Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ni muda tu mfupi uliopita hapa "kijiweni" zimepita gari mbili zimepambwa huku honi zikipigwa nikajiuliza ni kitu gani hiki ndo jamaa yangu akaniambia ni harusi hiyo ' Nikashangaa kisha...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
She is not your sister, cousin, or even distant relative and she's somebody's wife and you are a man but you are busy texting her "dear umeamkaje, dear umekula, dear take care, dear have a good...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa 27 mnamo mwaka 2010 nilikutana na binti ambaye nilitokea kumpenda sana, ila kwake ilikua ngumu kunielewa lengo langu, siku zilivo zidi kwenda akawa ananielewa, 2011...
0 Reactions
88 Replies
7K Views
ABORTION does not make you UN- PREGNANT It just makes you The MOTHER of a DEAD BABY
0 Reactions
7 Replies
1K Views
^^ "..Kila nikikumbuka siku yenyewe basi namwona mwanamke si kiumbe wa kuaminika,ni mwongo,msiri wa kijinga na anaweza kukuua wakati wowote. ... Alikuwa ni binti mzuri tu ambaye kila mwanaume...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
hi jf, nko na rafk yngu wa karibu chuo tumemaliza mwaka jana, kinachomsumbua huyu rafk yngu ni kwamba ana girlfrnd wake(mschna yuko chuo 2nd yr) huyo mschana anampnda mshikkaj kupitiliza, she buys...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
habarini za sikuu wana jf.. leo nimekuja na hii ishu apaa nimekua kwenye mahusiano na msichana mmoja kwa mdaa wa miezi nane ivi nilikua nikimpenda sana mwanzonii but now nataka tuachane.. resons...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu napata mtiani mgumu kutoa maamuzi hawa maduu wananichanganya sana ,niko kwenye mchakato wa kutaka kuoa mwanamke yupi anafaa kati ya hawa WATATU. WA KWANZA; kabila ni mzigua ni mwanamke...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani maisha yamebadilika sijui kwa nn siku hizi ukiwauliza wanaume wengi wataoa lini wamekuwa watata sana kueleza lini wengi wanasema wanaishi kisela,ndio kusema siku wanawake wanasumbua au...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu ivi kuna ukweli wowote wa mabinti wa kisomali kutengenezwa figure? Maana walio wengi km si wote utakuta wanafigure nzr sn hasa maeneo ya kiunoni, ------ mpaka mapaja. So nihewahi kudadisi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
mtaalamu wa kilimo! natafuta mtaanajua hili jukwaa ni la magt naombeni ushauri kwa wataalamu wa kilimo mitaa hii naitaji kuwekeza kwenye kilimo cha maharage naombeni kujua ni maharage gani...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Asilimia 20 ya wanaume wakiamka asubuhi huwa hawatandiki vitanda vyao na Asilimia 80 ya wanawake huwa wanavaa “brazier” ambazo hazilandani na ukubwa wa matiti/maziwa yao (wengi wanavaa “brazier”...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Jana Usiku nimetoka kwenye kazi zangu za kupiga mabox na deal ya jana ilikuwa hot ile mbaya nikafanikiwa kuingiza mzigo wa milion 50 na kwamba leo asubuhi nilikuwa nizipeleke bank asubuhi na...
1 Reactions
83 Replies
6K Views
Weiner ni mwana siasa hapa NY .Alijiuzuru baada ya kugundulika anatuma Picha za uchi kwa Wanawake .Weiner ana mke na mtoto (mkewe msaidizi wa Hillary na Hillary Clinton Kama mama ake ) ,.Anthony...
0 Reactions
1 Replies
706 Views
^^ Huyu ni binti ambaye tumepotezana nae miaka mingi.Lakini milima haikutani,binadamu hukutana..Nilipomuuliza juu ya mwanaume waliyependana sana kuwa wanaendeleaje na familia yao? Nilijibiwa kwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
kwa wanawake wote ambao mna ndoto ya kuwa na famila bora zingatieni hili. wasukuma wamejaaliwa 1-warefu 2-maumbo makubwa 3-mvuto 4-wakarimu 5-wapore 6-wametulia 7-wanajua kupenda...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
African Women Abroad Seriously Seeking Husbands Why are many African women abroad now seriously looking for husbands or serious partners? Why are they single in the first place? What kind of...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!! Nawakaribisha wadau kwenye mgongano wa Hoja, na mchango wako uongozwe na nguvu ya hoja juu ya hii mada! Sheria! Ni marfuku kumshambulia/kumjadili...
13 Reactions
116 Replies
10K Views
habari zenu... jamani wanawake muwe makini sana waume/wapenzi wenu wanapokwenda saluni kunyoa (barber shop). huko kuna wadada wamekaa kiwiziwizi sana, kuanzia nguo wanazovaa, mapozi yao, lugha...
2 Reactions
69 Replies
6K Views
Leo nilikua kwenye mkutano wa injili na sasa ivi naangalia Emmanuel Tv, nilichogundua ni, wanawake wengi ndo wenye matatizo na majini. Wanawake wameletwa na waume zao kuombewa. Wengine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom