Super sunday
imewahi kutokea umetongoza bint kisha aka kwambia "sorry i see you as a friend and i dont want to ruin our friendship"
wengine inaweza kuwa tayar wengine maybe bado
kama...
Baada ya mimi na mpenzi wangu kuanza kupanga mipango ya kuoana imetokea kauli kutoka kwake ambayo imenitisha na kuanza kufikiria huenda demu wangu ana matatizo makubwa japo sielewi lolote kiasi...
Wakuu tafadhali naomba ushauri wenu, kuna mdada nlikuwa na mahusiano lakini tukaachana miaka saba iliopita baada ya kugundua kuna njemba nyingine inashiriki( ndio anaishi naye sasa hivi). kipindi...
I Salute all MMU members,
Hope ur all good katika shuhuli za kutafuta shekeli, wagonjwa poleni na get well soon.
he time has come for sakapal to say good bye to the people who have been my fans...
Ee bwana mie Karucee mie, yananikutaga mengi under the sun kwa kweli. I wonder if it is the same for everyone else. sigh!! Juzi bwana nakatiza mitaa ya Kkoo jioni sana kwenye saa moja. Katika...
mpenzi wangu ameamua kuja kwangu ninapofanyia kazi baada ya kumaliza masomo yake.
TUMEPANGA KUOANA NA NINAMHESHIMU SANA.
lakini kutokana na udhaifu wa kibinadamu nilishindwa kuvumilia ugwadu...
kila mtu anapenda kuwa na mahusiano stable!
kuna mambo huwa yananishangaza naombeni mnisaidie ipi njia sahihi?
assume una mpenzi wako ..au mume/mke...ikatokea akawa na mtu mwingine...kuna watu...
Kuna mabo ambayo hayafikiriki kabisa na mengine ukiambiwa ni vigumu kua mini lakini yapo
Huyo hapo mwanamke mla nyama za watu!!!!!!!!
Sijui ana matatizo ya akili au ni uchawi mhhhhhhh...
Ukimtokea binti akikupa jibu moja wapo kati ya hayo 9 niliyo orodhesha chini tambua kwama binti ajakukubali, akili kimkichwa.
1. Nakuchukulia wewe kama kaka yangu
2. Umri wetu umepishana kidogo...
Habari zenu wana MMU, yaani leo nimeamka na huo wimbo kila nikitaka kuuacha najikuta nauimba tuu, basi nimeona niwashirikishe tuimbe wote.
Ila licha ya kuwashirikisha huu wimbo tuimbe wote...
finali za kombe la dunia 2006 nchini Ujerumani zilikuwa za aina yake.
Nusu fainali kati ya Italia na Ujerumani ilikuwa shubiri kwangu baada ya demu niliyemuvusha geto kunikatalia kugegeda baada...
Inaaminika kuwa mwanamke hujenga imani zaidi kwa mtu ampaye kumbatio. Haya ni matokeo baada ya tafiti zilizofanywa na wataalamu wa mambo ya mahusiano na tabia huko ng'ambo.
Inasemekana kuwa...
NIna mke lakini nina miezi kadhaa sijatakuna naye kimwili,kisa ni majukumu ya kimaisha,mke wngu ni fundi nguo,mm ni shopkeeper ni mara chache nalala nyumbani,lakini mke wamgu hua amechoka,kumbuka...
HII imekaaje mtu una mpenzi wako na ukaoa mwingine ama ukaolewa na mwingine kwa nini uwe unamwita ex wako kwako kuja kukutembelea,JE MUME AMA MKE WAKO AKIJUA?tuacheni kuharibu ndoa pasipo sababu...
Najitolea kufundisha jinsi ya kuwatenda wenzi wetu. Je uliwahi kutendwa..... usilie nifuate nikufunze jinsi ya kumfanya ajione -----...
CV zangu ni hizi:
K.O ( niliowatenda live ).... 6
T.K.O (...
Wanajamvi mara nyingi nimekuwa nikotongoza wasichana...nimegundua kuwa msichana anayenikubalia ni yule anayeanza kwa kuonyesha chuki yake kwa wanaume....swali langu hivi ni kweli kila mtu katendwa...
KWA MUDA SASA,hapa JF na nje ya JF nimebaini,usaliti upo kila mahali,kila kukicha,kwa wapenzi,marafiki na wanandoa.
HALI NI MBAYA ZAIDI KULIKO NILIVYOFIKIRI KABLA.nimebaini pia kuwa wapenzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.