Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wana jamvi habarini, Nina rafiki yangu mdada, anahitaji kuolewa na mchumba wake waliokuwa nae kwa miaka miwili sasa tatizo huyo muoaji, hataki habari za sherehe ya ndoa, madai yake ni kupoteza...
0 Reactions
86 Replies
9K Views
Naomba kuwauliza wana jamvi,Mimi ninamzazi mmoja yaani mama ndo aliyebaki kwani Baba yangu alifariki miaka 8 iliyopita kwa upande wetu tumezaliwa wengi na tayari tuna watoto wa kuwazaa wanafikia...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
It has come to our attention that the strange things we hear and see through the media are happening right under our nose. (Lesbianism, Sodomy, Incest etc). A couple was blessed with two...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawasalimia wana JF, Mambo. Aise kunatabia moja kweli huwa siipendi. Unakuta labda mko sehemu fulani mmekaa eidha kwa maongezi au mmetoka out. Unakuta, mmetoka na mtu yaani yeye yuko busy na...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenu wana MMU. Baada ya salamu niwaulize swali je ni kweli na sisi wanaume tunahitaji kufikishwa kileleni ili kufurahia tendo la ndoa katika mahusiano yete? Kwasababu kumekuwa na majina...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Salamu zenu wana JF Jamani mimi mwenzenu ni kijana ninae jishughulisha na ujasiria mali. Kuna tatizo yaani linanitatiza sana, kunakipindi najisikia mpweke ya najihisi mwepesi na kuwaonea wivu...
1 Reactions
50 Replies
5K Views
baada ya kufanya utafiti na kugundua kuwa upweke huwa unawatesa watu mimi pamoja na kampuni yangu ya MUCH THAN SIMPLICITy, tumeanzisha huduma mpyaaa kabisa, huduma hii ni ya kumliwaza mtu na...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
WANA MMU NAOMBENI USHAURI KATIKA HILI MIMI NINA DEMU AMBAYE NIMEMTONGOZA MUDA MREFU LAKINI ANANIAMBIA KWAMBA NISUBIRI TUJUANE NDO ATAKUBALI TENA BAADAYE SANA SO ANATAKA TUWE MARAFIKI KWANZA NA...
0 Reactions
110 Replies
10K Views
You're dating a guy, and it's the crucial first few weeks. You really like this guy, and you're wondering what you can do (or avoid doing) to keep this relationship going and not scare him away...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
hamjambo wanajamvi, nina mahusiano na bwana mmoja kwa muda wa miaka 8 sasa. between 2008-2009 tulibreak baada ya mama yangu kumkataa yeye akafunga ndoa, baada ya miaka miwili akataliakiana na...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu, Niko abroad nimekuja kufanya masters ya miaka mi2,nimemuacha my sweet girl wangu Tz na ana umri wa miaka 26 now!anajitegemea anafanya kazi na nimemuacha anaishi peke yake,kabla sijaja huku...
0 Reactions
146 Replies
9K Views
Ndiyo hivyo
0 Reactions
38 Replies
5K Views
kwa sababu wengi wao awataki kuolewa na wanaume ambao wanastruggling pamoja. Awapendi kutoa contribution katika kuakikisha wanakuwa msaada kwa maendeleo ya mwanaume. Wanakuja kwetu kwa ambao...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Yusufu Amani (39) aliyembaka mwanaye wa kumzaa kisha kumzalisha baada ya kutengana na mkewe Afungwa miaka 30 Hapa akijifunika sipigwe picha baada ya hukumu Kulia ni mtoto...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Niaje wadau,, Niko somewhere napata lunch na wafanyakazi wengine wa hiyo kampuni ( mi nimekuja tu kwenye assigment),, kuna jamaa ameanzishiwa bonge la topic Utaoa Lini na wafanyakazi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Asali mbichi ikipakwa kwenye kiungo cha mwanaume humsababisha mwanamke ajisikie raha sana ktk sex...?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kabla ya matumizi ya simu, facebook, twiter n.k sanaa ya ushawishi (kutongoza) ilikuwa na styles za pekee kama vile kumsubiri msichana akiwa ametumwa dukani, kuandikiana barua n.k Tupia ya kwako
0 Reactions
21 Replies
4K Views
habari za wikiendi nduguzangu wana jf? Leo nimeamua kushare na ninyi kisa ambacho kimenitokea usiku wa kuamkia leo kama kama ifuatavyo; mwanzoni mwa wiki hii rafikiyangu ambaye nilipotezana...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
1. Be honest 2. Keep communication open 3. Learn to forgive 4. Never talk about your exes 5. Learn to leave your ego aside 6. Leave the past 7. Work on resulting things under the carpet 8...
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Well come to East African Community :A S-key: http://www.youtube.com/watch?v=22mMSpfOq_A
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom