Napenda kuwaasa wanaume wenzangu kuwa tunapoendesha magari tuwe makini sana na sheria za barabarani,kwa muda wa wiki moja na nusu nilipata matatizo makubwa kwenye nchi moja ya bara america...
Wana MMU, niko katikati na sijui cha kufanya.
Sio mzuri sana wa kuelezea lakini nitajitahidi ili mpate picha halisi ya ilivyokuwa na ilivyo sasa.
Nilimpata msichana amabaye baada ya muda mfupi...
hii ni mtizamo wangu,mapenzi yachukulie kama dini tu yaani amin tu anakupenda na wewe unampenda,ukitaka kujua kwa asilimia ngapi,ukitaka athibitishe,akununulie zawad ndo uamin etc etc utapoteza...
Akina mama hebu tujulisheni unadhifu wetu unatakiwa uwe wa kiwango gani. Nasema hivi kwa kuwa kuna wengine wetu wanazidisha sana mpaka kuleta mawazo tafauti. Dume linaweza kupiga pafyumu mpaka...
Mazee baada ya misele ya kutosha sasa naona nivute mzungu!!!!!!!!!!
Kiukweli wazungu wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda uharibu, hapo hakutakalika !!!!!
Mzungu mwenyewe awe kutoka...
Wana wa JF, nimetatazika wandugu. Nina jirani yangu yeye mwalimu jinsia yake ya kike. Amejaribu sana kuwa karibu na mimi, nami niligundua dalili zote lakini nilikuwa nampotezea.
Sasa leo ndio...
Napata shida kutofauti haya maneno mjuzi anifafanulie nashindwa kuelewa mpenzi neno ili litumike kwa mtu wa namna gani na mchumba litumike kwa mtu wa namna gani, msaada naitaji kwenu wajuzi.
Habari na poleni kwa kazi!!
Kuna jambo naona leo niliweke wazi, tushauriane na kuwekana sawa.
Kuna hili suala la wahudumu wa hoteli, nimekuwa nikifuatilia na kujiuliza maswali lukuki.
Ni...
Yaani kila kukicha anaamka na kitu kipya cha kudemand ,eti ntaka simu mpya eti ya zamani haipigi picha vizuri, na kuomba pesa ya misuko ya nywele yaani maombi hayo kama wimbo wa taifa.
Nifanyeje...
hivi mtu mwenye mimba anaweza kukuchukia bila sababu hata kama siyo mme wake? dada yangu ninaependana naye ana mimba nahisi ni ya miez kama miwili b'se tumbo halijaanza kuonekana,ameanza...
Nilimpigia simu mara ya kwanza akasema anapika...nilipokutana nae akaanza kunlalamikia njaa inamuuma.
Demu mwenyewe nimemtokea mara moja halafu anajidai kunipenda kama ananijua miaka mia...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!
After all the stories nazowaletea humu na mada mototo, mniombee nipone huu mguu! Wiki ya 8 sijui ya 9 niko bedrest!!! I deserve your prayers. High hills...
Hello wanajukwaa hili. Kwanini verified user hawapendi sana kuchangia jukwaa hili? Naweza kusema ni 2% to ndoo wanachangia. yaani hili ni jukwaa la mwisho kuchangiwa na members wa JF ambao ni...
Hello wana jf! kwa utafit wang w awal nmegungua kuwa, w/me weng ktk mahsiano ni sex-oriented! hi ni ktokana kuw wanachokijua ni akpata dem basi kinachofuata ni sex! na ndio maana wasichana...
Hamjambo waungwana ....
Naomba niulize jamani, kuna kipindi naweza kaa bila kuwa na hamu ya ku-do 6 x 6; na nakuwa hivyo - kwa mda mrefu (japo kwa home naendeleza kama kawaida) Kwenye mwezi...
Salute wakuu,
As the topic says above, sometimes you may meet with a girl who cherishes you, loves you and seem to care a lot about you. But as time goes, you start noticing some things ambavyo...
kipozeo
Wewe sheikh Mkubwa unakuwa na hawara kweli??
Hata kama ukichukia vumilia tuh,ndivyo haqi ilivyo ilivyo,
Sasa dini iko wapi??wewe sheik kisha unakuwa na hawara kweli?
Umeshindwa kabisa...
Nina binadamu yangu, mtoto wa shangazi yangu kabisa mama yake wa kwanza kuzaliwa akafuata baba yangu, kiukweli ananikwanza huyu binadamu sijui nifanyeje, mwaka 2011 alianza kutaka kunioa akaenda...
Hakuna Mwanaume Mkarimu tu burebure..Mwanaume mpole kama njiwa..Mwanaume very caring tu from nowhere..Mwanaume anayekusikiliza...Mwanaume anayekutafuta asubuhi hadi jioni kujua hali yako..Mwanaume...
Katika simple observation niloifanya nimegundua kuwa binti akipewa mimba najamaa, mwanaume is in risk of being sentenced compared to binti.
Likewise kama kunaushirikiano katika kutoa mimba binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.