Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
  • Closed
Dogs are the most loyal animal, they are aggresive, social,fearless,chase-pronness and curious also at times are shy and bold. So next time you hear the saying "all men are dogs" don't feel...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani...
6 Reactions
123 Replies
10K Views
Men!!!Men!!!Men !!! So complicated, So confusing, So hard to please. If u try 2 pls dem, u re cheap. If u make love (sex) to them, u're a Love Peddler. If u don't, u re playing hard to get. If u...
10 Reactions
101 Replies
9K Views
Kwa muda mrefu wanawake wengi wamekuwa wakilalamika kuwa waume zao hawawapigii simu, hata kuwatumia SMS mara kwa mara. Wakiulizwa wanakuja na visababu eti walikuwa bize, mara simu ilikuwa mbali...
12 Reactions
84 Replies
5K Views
Ndugu zangu, mimi nilioa mwaka 2010 na nina mtoto mmoja. Mwezi wa nne mwaka huu mke amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo huko London. Anategemea kumaliza mafunzo baada ya mwaka moja kama na...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Baadhi ya Club za Jiji la New york Marekani zimeanzisha utaratibu wa kupiga disko la mchana wakati wa lunch. Disko linawalenga wafanyakazi. Kwa dola 14 unapata lunch na saa moja ya kuruka majoka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu nawa usia kama ninavyoiusia nafsi yangu kuhusu hili janga(AIDS) maana hali ni zaidi ya MBAYA...Kuna jamaa yangu mmoja alienda kucheki afya jana coz anajiandaa kufunga ndoa kama unavyojua...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana jamvi naandika hapa nikiwa na hofu na mashaka juu yangu mwenyewe.. hili jambo limekua likinitatiza sana..mwaka 2006,nikiwa shule niliota nyumbani tunalia,tumefiwa,haikuchukua hata wiki...
3 Reactions
176 Replies
24K Views
habari wanajf? Nimejitokeza kwenye hili jukwaa kuomba ushauriwenu kuhusu kutengeneza sex body maana nimechoka kudharauliwa na hawa wakinadada kisa mm ni mwembaba sana nina urefu wa cm 168 na...
0 Reactions
69 Replies
13K Views
Leo nimekaa najikumbusha mambo ya zamani, enzi za Mwl nakumbuka kuna demu mmoja nilikuwa namvizia sasa tekinolojia ya kumtoa kwao kama simu ilikuwa hamna na mimi nilikuwa nakaribia kufungua shule...
0 Reactions
96 Replies
11K Views
Wasichana wengi wanapo kuwa wamekaribia miaka 27 huku wakiwa awajaolewa, ndipo hustuka gafla na kutambua kwamba miili yao siyo ya kuchezewa tena. Wengine ubadilika na kuzaliwa upya na hapo ndipo...
5 Reactions
317 Replies
26K Views
Ungelifanyaje? Mchana kweupe, ukiwa na gari lako kwa mwendo si wa kasi sana, mitaa ya sayansi anakupiga mkono binti. Unajiuliza ni nini? Unataka kupitiliza lakini hisani inakujia na kuamua...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kwa wale wenye watoto. angalia picha hapo chini. Mkono wa huyo mtoto amevalishwa kamba nyeusi. Nimewaona watoto wengi hasa uswahilini huvishwa hiyo kitu. Ni urembo kwa mtoto au hiyo...
2 Reactions
76 Replies
12K Views
Hivi huyu pepo katika ndoa za siku hizi ametokea wapi jamani? Kama katika kila watoto 100, 46 wamezaliwa nje ya ndoa ni nani yupo salama katika hili? Na kwanini wanawake mnafanya hivi, tatizo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
habari ndugu zanguni; napenda niwafaham tabia za hawa ndugu zetu kidogo kwani nilikuwa nampenz flan tukazinguana kwakuwa mi nilikuwa naharakat flan za shule akatafuta namna yakuniumiza akawa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Amani kwenu wadau! Nimejikuta nikiwaza hapa,inakuaje watu mnakutana mkiwa watu wazima,kila mmoja akiwa na historia yake ya maisha,alafu mkianza mahusiano ya mapenzi,kila mmoja anataka amdhibiti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanawake wa Tanzania wanakabiliwa na kibarua kizito cha kupata wachumba wa kuwaoa baada ya idadi yao kuongezeka kwa zaidi ya asilimia 4.4 zaidi ya idadi ya wanaume. Takwimu za idadi ya watu za...
5 Reactions
71 Replies
13K Views
bi dada kweli umeolewa kihalali kabisa naheshimu hilo ila mumeo kanitaka tukaanza uhusuiano now ni mke mwenzio mumeo kabla hajakutana na mimi alikuwa kicheche sana hilo unalijua juhudi zangu za...
2 Reactions
83 Replies
6K Views
Mapenzi yana nin ndani.. Ni ushetan au hisia zitokanazo na Mungu mwenyewe..? Unapenda kwa dhati sehemu dhahili ambapo pana dosari na kuacha sehemu dhahili yenye amani na uaminifu... Naogea maneno...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wa JF naomba mnisaidie kuna binti nampenda nae naamini ananipenda pia nifanyaje kumpata though najaribu sipati signal bt i knw she loves me......nifanyaje hasa wadada nahtaj mawazo yenu na...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Back
Top Bottom