Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini bandugu Hakuna mwanadamu ambaye afanyi UCHAGUZI katika maisha yake ya kila siku wala hakuna mtu ambaye anayeweza kuchagua kile ambacho hakipendi? Hivyo maisha ya watu wengi yamejaa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!! Ujue sisi wadada wengi haswaa wale smart kichwani, decent kidogo na ukfuta ujinga kidogo unakuwa na standard zako za ukwee, na una kuwa na idle...
26 Reactions
163 Replies
15K Views
Nimeingia mgogoro na demu wangu baada ya leo kukata mzizi wa fitina na kuniambia hakuwa na furaha na mimi pamoja na ukweli kwamba yeye ananipenda sana. Ameniambia makosa ama mambo ambayo yalikuwa...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Leo ni jumapili karibu asilimia kubwa ya walioko kwenye mahusiano yoyote watakutana leo Hebu kwa wale mnaokutana leo jaribuni kujiuliza hili: Hivi mapenzi tu ndo ynatosha kutufanya mimi na wewe...
8 Reactions
74 Replies
7K Views
Inasemekana Mwanamke anapofikia umri wa miaka 25 huanza kujiuliza kuhusu kuolewa, lakini pia huanza kujiuliza kuhusu watoto. Kama hajaolewa, hana mchumba au anahisi kutokupata mtu anayeamini...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf? natumaini mu wazima wa afya njema. hili ni swali linalonitatiza kila siku ni sababu zipi zinazopelekea mwanaume kugeuka na kumwangalia tena mwanamke mara tu wanapopishana...
0 Reactions
91 Replies
13K Views
kumbe baba nanihiiiiii ndo uko hivyo.......? ni swali toka kwa mke akimuuliza mumewe baada ya kufumwa akimchungulia mpangaji wake chooni, na mbaya zaidi kafumnwa na mwenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
''MWANAMKE KICHECHE KAMEZA SIMU ILI BOYFRIEND WAKE ASISOME MESEJI ILIOINGIA GHAFLA!' Mwanamke wa miaka (19) kutoka Brazil anayeitwa Adriana Andrade alikuwa so desperate kumficha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
heloooo habari za mihangaiko wajameni,leo nataka tu tuwekane sawa kuhusu jambo moja ambalo limekua likiyumbisha mahusiano ya watu wengi na wakati mwingine kupelekea usaliti ama kuvunjika kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna watu humu jukwaani wamekuwa wakiwaponda sana watu wafupi kutoka na ufupi wao, sasa kama wewe unaona ni mrefu haya tuambie una urefu wa kimo gani? mimi binafsi najua watu warefu wapo wachache...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
imekuwa ni habr ya town now kila mweny boyfriend ambaye anaishi peke yake yupo na girlfriend (anaanza kuishi nsye). Sasa mimi nashindwa kuelewa inakuwaje. Mimi sijui ni ushamba, hii style ya...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Nimekaa kwenye mahusiano seven years mara tuachane mara turudiane dah mpak inaboa hata sitamani tena kuolewa naye
3 Reactions
50 Replies
7K Views
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu hatujambo sote. Jamani me nina tatizo moja naomba mchango wenu. Niliolewa na mume wangu halali kabisa wa ndoa. Mwanzoni tulipendana sana, lakn gafla mwenzangu...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Hivi kupekua simu ya mpeni wako ni ndio kuonyesha kua unampenda sana au ni ushamba
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Kama ww n kijana wa kiume miaka yako n kuanzia 27 na kuendelea na unataka uwe kwenye ndoa yenye utulivu na aman na yenye upendo tafuta mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 30 na kuendelea. Kwanza...
9 Reactions
78 Replies
9K Views
Mambo vp wa MMU... hop mko poa sana bna. Hoja mbele yenu nikutaka kufahamu toka kwa wote wenye uzoefu au walio pitia haya kama mimi. Ni muda sasa wa pata miaka 3,tangu niwe nagegeda manzi...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Hivi unapomtongoza msichana,halafu akakuambia atakufikiria..huwa wanaenda kufikiria kweli au huwa wana maana gani?naomba kuelimishwa juu ya hilo,maana chemistry ya hawa viumbe ni ngumu sana kuielewa.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
1. Play a sport. It will teach you how to win honorably, lose gracefully, respect authority, work with others, manage your time and stay out of trouble. And maybe even throw or catch. 2. You...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
1. Vision Marry someone that believes strongly in your vision.The person doesn't need to do same profession like you. However the person MUST have kin interest in your vision. It will inspire...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Dah sjui hii link itatokea maana natumia simu..But it is an interesting read. We met online, and now we are happily married - Sound Living - thecitizen.co.tz - We met online, and now we are...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom