Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Zamani ilikuwaga ukimwagana na demu unayetoka naye ambaye pia ni rafiki yako facebook, kwanza ana futa namba yako, halafu pili ana ku unfriend au kuku block facebook. Siku...
1 Reactions
93 Replies
11K Views
-mahari - je inaruhusiwa kufanya mapenzi kabla ya ndoa -vipi wakati wakujifungua -vyakula - kuwapa watoto majina na kutaja majina ya wanaukoo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninapotafakari kuhusu kuengezeka kwa maambukizi ya VVU hapa nchini,akili ya kawaida inaniambia kuwa hii inatoke kila siku na kila saa, hii inamaanisha kwamba kuna watu hata sasa kuna watu wapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kipindi hichi, dunia inaishi na watu siyo waaminifu. Kwa asilimia kubwa wanaume kwa wanawake wanakuwa na mipango ya kando. Pamoja na yote naamini kwamba kuna watu kama mimi (sijisifu) ambao...
16 Reactions
90 Replies
7K Views
Habari za asubuhi wanajamii, Swali langu ni kuwa, hivi kuna uwiano/mpatano (compatibility) kitandani? Kwa mfano, kwenye mpira unaweza kukuta kuna kiungo mshambuliaji(atacking midifilder) mzuri na...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Samahan nimeona niifute hii post kwasababu maalum. Nawashukuru wote mliochangia post hii kwa namna moja ama nyingine mmenisaidia sana, Mungu awabariki nyote
2 Reactions
195 Replies
12K Views
upendo baina ya watu huwa haufi hata kidogo unless kama hujampenda mtu,kinachotokea ni kupanda ama kushuka kwa kiwango cha upendo baina ya mtu na mtu. upendo unapokua katika kiwango...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
^^ Ni jambo ambalo tayari nilishaliondolea tumaini,,kwamba kuna wanawake wasomi ambao hawana harakati ninazoziona MMU .. Nilimtembelea rafiki angu ambae ni mhitimu wa kidato cha sita.Ana...
9 Reactions
83 Replies
6K Views
Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,but nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,Huyu baba Ana mke na watoto wa nne...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Amani kwenu wadau!..its a lovly friday pande hizi, hop mko poa. ktk pita pita zangu nmekutana na haka kawimbo (Tamia - give me you), kana ujumbe mzito,then nkawish katika maisha haya ya ujana...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimebahatika kutembelea baadhi ya guest house(nyumba za kulala wageni),cha kushangaza karibia guest house zote nilizotembelea hupenda kutumia sabuni hii,inaitwa EVA,nadhani wale wenye uzoefu na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana wa MMU Sifahamu kama hii mada ilishawahi kuzungumziwa hapa kabla, kama tayari naomba na hii yangu tuchangie Tendo la kubusu. Sio kila moja anajua jinsi ya kubusu. Wengine wanabusu na kuacha...
0 Reactions
24 Replies
69K Views
Habari Wakuu, kwanza ninawapa hongera kwamba pamoja na JF katika siku za karibuni kuvamiwa kwa posts za hovyo hasa kutoka kwa wadogo zetu amboa nina imani hali itapungua wakianza kusoma vyuoni...
0 Reactions
59 Replies
6K Views
I'm Azfah, going thru serious misunderstanding wth my boy (im not sure if he still mine lolest) sometime this yr nlimwambia baby angu kwamba nimenasa while he was outta country for some b'ness...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wanajamvi. Mm naomba msaada wenu,mm n binti ambaye nko kwenye mahusiano na kaka ambaye tuko na mahusiano kwa mda mrefu na sasa hivi tupo kwenye hatua ya kuishi pamoja .Tatizo...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wanaume huwa mnanishangazaa sanaa, mtu ana kaa na mtu miaka kibao, unaona chemistry ipo, wanaendana kabisaa you can tell they are...
5 Reactions
125 Replies
13K Views
Wenzangu mzaha umeniletea balaa ndani ya ndoa... Jana tulikuwa tupo kwenye utani mwepesi si nikajifanya nimezira mwenzangu! Nikamwambia baba watoto leo hamna kitu tunalala mzungu wa nne... Si...
1 Reactions
80 Replies
10K Views
Alitekwa mawazo Adam na Hawa bustan ya eden kala tunda , kapotezwa Samson na Delila, kachezea kipigo kwa wafilist, Hamani alinyongwa na mfalme kwa ajili ya Esta wewe nani hadi ujifanye mbish mbele...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimekuja kwenu kutaka ushauri mimi ni kijana mwenye umri wa 26 years nimetokea kumpenda binti mmoja kiukweli kwa mtazamo wa macho yangu naona dunia nzima hakuna kama yeye.Basi mtoto wa...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Kwa kumtoa bikra mwanadada, damu itakayo ni agano lako naye la upendo (wanawake wengi husema"......sitokaa nimsahau mwanaume wangu aliyenileta ukubwani....."), lakini cha kushangaza midume mingi...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Back
Top Bottom