Nina mahusiano na wasichana watatu wenyesifa zifuatazo:-
WA KWANZA
. Mpole, anaweza kazi zote (kitandani na nyumbani), mzuri wa muonekano, busara na heshima ila anakojoa kitandani
WA PILI
.Mapepe...
1.Habar wana jf!! mwenzenu wanaume wananishangaza sana ktk hili la mahusiano! yan unakuta kutwa kucha wanalalamika ooh wanawake hawafai kabisa mara mim nilikua na msichana lakin alinisaliti...
NDIYE KIUMBE ASIYEELEWEKA DUNIA NZIMA.
Pamoja na maendeleo ya kisayansi,na kisaikolojia
bado akili ya mwanamke haieleweki ipo ktk
msimamo upi.Mtaalamu mmoja wa mambo ya
wanawake aliwahi...
Self esteem ni hali ya kisaikolojia inayomuonyesha mtu jinsi gani anavyojitambua na kujikubali. Mtu mwenye self esteem ya juu, anakuwa ni mtu jasiri, anayejikubali, anajitambua, anajiamini na hana...
Jamani naombeni ushauri wenu
m'ke wangu ambaye tunasoma the same class siku hz amenibadilikia
na nahisi kama hanipendi tena hv
Kwa sababu:
Anavunja appointment, I mean haji Kwenye miadi...
Salute,
Ofcourse the title of the thread depicts itself from the title of the movie directed by my personal favourite Tyler Perry. It shows how a woman can betray you bila kua hata na chembe ya...
Hivi mimi ni wa kumhonga mwanamume? Loh hivi nimepatwa na nini? Mwenzenu najishangaa sijawahi honga kidume chochote na si utaratibu wangu hata siku moja! Cha ajabu nimeangukia eti kwenye penzi...
^^
Naikumbuka siku niliyompigia simu Mama,
Nikamwambia Mama nataka kuoa,
Niliweza kuisikia sauti yake upande wa pili wa simu,
Akitabasamu,
Kisha akaniuliza swali ambalo nililijibu kwa fahari...
naomba mniombee ili uniweze kufunga ndoa kwa maana nimekaa na uchumba sugu kwa miaka 10 sasa, tayari nimeishazaa naye mtoto mmoja! Nampenda lakini sielewe rohoni mwake! nikimuliza ni lini...
Waadau habari za wkend....
jana meshindwa kumjibu mdada ambae ni rafiki wa karibu na girlfriend wangu,alinipigia simu na kuniomba nimsaidie kiasi flani cha fedha amtoe kuna rafiki yake yupo...
Kuna aina nyingi sana za tabia mbaya, lakini bila shaka zile kubwa kabisa ziko sita. Hii ina maana kwamba mtu anapoishi popote ajue kwamba, kwa njia moja au nyingine atakuwa anapambana na watu wa...
Wanaume Oyeee!
Hivi kwa nini sisi wanaume wengi wetu pindi tukiongea na mamanzii tunawangalia maziwa yao (Bosoms) muda wote. Manzi moja kanilalamikia, kwa nini sisi wanaume atuangalii sura zao...
vp wana jf mko powa? Heb leten ujanja wenu juu ya hii kituu maana had sasa huyu mtu cjamwelewa yukoje
kwa ufupi tuu nilikutana na dem ktk mtandao mmoja hv aaf yule dem ndio kwanza cku ya pili...
Hope weekend ilikuwa poaaaaaa........!
Kuna dada mmoja alikuwa anafanya kazi ofisi moja ya Serikali Mkoani Mtwara ila ni mwenyeji wa Mwanza, (Majina, kabila na mahali sio halisi tafadhali) Huyo...
Umetoka kazini jioni unamkuta jirani anampiga mama yako makofi hadi ametoka damu....ukakimbia ndani ya nyumba kuchukua silaha(nyumba yako na ya mama yako haiko mbali sana)..
Vile unaingia tu...
Mimi kabila ni Mhaya tulikuwa tunaishi Mwanza Baba alikuwa anafanya kazi RELI (TRC) mama Halmashauri Mwanza mjini tulikuwa tunaishi na mjomba wetu maeneo BUZURUGA mjomba tuliekuwa tunaishi nae...
Kuna sakata moja limetoa nyasho musoma,sakata lenyewe ni hili: kuna mwanamke mmoja umri kati ya miaka 40 amefumaniwa akifanya mapenzi laivu na kijana mdogo wa miaka 23, wawili hao wamekamatwa...
Salam wakuu,
As the title of the top clearly describes itself above, this thread is about us men. Let's share the things ambavyo vinakera ambavyo perhaps umeshawahi kukutana navyo katika...
Siku za hivi karibuni Tanzania imekuwa ikiwakilishwa na wadada big brother nasikitishwa sana wanavyogegedwa ni bora wakawa wanaenda wanaume tu ili wawe wanagegeda maana inauma dada kugegedwa...
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!
Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.