoa stress(stress...
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Wakuu, Bila kujali nina sababu ya msingi au sina, kama kuoa ingekuwa inafanyika kama biashara ya kuuziana mbuzi kwenye gunia (kwa sababu unachoweza kushtukia ni kwamba kuna kitu ndani ya gunia...
13 Reactions
155 Replies
12K Views
Waandaaji wa kipindi cha bibi bomba @ clouds tv je kinazingatia maadili ya kitanzania kwa maswali wanaoulizwa hawa kina bibi, vilevi, maneno ya kihuni na dansi tunazozishudia?
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Bibi yangu aliwahi kunambia kwamba kuzaliwa mwanamke ni gharama sana, awali sikumwelewe. Lakini hivi sasa nimemwelewa na ninakiri kwamba alikuwa sahihi kwa asilimia 100. Hebu fikiria kuhusu...
15 Reactions
114 Replies
12K Views
Wandugu ni muda muafaka wa kuachana na mambo ya kukimbizana na polisi,kila mtu afuge tembo wake ili matumizi ya tembo hao aamue mwenyewe.Natafuta mbegu nzuri ya tembo wasiokula sana lakini kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama ingekuwa hakuna huku kunakoitwa kuoana ,unafikiria dunia ingekuwaje,je ni unyama au vipi? Data sijui zinasemaje ,watanzania wengi hupatikana nje ya ndoa,au tuseme wanawake wengi hapaTanzania...
0 Reactions
5 Replies
972 Views
nina mpenz wang ambaye tumedum kwa mda wa miez minne.yeye anafanya kaz huk anasoma.mim nshamalza shule.tulikubaliana kwamba tudo mwakan na kabla ya kuanza kudo aende nyumban na taratibu chache...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu , nadhani kuwa kila mtu anajua kuwa kuna opresheni safisha wahamiaji harafu sasa basi mm ndo hivo dem wangu ndo kashaondoka ila nnacho miss zaidi kwake ni shughuli yani viuno...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natumaini mu wazima wana MMU wenzangu.! story iko hivi mimi nina rafiki nyangu kipenzi sana yapata miaka sita sasa tupo marafiki Rafiki yangu huyo mnamo mwaka jana alitokea kumpenda binti mmoja...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Back
Top Bottom