Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nina rafiki yangu wa kike ambaye nimefahamiana naye miezi saba iliyopita,ambaye tumekubaliana kuoana.Kwa kipindi chote tumekuwa tukitembeleana na kuchat bila kufanya mapenzi.Hivi karibuni tumeanza...
0 Reactions
123 Replies
27K Views
Bw. Singh mwenye umri wa miaka 65 hajawahi kuoga wala kukata nywele zake tokea mwaka 1974, hiyo ni muda mfupi tu baada ya kuoa. Hii imepelekea kuaminika kwamba pengine Singh ni mwanadamu mwenye...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
WanaJF, Naleta kilio changu kwenu badala ya kwenda kwa baba Paroko kuwa mke wangu ananinyima tunda la mti wa katikati! Amekuwa akitoa visingizio mbalimbali kila ninapokuwa na hamu ya kula tunda...
1 Reactions
107 Replies
10K Views
Najua story yangu itawafanya watu wengi wanifokee lakini nitashukuru kwa msaada wowote nitakaoupata. Niliolewa na mume wangi April 2010. Ingawa kwa mara ya kwanza sikuwa na nampenda mume wangu...
2 Reactions
113 Replies
20K Views
Wakuu natumaini mko powa... ,jaman mwenzenu kila nikifanya sex "salama" na bby wangu analalamika kuwa namuumiza ingawa kama maandalizi yanakuwa ya kutosha xana mpaka anasema ingiz......,tatizo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitatizwa na maana ya neno mapenzi. Utakuta mtu akisema amefanya mapenzi na ......... Kwa ufahamu wangu, kufanya mapenzi na mtu ni kwa yule unayempenda tu. Sasa kwa wale...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mapenzi yana kanuni zake, kanuni ambazo usipozifuata huwezi kupata furaha uliyotarajia. Unapotokea kumpenda mtu, hiyo ni hatua ya kwanza lakini omba sana upate ile bahati ya kumpenda mtu ambaye...
3 Reactions
20 Replies
20K Views
Nilikuwa na marafiki zangu weekend iliyopita tukibadilishana mawazo. Punde likajitokeza swala la kupokea simu ya mpenzi wako. Wengine waliunga mkono, wengine wakapinga kabisa. Kwa sababu hapa kuna...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Amekataa kunikubali kwa kuwa mimi ni shabiki wa Arsenal, huyu pretty chik mzima kweli? Mara kwa mara huwa navaa uzi wa washika bunduki, na kumpigia misere with huge smile nikimuona. Baada ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kujielewa, Kujipenda, Kujithamini, Kujiamini na Kujikubali. Ukiwa na hizo 5K ni moja ya hatua kubwa ya mafanikio katika kujenga a Strong Personality na utu nafsi wenye ‘Utashi’. Huna...
12 Reactions
52 Replies
4K Views
Ndugu zanguni, nimewahi kuambiwa kuwa kutokana na wanajeshi wa Marekani kukaa muda mrefu kwenye uwanja wa vita huko Iraq bila kukutana na wanawake, utendaji wa wanajeshi hao ulianza kupungua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana jf salaam,naombeni ushauri wenu tafadhali,(serious).huyu mmama ana umri unaokadiriwa miaka 40 hivi,tunafanyanae kazi sehemu moja vitengo tofauti.kwa ujumla kazi yangu na yake zinategemeana...
3 Reactions
99 Replies
8K Views
naombeni anaejua sehemu wanauza miwani classic! sio ya urembo mi computer imenidhuru uzee umeniingia vibaya mwenezu
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Pindi nilipokuwa na miaka 15, nilikuwa nawatokea mademu wenye miaka 20 mapaka 25. Ilikuwa vigumu sana kukubaliwa, nakumbuka kuna siku mpaka nilipigwa kibao. Mara nyingi waliniambia huna heshima...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari zenu waungwana? Jamani naombeni kujuzwa,mke wangu anatetemeka sana mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi,yaani anatetemeka mpaka meno yanagongana,vp hali hii inasababishwa na nn...nn tiba...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimeoa mwanamke wa 20yrs tuna mwaka mmoja sasa. tulipokuwa wapenzi aliweza kustahimili goli 4 mpaka 5, cha ajabu sasa akifika kileleni hata kwa bao la kwanza hatak tena. nikitaka mm nipate hata 2...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
wana jf napenda kuuliza hivi ,napokua nafanya mapenzi bao la kwanza linanitoka mapema sana yani ila game inayofuata ndo naanza kuchelewa ,je ni tatizo au kawaida tu?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nawasalimia wana JF Stori ya kweli Kuna rafiki yangu (Mimi mwanaume na yeye pia) nimesoma naye shule ya msingi tume kuwa karibu nae sana. Sasa mambo yenyewe ni kama ifuatavyo:- Alinieleza...
1 Reactions
81 Replies
5K Views
This created self-hate and low self-esteem
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa kweli sie wanaume huwa tunaanza kwanza na kutamani kisha tunamalizia na kupenda, huyu binti nimemtamani sana baadae nakuta nashindwa kujizuia nampenda, waungwana naomba mnisaidie kunilink na...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Back
Top Bottom